Mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh Ashinda Tuzo ya Mwanamke Mahiri Zanzibar

Mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh Ashinda Tuzo ya Mwanamke Mahiri Zanzibar

Mama anaupiga mwingi. Kama hajaolewa nitajitosa kwenye mchuano wa kumpata. Lazima nitashinda. JF itapata mwakilishi kwenye familia ya Rais. Kina Mpwayungu Village , popoma GENTAMYCINE , mrangi , Erythrocyte , Nifah na wengine wote mtakuwa mnakuja Ikulu kumsalimia member mwenzenu mkiongozwa na komredi Lucas mwashambwa... ikumbukwe mtoto wa Rais ni rais wa watoto wote.
 
Back
Top Bottom