Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

There are two scenarios to why a person involved in an accident would not be advised to be given water (oral hydration).

Three reasons which are corresponding with the person who is involved in an accident and exhibits wounds internally or externally.

1) Patient may aspirate the water if he is not fully conscious and it may cause choking and death or aspiration pneumonia as a late complication.

2) He may have suffered injuries which would need a major surgery and in such a case it is better if he hasn't taken any food or fluids.

3) A head injury may cause cerebral edema, and in the absence of any major blood loss, more fluids will aggravate the oedema and may cause irreversible brain damage or death.

And another scenario is with the person who has suffered a shock after being involved in an accident.

When a person is in shock, his or her body reduces blood flow to the digestive tract (stomach, intestines, etc.) in order to supply vital organs (heart, lungs, brain, etc.). As a result, water and food can not be absorbed normally. This often causes the person to vomit. Vomiting increases fluid loss, leaving him or her more dehydrated than before. Vomiting also raises the risk of aspiration (stomach contents getting into the trachea and lungs) which is quite dangerous.

But also during shock, the heart is unable to pump blood to meet the oxygen requirement in the tissues.

In relevant to the issue on hand is that blood is shunted to the vital organs such as the brain.

Note that the intestine is not a vital organ.

Hence, blood is shunted away via sympathetic actions that bring about vasoconstriction and reduce gut motility.

In this case if you give water or feed, the gut become prone to ischemia, gangrene and perforation because of the already compromised perfusion.
Please summarize hata sentensi Tano, umeelewaje baada ya kugoogle?
afu kwa lugha ya taifa basii
 
Umpe ama usimpe kama wakati umetimia, atakufa tu..

Hii inatokana na mafundisho(uislam) wakati wa umauti mtu anaweza akapatwa na kiu kali mnoo..
Kwahiyo kwa watu wengi imekuwa ni dalili kuwa kuomba maji kwa mgonjwa yawezekana ikawa umauti unasogea, lakini hapa umpe ama usimpe umauti utamchukua tu kama wakat wake umetimia
Ndugu, hujajibu swali.
Achana na mambo ya predestination.
Mfano: Binti mmoja jirani yangu alifanya abortion na mauti yakamkuta lakini cha ajabu pale msibani nilisikia wazee wakitoa pole kuwa hiyo ni kazi ya Muumba, kwamba wakati ulikuwa umetimia!
Ni kweli kuwa wakati ulikuwa umetimia?
Mtu anayeomba maji baada ya kupata ajali yawezekana asipewe maji na akapona.
Ninaamini wajuvi wa mambo watatoa jibu ni kwanini.
 
Kwa sababu umepunguza maji mwilini kwa kutoka jasho. Haishauriwi unywe maji au kuoga mara unapo maliza mazoezi, bali upumzike mwili upoe kwanza.
Nafanya mazoezi ya GYM na Proffesional unashauriwa upige mazoezi na maji pembeni.
 
Habarini wananzengo,

Nimeshuhudia baadhi ya visa vya watu kuomba maji wakiwa hoi sana wengi wao ikiwa ni baada kupata ajali. Kuna jamaa alianguka kutoka kwenye mti akawa analia apewe maji lakini hakuna mtu aliyempa.

Mwengine aligongwa na gari akawa analia huku akisema"naombeni maji, majii tu" kuna mzee mmoja alikataa kata kata jamaa asipewe hayo maji badala yake akimbizwe hospitalini na sikua na nafasi ya kumuuliza huyo mzee ni kwanini jamaa asipewe maji.

Naombeni kuuliza inamaanisha nini mtu anapoomba maji akiwa kwenye hali kama hiyo 👆 na ukimpa maji kitamtokea nini?
Labda maji yanaweza kusababisha cardiac overload 😂😂
 
There are two scenarios to why a person involved in an accident would not be advised to be given water (oral hydration).

Three reasons which are corresponding with the person who is involved in an accident and exhibits wounds internally or externally.

1) Patient may aspirate the water if he is not fully conscious and it may cause choking and death or aspiration pneumonia as a late complication.

