Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Mtoto gani wa Nyerere ana nyumba
Butiama? Watoto wa baba wa Taifa hapo kijijini wanafugwa na Maria Nyerere!
Ni kweli wanaishi na mama yao kahela kote anapata yule Mama zinaishia kutunza mijitu mizima yente familia zao na wajukuu na vitukuu

Wakati ajira walishawahi kupata tena nzuri tu kama watanzania wenzao lakini wao kujitegemea imeshindikana tofauti na watoto wa maraisi wengine kama Mwinyi kikwete,Magufuli na Samia
 
Kuwahujumu uchumi au
 
tudili nao tu, ila tuwe na jicho la shukran, baba yao alifanya makubwa sana, na aliwasacrifice hata wao kwa ajili ya nchi hii. tukumbuke tulikotoka.
 

Na wasiwasi huenda Andrew ndio kaandika huu uzi, his ways and style of reporting matukio iko hivi hivi, anahitaji msaada mkubwa sana..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…