Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

ndoshida ya uislam ,hapa tunazungumzia vitu gani vinapelekea huyu MTU aombe maji na akipewa anakufa,lakini huyuhuyu akikimbizwa hospitalini anatundikiwa drip anapona ,tunataka jibu LA kibiolojia au science, siohilo kamalako

Sasa shida uislam ama wewe tu chief!? Hiyo biology haijibu hili suala..
Wangapi wanakufa hali wametundikiwa hizo drip.

Kuna aya moja siikumbuki, mumgu anamwambia mtume wake kuwa watu wanamuuliza kuhusu roho, hiyo ni elimu ambayo hajatupa(hatuna)

Naona unataka kubisha sababu jibu nimelinasibisha na dini, ila hatuwezi kukwepa dini juu ya umauti.
 
Huwa nasikia mtu aliye katika hali hiyo ukimpa maji anaweza kufa.
Kuna mwizi mmoja hivi alikamatwa na kondoo aliyeiba parokiani basi wakambebesha huyo kondoo na kuanza kumkimbiza kutoka hapo kwenda parokiani (ilikuwa kama ni kijiji cha jirani na hapo). Alipofikiswa pale kuna wahuni wakawa wanapiga kelele "mpeni maji, ana kiu...kakimbia sana"😂😂😂 Wamama wakaanza kupiga kelele wakiamba hao masela wasimpe maji huyo kaka kibaka.

Natamani kuelezwa huu mchakato unakuwaje kibaiolojia.
DUH!! jamaa kakwiba parokiani kabisa 😂 😂
 
Kuna mshikaji alikuwa amelewa chakari mchana wa jua Kali akaanguka kutembea hawezi ila alikuwa amekaa tu na anaonekana hana nguvu,akawa anaomba sana maji kwa wapita njia

Kuna jamaa alikuwa karibu akafuata maji alipokaribia Kuna mama mmoja akasema usimpe maji atakufa,kama una chumvi mpake kwenye nyayo pombe itakata

Je aliyelewa sana nae ukimpa maji atakufa?
Labda maini zake zilikua zinawaka Moto na pia unaweza kuta alikua na maradhi yake mengine yaliyomfanya awe hoi
 
DUH!! jamaa kakwiba parokiani kabisa 😂 😂
Alidhani kwa kuwa wanasema samehe 7x70 hivyo wangemuacha tu, isingekuwa juhudi za wamama kupiga makelele angechomwa palepale parokiani maana paroko alishatoa go ahead. Yule alikiwa kondoo kama wa nne kuibiwa so baba paroko alikiwa kamaind sana😂😂😂😂
 
Habarini wananzengo,

Nimeshuhudia baadhi ya visa vya watu kuomba maji wakiwa hoi sana wengi wao ikiwa ni baada kupata ajali. Kuna jamaa alianguka kutoka kwenye mti akawa analia apewe maji lakini hakuna mtu aliyempa.

Mwengine aligongwa na gari akawa analia huku akisema"naombeni maji, majii tu" kuna mzee mmoja alikataa kata kata jamaa asipewe hayo maji badala yake akimbizwe hospitalini na sikua na nafasi ya kumuuliza huyo mzee ni kwanini jamaa asipewe maji.

Naombeni kuuliza inamaanisha nini mtu anapoomba maji akiwa kwenye hali kama hiyo 👆 na ukimpa maji kitamtokea nini?


Huwa kuna usemi " alipoanguka akafa palepale hakuomba hata maji"
 
Alidhani kwa kuwa wanasema samehe 7x70 hivyo wangemuacha tu, isingekuwa juhudi za wamama kupiga makelele angechomwa palepale parokiani maana paroko alishatoa go ahead. Yule alikiwa kondoo kama wa nne kuibiwa so baba paroko alikiwa kamaind sana😂😂😂😂
Aise 😂 😂 😂 baba paroko akawapa raia morali
 
Kuna mahali nilisoma sikumbuki vizuri Ila nitaelezea kidogo..
1. Ni kuwa seli za damu zinaanza kufa na hivyo kupelekea damu kuganda, damu ikianza kuganda mwili mtu huhisi kiu kikuu ambalo mwili uhitaji ili kuruhusu mzunguko wa damu ku restore anyway nakumbuka hivi tu
 
Kuna mshikaji alikuwa amelewa chakari mchana wa jua Kali akaanguka kutembea hawezi ila alikuwa amekaa tu na anaonekana hana nguvu,akawa anaomba sana maji kwa wapita njia