2) He may have suffered injuries which would need a major surgery and in such a case it is better if he hasn't taken any food or fluids.

3) A head injury may cause cerebral edema, and in the absence of any major blood loss, more fluids will aggravate the oedema and may cause irreversible brain damage or death.

And another scenario is with the person who has suffered a shock after being involved in an accident.

When a person is in shock, his or her body reduces blood flow to the digestive tract (stomach, intestines, etc.) in order to supply vital organs (heart, lungs, brain, etc.). As a result, water and food can not be absorbed normally. This often causes the person to vomit. Vomiting increases fluid loss, leaving him or her more dehydrated than before. Vomiting also raises the risk of aspiration (stomach contents getting into the trachea and lungs) which is quite dangerous.

But also during shock, the heart is unable to pump blood to meet the oxygen requirement in the tissues.

In relevant to the issue on hand is that blood is shunted to the vital organs such as the brain.

Note that the intestine is not a vital organ.

Hence, blood is shunted away via sympathetic actions that bring about vasoconstriction and reduce gut motility.

In this case if you give water or feed, the gut become prone to ischemia, gangrene and perforation because of the already compromised perfusion.
Tafsiri:
1 mtu aliyepata ajali, anakuwa hana ufahamu mzuri, licha ya kuhisi kiu, anaweza asiweze kunywa maji vizuri, ikapelekea kupaliwa na hatimae kifo.

2 baada ya ajali, mtu anaweza kuhitaji upasuaji mkubwa wa dharura. Upasuaji hufanyika mtu anapokuwa hajakula au kunywa chochote. Hivyo ni vizuri kutompa aliyepata ajali maji au chakula ili aweze kusaidiwa kwa haraka hospitalini.

3 mtu anapoumia kichwani, kuna uwezekano wa kuwa na uvimbe ndani ya ubongo hasa asipotoka damu (nyingi au hakuna damu kabisa). Akipewa maji, kuna uwezekano wa kuongeza kasi ya kuvimba ubongo na kusababisha ubongo kuharibika na mtu asipone tena.(koma, kupoteza fahamu kwa muda mrefu hadi kifo).

Pia baada ya ajali, mtu anakuwa katika mshituko. Katika hali hii, damu inakimbizwa zaidi katika viungo muhimu, kama moyo, na mapafu.
Mfumo wa chakula unakuwa haupati mzunguko wa kutosha wa damu, hivyo ukimpatia maji, kuna uwezekano mkubwa akaanza kutapika, na hii itapelekea azidi kupoteza maji mwilini, kupoteza fahamu hasa anapopaliwa na maji yaliyoingia katika mfumo wa hewa na pengine kupelekea kuzimia hata kifo.
 
There are two scenarios to why a person involved in an accident would not be advised to be given water (oral hydration).

Three reasons which are corresponding with the person who is involved in an accident and exhibits wounds internally or externally.

1) Patient may aspirate the water if he is not fully conscious and it may cause choking and death or aspiration pneumonia as a late complication.

2) He may have suffered injuries which would need a major surgery and in such a case it is better if he hasn't taken any food or fluids.

3) A head injury may cause cerebral edema, and in the absence of any major blood loss, more fluids will aggravate the oedema and may cause irreversible brain damage or death.

And another scenario is with the person who has suffered a shock after being involved in an accident.

When a person is in shock, his or her body reduces blood flow to the digestive tract (stomach, intestines, etc.) in order to supply vital organs (heart, lungs, brain, etc.). As a result, water and food can not be absorbed normally. This often causes the person to vomit. Vomiting increases fluid loss, leaving him or her more dehydrated than before. Vomiting also raises the risk of aspiration (stomach contents getting into the trachea and lungs) which is quite dangerous.

But also during shock, the heart is unable to pump blood to meet the oxygen requirement in the tissues.

In relevant to the issue on hand is that blood is shunted to the vital organs such as the brain.

Note that the intestine is not a vital organ.

Hence, blood is shunted away via sympathetic actions that bring about vasoconstriction and reduce gut motility.

