Mtu anapoomba maji baada ya ajali na ukampatia, ni nini kitamtokea?

ndoshida ya uislam ,hapa tunazungumzia vitu gani vinapelekea huyu MTU aombe maji na akipewa anakufa,lakini huyuhuyu akikimbizwa hospitalini anatundikiwa drip anapona ,tunataka jibu LA kibiolojia au science, siohilo kamalako

Sasa shida uislam ama wewe tu chief!? Hiyo biology haijibu hili suala..
Wangapi wanakufa hali wametundikiwa hizo drip.

Kuna aya moja siikumbuki, mumgu anamwambia mtume wake kuwa watu wanamuuliza kuhusu roho, hiyo ni elimu ambayo hajatupa(hatuna)

Naona unataka kubisha sababu jibu nimelinasibisha na dini, ila hatuwezi kukwepa dini juu ya umauti.
 
DUH!! jamaa kakwiba parokiani kabisa ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Labda maini zake zilikua zinawaka Moto na pia unaweza kuta alikua na maradhi yake mengine yaliyomfanya awe hoi
 
DUH!! jamaa kakwiba parokiani kabisa ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Alidhani kwa kuwa wanasema samehe 7x70 hivyo wangemuacha tu, isingekuwa juhudi za wamama kupiga makelele angechomwa palepale parokiani maana paroko alishatoa go ahead. Yule alikiwa kondoo kama wa nne kuibiwa so baba paroko alikiwa kamaind sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 


Huwa kuna usemi " alipoanguka akafa palepale hakuomba hata maji"
 
Aise ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ baba paroko akawapa raia morali
 
Kuna mahali nilisoma sikumbuki vizuri Ila nitaelezea kidogo..
1. Ni kuwa seli za damu zinaanza kufa na hivyo kupelekea damu kuganda, damu ikianza kuganda mwili mtu huhisi kiu kikuu ambalo mwili uhitaji ili kuruhusu mzunguko wa damu ku restore anyway nakumbuka hivi tu
 
MI sijui
 
Ni sawa na mtu aliyetoka kufanyiwa oparesheni akishazinduka huwa anahisi kiu ya hali ya juu sana lakini manesi huwa hawaruhusu apewe maji akiruhusu atakuambia mpe kwenye kizibo cha chupa ya maji tu basi halafu achana naye mpk muda fulani ndiyo umpe chai
 
Sawa, lakini pia mgonjwa wa muda mrefu (mahututi) ambaye pengine watu washakata tamaa kwamba atapona akitaka kufa hupata ahueni na kuomba aletewe pilau na akishakula tu ndo bye bye
 
Mkuu hii ya kusema wakati umetimia napenda kuipinga kwani ni kama inajustify vifo vilivyosababishwa kwa uzembe au makusudi.
 
Mkuu hii ya kusema wakati umetimia napenda kuipinga kwani ni kama inajustify vifo vilivyosababishwa kwa uzembe au makusudi.
Ukisoma juu hapo kuna comment moja ina jibu la hili swali lako chief..

Labda nikuulize hivi wangapi wamefanya uzembe na hawajafa kwa uzembe wao, tunasema ni bahati yao sio, basi hiyo bahati ndio siku yake haijafika.. Wangapi wanakufa bila ya uzembe wao.. Ni kwamba wakati umefika

Kila mtu ana wakati wake maalum, so inategemea wakat wako utakapotimu umekukuta wapi, iwe unachezea kisu, iwe unavuka barabara, uwe umelala kwako, iwe unakula, uwe mgonjwa mahututi kitandani etc..
 
kifo ni lazima ila tahadhari ni muhumu mkuu
 
๐“๐“ฐ๐“ธ๐“ณ๐“ช ๐“ท๐“ฒ๐“ด๐“ช๐“ฌ๐“ฑ๐“พ๐“ท๐“ฐ๐“พ๐“ต๐“ฒ๐“ฎ ๐“ผ๐“ต๐“ฒ๐“ญ๐“ฎ๐“ผ ๐”ƒ๐“ช๐“ท๐“ฐ๐“พ ๐”ƒ๐“ช ๐“ถ๐“ฎ๐“ญ๐“ฒ๐“ฌ๐“ช๐“ต ๐“น๐“ฑ๐”‚๐“ผ๐“ฒ๐“ธ๐“ต๐“ธ๐“ฐ๐”‚ ๐“ท๐“ฒ๐“ฝ๐“ช๐“ป๐“พ๐“ญ๐“ฒ ๐“ท๐“ช ๐“ณ๐“ฒ๐“ซ๐“พ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