Kuzaluwa na raisni vigezo vipi vimempa ushindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzaluwa na raisni vigezo vipi vimempa ushindi
Mwenzako nimeshakutangulia, jiandae kuja kunisalimia Ikulu wakati unasikilizia mchongo wako utiki. LolsMama anaupiga mwingi. Kama hajaolewa nitajitosa kwenye mchuano wa kumpata. Lazima nitashinda. JF itapata mwakilishi kwenye familia ya Rais. Kina Mpwayungu Village , popoma GENTAMYCINE , mrangi , Erythrocyte , Nifah na wengine wote mtakuwa mnakuja Ikulu kumsalimia member mwenzenu mkiongozwa na komredi Lucas mwashambwa... ikumbukwe mtoto wa Rais ni rais wa watoto wote.
Unakuta hajui maana RAIS ni nini msamehe mkuu.Hata kama rais anakosea kuna namna ya kumjibu sio kumuita kichwa maji.comment kama hzi ,hv mnakuwa na confidence gani mazee??
Hawezi kuwa raisi! Hata Mungu anakushangaa ulichoandika!Umesikia anautaka urais mkuu mbona unachuki iliyopitiliza.Mwenyezi Mungu Kama alipanga atakuwa Rais Basi huna uwezo wowote wa kuzuia Kama alivyoupata mama yake
Huyu ni mzuri zaidiAnafanana na mamaye sana.
Bektatu wa Nkurunzinza ni mkubwa kuliko bankteller wa Tz au tichaBeki 3 wa Nkurunziza naye aliwahi kutangazwa mfanyakazi bora kitaifa siku ya Mei Mosi.
UMBALI UPI? YUPO SAHIHI.Mmh,umefika mbali sana
Mmmh!
MTOTO WA RAIS SAMIA, WANU HAFIDH ASHINDA TUZO YA MWANAMKE MAHIRI ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative ambae pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir amenyakua tuzo ya mwanamke mahiri katika kipengele cha mtendaji bora wa taasisi kwa mwaka katika kuchochea shughuli za maendeleo kwa jamii.
Mhe. Wanu ambaye ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa wanawake washindi 17 waliopatiwa tuzo hizo ambazo hutambua mchangao wa mwanamke katika kuleta matokeo chanya.
Mhe. Wanu anasema kufanyika kwa tunzo hizo kunaibua ari na ujasiri kwa wanawake wote nchini kufanya juhudi katika kufanikisha mipango mbalimbali kwa maslahi ya Jamii zao.
View attachment 2840418
View attachment 2840420
huyu ndio mke wa mchengerwa au ni mwingine?
MTOTO WA RAIS SAMIA, WANU HAFIDH ASHINDA TUZO YA MWANAMKE MAHIRI ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative ambae pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir amenyakua tuzo ya mwanamke mahiri katika kipengele cha mtendaji bora wa taasisi kwa mwaka katika kuchochea shughuli za maendeleo kwa jamii.
Mhe. Wanu ambaye ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa wanawake washindi 17 waliopatiwa tuzo hizo ambazo hutambua mchangao wa mwanamke katika kuleta matokeo chanya.
Mhe. Wanu anasema kufanyika kwa tunzo hizo kunaibua ari na ujasiri kwa wanawake wote nchini kufanya juhudi katika kufanikisha mipango mbalimbali kwa maslahi ya Jamii zao.
View attachment 2840418
View attachment 2840420
Hekima ya aliyejibu ndio uhalo kabisa.Daah aisee Rais wa Nchi unamtakia hayo maneno wacha niendelee kushangaa...
Kwani rais hawezi kuwa kichwa maji?Daah aisee Rais wa Nchi unamtakia hayo maneno wacha niendelee kushangaa...
Kahaba mamako aliyekuzaa danguro we mbwaNi kakahaba fulani hivi kalikojificha kwa ushungi na uongozi.
Hawapewi tuzo hivihivi hawa, lazima watoe kitu ili wapewe kitu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Walaumu wazazi wakoUshindi wake unatokana na mzazi wake kwa sababu huko nyuma hakusikika. Hata kaka yake ana jina kubwa serikalini ingawa hana cheo kinachofahamika.
Ni pisi nzuri kwa kweli. Hapa Bi. Tozo Kazaa Binti mzuri sana.Kuolewa, ni mke wa Mohamed Mchengerwa
Mambo mengine yanafikirisha sana mtu anaropoka tuHIvi unaanzaje kumchukia binaadamu mwenzako ambaye hajakukosea kitu ?
Ila ni mrembo
MTOTO WA RAIS SAMIA, WANU HAFIDH ASHINDA TUZO YA MWANAMKE MAHIRI ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative ambae pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir amenyakua tuzo ya mwanamke mahiri katika kipengele cha mtendaji bora wa taasisi kwa mwaka katika kuchochea shughuli za maendeleo kwa jamii.
Mhe. Wanu ambaye ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa wanawake washindi 17 waliopatiwa tuzo hizo ambazo hutambua mchangao wa mwanamke katika kuleta matokeo chanya.
Mhe. Wanu anasema kufanyika kwa tunzo hizo kunaibua ari na ujasiri kwa wanawake wote nchini kufanya juhudi katika kufanikisha mipango mbalimbali kwa maslahi ya Jamii zao.
View attachment 2840418
View attachment 2840420