Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Haa, nilifikiri hili halikuwa wazi kiasi hiki. Ilibidi hata record zibadilishwe.Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
P
Ni kweli wanaishi na mama yao kahela kote anapata yule Mama zinaishia kutunza mijitu mizima yente familia zao na wajukuu na vitukuuMtoto gani wa Nyerere ana nyumba
Butiama? Watoto wa baba wa Taifa hapo kijijini wanafugwa na Maria Nyerere!
Mmetuacha wengine gizani, ni brother yupi huyo aliyetangulia?Haa, nilifikiri hili halikuwa wazi kiasi hiki. Ilibidi hata record zibadilishwe.
Watoto wa Mwalimu wote ni changamoto haswa
Huwa yupo humu ana account yakeSasa kumbe ndo wewe Andrew Nyerere.... kusoma Urusi nako ni matatizo.
Wanashida snAnahitaji uangalizi maalum.
Ova
Lipi halikuwa wazi?, kuwa Blaza ni issue?.Haa, nilifikiri hili halikuwa wazi kiasi hiki. Ilibidi hata record zibadilishwe.
Yule Blaza wangu yule...Mmetuacha wengine gizani, ni brother yupi huyo aliyetangulia?
Kuwahujumu uchumi auHii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Huwa yupo humu ana account yake
Kwenye post # 54Ukisoma comments utacheka sana hasa pale mtoa mada alipochoka kujificha na kuamua kujilipua mubashara
Over 70 yearsDuh, kwa nachodhani watoto wa hayati watakuwa vikongwe sasa huyo anaefukuzwa ovyo ana umri gani?
Ni yeye mwenyewe. Akilewaga anaenda kaburini kwa Baba yake kufanya vurugu na kumuuliza kwanini Baba umetuacha fukara ilhali Liz na Abdul wanakula maisha.Mtoto yupi? Hana jina?
tudili nao tu, ila tuwe na jicho la shukran, baba yao alifanya makubwa sana, na aliwasacrifice hata wao kwa ajili ya nchi hii. tukumbuke tulikotoka.Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P
Nipo ndani ya basi. Departure in five minutes.Agiza kwanza Pepsi kubwa ya baridii
Jana nilitaka kupanda ndege, sh. 6800000(laki sita). By a hair's sikuinunua( ticket),nikapata phone call ikaniondoa airport.Riz anapanda ndege wewe unapasua na basi
Dunia haijawahi kuwa na usawa
Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P