Atakuwa ameshafanya assessment akaona kwa akili ile anachoweza ni porojo tuWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MoneyWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
ππππ
Hii nchi ngumu sana, nilifikiri ni mmojawapo kati ya wale akina AKI NA UKWA
ππππAtakuwa ameshafanya assessment akaona kwa akili ile anachoweza ni porojo tu
Hiyo teknolojia itamsaidia nn yeyeWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
ππππ
π si ndio mpaka awe na akili ya mateknolojia. Huko hakuna kudesa ni hujui hujui.Waziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
ππππ
Afrika siasa inalipa kuliko hayo mateknolojiaWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
ππππ
Akili za watoto bwana. Yeye anaamini kilamtu anamwita huyo mwigulu baba. Wanawapeleka watoto majukwaani wakati wametajwa na CAG kwenye ubadhirifu. Hata hashtuki kama idara zilizopo chini yake zimeharibu