Mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh Ashinda Tuzo ya Mwanamke Mahiri Zanzibar

Mwenzako nimeshakutangulia, jiandae kuja kunisalimia Ikulu wakati unasikilizia mchongo wako utiki. Lols
Natania Mkuu, fanya hima nami ndugu yako nije kula ubwabwa kama Yanga walivyokula, niliutamani kweli yani.
 
Litoto lizuri kweli. Nitakubaliwa mimi mtutsi mtanzania nikipeleka mahari Zenji? Au nami nitabaguliwa kama machogo wa bara?
 
Mmmh!
I reserve my comment.
 
huyu ndio mke wa mchengerwa au ni mwingine?
 
Ila ni mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…