In this case if you give water or feed, the gut become prone to ischemia, gangrene and perforation because of the already compromised perfusion.
swali limeulizwa kiswahili unajibu kiingereeza,,,
 
Mwili unahitaji maji mengi kuliko damu!
MTU aliyepata ajari anakuwa amevuja damu nyingi halafu mapigo ya moyo yanachenji, tatu ile hali ya upungufu wa maji unaufanya mwili uhitaji maji mengi kwa mpigo kiasi cha kusababisha stroke kwenye moyo!
Ni kama jiwe LA moto ukimwagia maji (quenching) lina pasuka!
Ndivyo mishipa ya ateri na adrenal inavyokuwa na joto kubwa kiasi cha kuhitaji maji kidogo kidgo hususa katika mfumo wa dripu!

Unampa maji mwenye kiu Kali huwezi mzuia asibugie maji mengi kwasababu anakiu! (Ni sawa na mtu aliyetoka jera anaugwadu halafu apewe papa ya kuingiza kichwa tu...jokes)

Hivyo ni hatari kumpa maji aliyepatwa na ajari kwasababu joto LA mwili linakuwa juu sana!
Njia pekee ni matone au dropping au dripu
Well
 
Umpe ama usimpe kama wakati umetimia, atakufa tu..

Hii inatokana na mafundisho(uislam) wakati wa umauti mtu anaweza akapatwa na kiu kali mnoo..
Kwahiyo kwa watu wengi imekuwa ni dalili kuwa kuomba maji kwa mgonjwa yawezekana ikawa umauti unasogea, lakini hapa umpe ama usimpe umauti utamchukua tu kama wakat wake umetimia

Ni nani aliyekufa ktk familia yako au rafiki zako kisha baada ya kuwa ameshakufa akakueleza kwamba kile kiu alichosikia hadi akakuomba maji ya kunywa kilitokana na ujio wa kifo chake?

Ajabu sana hii,unatoa conclusions kwa kitu ambacho hata hujawahi kuhisi kinafananaje/kinakuwaje!
 
Mhasiriwa anaishi kwa damu iliyo mwilini. Kwa hivyo kutoa maji husababisha upunguzaji wa damu na mwathiriwa huanguka hadi kufa kabla ya kupata msaada wa matibabu.

Ikiwa jeraha ni dogo sana kama vile mikwaruzo ya kina, kuvunjika kwa mkono au miguu mtu anaweza kuchukua maji lakini hata hivyo inashauriwa kuzuia mpaka msaada wa matibabu.

Usije kuwapa maji wahasiriwa kama vile waliondondoka kutoka umbali mrefu, aliepata majeraha maeneo ya tumbo au sehemu yoyote ya mwili. Pia usimsonge mwathirika. Watu wengi wanauawa wahasiriwa pale wanapo jaribu kusaidia kabla ya misaada ya kwanza kufika.

Mhasiriwa hakika anahisi kiu, kwa hivyo ili kuipunguza mtu anaweza kulowesha ulimi na karatasi ya kitambaa, leso nk.
 
There are two scenarios to why a person involved in an accident would not be advised to be given water (oral hydration).

Three reasons which are corresponding with the person who is involved in an accident and exhibits wounds internally or externally.

1) Patient may aspirate the water if he is not fully conscious and it may cause choking and death or aspiration pneumonia as a late complication.

2) He may have suffered injuries which would need a major surgery and in such a case it is better if he hasn't taken any food or fluids.

3) A head injury may cause cerebral edema, and in the absence of any major blood loss, more fluids will aggravate the oedema and may cause irreversible brain damage or death.

And another scenario is with the person who has suffered a shock after being involved in an accident.

When a person is in shock, his or her body reduces blood flow to the digestive tract (stomach, intestines, etc.) in order to supply vital organs (heart, lungs, brain, etc.). As a result, water and food can not be absorbed normally. This often causes the person to vomit. Vomiting increases fluid loss, leaving him or her more dehydrated than before. Vomiting also raises the risk of aspiration (stomach contents getting into the trachea and lungs) which is quite dangerous.

But also during shock, the heart is unable to pump blood to meet the oxygen requirement in the tissues.

