Mtoto wa Rais Samia (Wanu): Sitamani Kuonekana Mtoto wa Rais Nikiingia Mahali/Naumia Mzazi Akitukanwa

Mambo ya umama ni kwenu huko mambo ya kitaifa yanapoenda kombo haangaliwi kama mama.

Kuna siku huyo dada atakuja kusema anajisikia vibaya mumewe Mchengerwa akisemwa.

Uongozi unahitaji ngozi ngumu kama hawawezi wakae pembeni , yaani mtu anapwaya halafu asiambiwe?
 
Hata mimi huwa naumia sana kuona Mheshimiwa Rais akitukanwa matusi na vitoto vidogo kama li Mdude Nyagali
Endelea kuumia zaidi.

Atatukanwa sana tu kwani yeye ndio wa kwanza kutukanwa?

Pia ulivyoumia Samia amekupa dawa ya kuponya hayo maumivu ?
 
Yeye, mume wake, had maza ake waache vyeo na madaraka, wawe raia wa kawaida ndo tutajua ana maanisha, vinginevyo aache porojo zake.

Kwanza atuache bhana, hatuna mda na wao, anakera na kuboa tyuu.
Mxxxxiiiiieeeeew.
 
Ajuwe,tunayempenda Rais ni wengi zaidi,ni asilimia 99.9.Kwa hiyo awe upande wetu,tunayempenda Rais na kumsema vizuri.
 
mchengerwa anamwagia pazuri aiseee.....
 

Pia Mwl. Nyerere hakuwahi kumpa mwanae cheo wala mkwe cheo chochote.
Na kanuni inakataza kwa mtu mwadilifu kabisa ili kuepuka mgongano wa maslahi na pia mwanao au mkwe akikosea unaweza kushindwa kumkabili kumuonya sababu ya mgongano wa kimaslahi.
Siku hizi hawajali wala nini?!
 
Kama hataki mama yake kutukanwa amwambie arudi kwao atuachie nchi yetu alafu aone kama kuna ambae atamnyoshea kidole
 
Hata sisi hatupendi kuona yeye na familia yake wakifisadi kila sekta...huku mikononi mwao wamejaa damu za watanzania wanaouwawa na kikosi kazi chao
 
Aache unafiki kama anaumizwa kweli amwambie mama yake asigombee 2025,siye wenyewe tunaumia sana tunavyoona anataka kugombea 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…