Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tena msemaji anasema mtoto alikuwa kwenye maji mda mrefuHii kesi ya mansalughter kabisaa.. plus Negligence
Hapo ina maana kulikuwa hakuna uangalizi wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena msemaji anasema mtoto alikuwa kwenye maji mda mrefuHii kesi ya mansalughter kabisaa.. plus Negligence
Sawa ngoja tupunguze kelele 🤣😁😁😁😁 oi mujue tupo kwenye majonzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUngeolewa labda maana inasemekana ni wa kiume mkuu
eeeh ss hapo itapendeza tunatak kusikia sauti za wafiwa tuSawa ngoja tupunguze kelele 🤣
ni hatari kwa 100% just imagine watoto wanavyopend kuchezea maji. alafu umemuache peke yake mbele ya swimming poolUSA: And according to the U.S. Consumer Product Safety Commission, 390 deaths a year on average are attributed to drowning in a swimming pool or at a spa.
Swimming pools ni hatari sana kwa watoto majumbani.
Hivi kwanini hawa jamaa huwa wanaitwa wapopo?Mungu wangu[emoji24][emoji24][emoji24]
Ila hawa wapopo sio wa kuwaamini sana kuna sacrifice kibao kwenye huo utajiri wao we acha tu[emoji848][emoji848]
Evelyn Salt
Haumini au wakati Tumezika TayariNasubiri tamko kutoka kwa wazazi wa mtoto
Mwenye Hela sio mwenzako AiseeSisi watu wa hali ya chini huwa hata madimbwi tu ya maji huwa tunayafukia kwa kuogopa athari za namna hii,inakuwaje watu wenye mapesa wanashindwa kuchukua tahadhari ya ma swimming pool ambayo yanakuwa na maji kila wakati,na wanajua kabisa kuwa kuna watoto wadogo...?
Diamond kamgawa nani..Uko sahihi wenye akili watakuelewa
Money and Fame
Ni gharama kubwa Sana!
Wasemaji wa familia za wengine ni wengi mdogo wanguHata mie nimesikia yuko ICU.
Hivi kwanini hawa jamaa huwa wanaitwa wapopo?
😁😁 ukimaliza mnyooshee nguo shemej awahi ofisini alaf pia baba levo ni Freemason piaDAVIDO NI FIRIMASONI KAMTOA MTOTO WAKE KAFARA
.
ngoja nioshe vyombo kwanza shemeji asije nifukuza kwake
Wewe bwege futa hii habari sio ya kweli
Hiyo habari sio kweliNaomba isiwe kweli [emoji22]
Tusiwalaumu sana nao ni binadamu vile vile alafu tuje na mawazo kuwa ni mipango ya mungu hata wangemfunga mnyororo kama aliandikiwa kufa kwa maji basi angkufa kwa maji tu.Utakuta wazazi walikua busy wanakunywa mapombe, mabangi na ma cocaine wamemuacha mtoto hata hawajui yuko wapi..😪 Hii mi wasanii ni miwatu ya hovyo kote duniani sijui hata kwanini hua tunailipa hela nyingi kiasi hicho😡
😢😢😢Pole sana kwao