In relevant to the issue on hand is that blood is shunted to the vital organs such as the brain.

Note that the intestine is not a vital organ.

Hence, blood is shunted away via sympathetic actions that bring about vasoconstriction and reduce gut motility.

In this case if you give water or feed, the gut become prone to ischemia, gangrene and perforation because of the already compromised perfusion.

Hapa ndipo msingi wa tofauti baina ya sayansi na nyungu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mhasiriwa anaishi kwa damu iliyo mwilini. Kwa hivyo kutoa maji husababisha upunguzaji wa damu na mwathiriwa huanguka hadi kufa kabla ya kupata msaada wa matibabu.

Ikiwa jeraha ni dogo sana kama vile mikwaruzo ya kina, kuvunjika kwa mkono au miguu mtu anaweza kuchukua maji lakini hata hivyo inashauriwa kuzuia mpaka msaada wa matibabu.

Usije kuwapa maji wahasiriwa kama vile waliondondoka kutoka umbali mrefu, aliepata majeraha maeneo ya tumbo au sehemu yoyote ya mwili. Pia usimsonge mwathirika. Watu wengi wanauawa wahasiriwa pale wanapo jaribu kusaidia kabla ya misaada ya kwanza kufika.

Mhasiriwa hakika anahisi kiu, kwa hivyo ili kuipunguza mtu anaweza kulowesha ulimi na karatasi ya kitambaa, leso nk.
Kutoa maji kunasababishaje upunguzaji wa damu mwilini?
 
Kuna mshikaji alikuwa amelewa chakari mchana wa jua Kali akaanguka kutembea hawezi ila alikuwa amekaa tu na anaonekana hana nguvu,akawa anaomba sana maji kwa wapita njia

Kuna jamaa alikuwa karibu akafuata maji alipokaribia Kuna mama mmoja akasema usimpe maji atakufa,kama una chumvi mpake kwenye nyayo pombe itakata

Je aliyelewa sana nae ukimpa maji atakufa?
 
Umpe ama usimpe kama wakati umetimia, atakufa tu..

Hii inatokana na mafundisho(uislam) wakati wa umauti mtu anaweza akapatwa na kiu kali mnoo..
Kwahiyo kwa watu wengi imekuwa ni dalili kuwa kuomba maji kwa mgonjwa yawezekana ikawa umauti unasogea, lakini hapa umpe ama usimpe umauti utamchukua tu kama wakat wake umetimia
Hatutaki kiislam tunataka kibailojia
 
Ndugu, hujajibu swali.
Achana na mambo ya predestination.
Mfano: Binti mmoja jirani yangu alifanya abortion na mauti yakamkuta lakini cha ajabu pale msibani nilisikia wazee wakitoa pole kuwa hiyo ni kazi ya Muumba, kwamba wakati ulikuwa umetimia!
Ni kweli kuwa wakati ulikuwa umetimia?
Mtu anayeomba maji baada ya kupata ajali yawezekana asipewe maji na akapona.
Ninaamini wajuvi wa mambo watatoa jibu ni kwanini.
Umetaka kupinga na bado hujaweka unachokielewa..
Naona hujaelewa nimejibu hivi kupona ama kutokupona inategemea na wakat wake anaweza akaomba maji asipewe na asife, nadhani ukilegeza kichwa utaelewa nilichomaanisha chief.


Ni hivi kila mtu na wakati wake, atakufaje inategemea, na hiki ndio utahukumiwa nacho, ahada ni ww kufa tarehe 30/12/1995, saa 1330, ukifika muda huo utakifa tu, iwe ulikiwa guest, uwe kanisani, uwe umelala kwako, uwe umelazwa hospitali, uwe unatoa misaada kwa yatima, uwe unaendesha ndege utakifa tu.
jiulize wangapi wanafanya abortion na hawafi, ni sahihi kazi ya Mungu(lazima sote tufe) ila namna gani kafa ni juu yake.

Mtu anaugua kansa vipimo vinaonesha baada ya mwezi ni kushney lakini anakuja kuishi miezi kadha wa kadha mpaka madaktar wanashangaa.
 
Back
Top Bottom