Kuna jamaa alikuwa karibu akafuata maji alipokaribia Kuna mama mmoja akasema usimpe maji atakufa,kama una chumvi mpake kwenye nyayo pombe itakata

Je aliyelewa sana nae ukimpa maji atakufa?
MI sijui
 
Ni sawa na mtu aliyetoka kufanyiwa oparesheni akishazinduka huwa anahisi kiu ya hali ya juu sana lakini manesi huwa hawaruhusu apewe maji akiruhusu atakuambia mpe kwenye kizibo cha chupa ya maji tu basi halafu achana naye mpk muda fulani ndiyo umpe chai
 
Ni sawa na mtu aliyetoka kufanyiwa oparesheni akishazinduka huwa anahisi kiu ya hali ya juu sana lakini manesi huwa hawaruhusu apewe maji akiruhusu atakuambia mpe kwenye kizibo cha chupa ya maji tu basi halafu achana naye mpk muda fulani ndiyo umpe chai
Sawa, lakini pia mgonjwa wa muda mrefu (mahututi) ambaye pengine watu washakata tamaa kwamba atapona akitaka kufa hupata ahueni na kuomba aletewe pilau na akishakula tu ndo bye bye
 
Umpe ama usimpe kama wakati umetimia, atakufa tu..

Hii inatokana na mafundisho(uislam) wakati wa umauti mtu anaweza akapatwa na kiu kali mnoo..
Kwahiyo kwa watu wengi imekuwa ni dalili kuwa kuomba maji kwa mgonjwa yawezekana ikawa umauti unasogea, lakini hapa umpe ama usimpe umauti utamchukua tu kama wakat wake umetimia
Mkuu hii ya kusema wakati umetimia napenda kuipinga kwani ni kama inajustify vifo vilivyosababishwa kwa uzembe au makusudi.
 
Mkuu hii ya kusema wakati umetimia napenda kuipinga kwani ni kama inajustify vifo vilivyosababishwa kwa uzembe au makusudi.
Ukisoma juu hapo kuna comment moja ina jibu la hili swali lako chief..

Labda nikuulize hivi wangapi wamefanya uzembe na hawajafa kwa uzembe wao, tunasema ni bahati yao sio, basi hiyo bahati ndio siku yake haijafika.. Wangapi wanakufa bila ya uzembe wao.. Ni kwamba wakati umefika

Kila mtu ana wakati wake maalum, so inategemea wakat wako utakapotimu umekukuta wapi, iwe unachezea kisu, iwe unavuka barabara, uwe umelala kwako, iwe unakula, uwe mgonjwa mahututi kitandani etc..
 
Umpe ama usimpe kama wakati umetimia, atakufa tu..

Hii inatokana na mafundisho(uislam) wakati wa umauti mtu anaweza akapatwa na kiu kali mnoo..
Kwahiyo kwa watu wengi imekuwa ni dalili kuwa kuomba maji kwa mgonjwa yawezekana ikawa umauti unasogea, lakini hapa umpe ama usimpe umauti utamchukua tu kama wakat wake umetimia
kifo ni lazima ila tahadhari ni muhumu mkuu
 
Habarini wananzengo,

Nimeshuhudia baadhi ya visa vya watu kuomba maji wakiwa hoi sana wengi wao ikiwa ni baada kupata ajali. Kuna jamaa alianguka kutoka kwenye mti akawa analia apewe maji lakini hakuna mtu aliyempa.

Mwengine aligongwa na gari akawa analia huku akisema"naombeni maji, majii tu" kuna mzee mmoja alikataa kata kata jamaa asipewe hayo maji badala yake akimbizwe hospitalini na sikua na nafasi ya kumuuliza huyo mzee ni kwanini jamaa asipewe maji.

Naombeni kuuliza inamaanisha nini mtu anapoomba maji akiwa kwenye hali kama hiyo 👆 na ukimpa maji kitamtokea nini?
𝓝𝓰𝓸𝓳𝓪 𝓷𝓲𝓴𝓪𝓬𝓱𝓾𝓷𝓰𝓾𝓵𝓲𝓮 𝓼𝓵𝓲𝓭𝓮𝓼 𝔃𝓪𝓷𝓰𝓾 𝔃𝓪 𝓶𝓮𝓭𝓲𝓬𝓪𝓵 𝓹𝓱𝔂𝓼𝓲𝓸𝓵𝓸𝓰𝔂 𝓷𝓲𝓽𝓪𝓻𝓾𝓭𝓲 𝓷𝓪 𝓳𝓲𝓫𝓾
 
Back
Top Bottom