Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kumliki mall katika ndoto au!?wachs maskhar mzeeee si kila wazo liwe laivu mengine ynaishi tukilalaBadala ya soko jenga Tower au Mall itayotoa huduma ya maduka na services zingine huko ndani weka eneo la Supermarket za kisasa zenyewe zinabeba kila kitu mpaka hizo mboga na vyakula vya asili.
Ni kweli, malls na masoko yetu havina tofauiti kiutendaji, vimetofautiana hadhi tu. Kama mtu binafsi anaweza kujenga mall basi hata soko inawezekana.Kwanza ungejiuliza tafsiri ya soko ni nini,.Je wale wanaojenga majengo makubwa ya biashara na kuwapangishia watu maeneo ya kuuzia bidhaa(Mall)
Jibu rahisi ni kwamba inawezekana.
Mbona kampuni za mabasi zina mahali pa binafsi kwa ajili ya hayo magari na abiria?Soko ni mali ya umma. Kutaka kumiliki private ni kuvunja sheria( zipo sheria ) ni kam stendi au bus terminal! Labda uwauzie halmashaur walifany wao kuw soko
Unaweza kufanya hivo ila tatizo pakinoga serikali inaweza amua kupachukua kabisa.Kwa jina la jamhuri,
Wakuu hivi kama nina kiwanja naona kimekaa sehemu nzuri naweza kukifanya kiwe soko? Yaani hapo kati nijenge au niwape watu wajenge meza za kuweka mambo ya mbogamboga, nafaka na vyakula vingine halafu pembeni nijenge furemu kuzunguka. Kama tu yalivyo masoko mengi.
Hapo nakuwa nachukua miatatu miatatu za wenye vibanda, miambilimiambili za chooni na kodi za maduka kwenye frem zinazozunguka.
Inawwzekana hii kitu, ishu za mipango miji zikoje?
Kwanini asijenge hizo frames na mabanda akodishe kwa mwezi halafu halmashauri wakusanye ushuru wao kama kawaida ?Inawezekana Ila fanya kama vile fremu
Pasiwe open kabisa
Weka zege chini
Na Kodi Kwa halmashauri ulipe
Usijilinganishe na ccm mkuu, ccm wanamiliki nchi pamoja na raia wake waliomo ndani ya nchi.Mkuu mbona CCM huwa inamiliki open space kisha inawakodishia watu wanaoweka vibanda na kuwa soko, hujawahi ona hilo?
Mtaji wezi wawili ,counter book, pingu au kamba na rungu na kaghetoEee hata kituo cha Polisi unaweza kuanzisha mbona ila mtaji uwe mkubwa.😊😊😊😊
Mkuu Red Giant kuna eneo moja nimeona hapa Dar ni soko bubu yaani linamilikiwa na mtu binafsi. Hapo unapata kuanzia mitumba mpaka nyanya mpka electronics yaani pako busy kma upo tandika vile.Soko ni chanzo muhimu cha mapato ya halmashauri na tushajijengea imani kuwa masoko ni ya halmashauri maana ndio wamiliki wa ardhi.. hivyo kuna hatari ya kujuta kwa kuwa mshindani wa halmashauri.. siku utaamka utakuta SI MMILIKI TENA
Ccm wanamiliki masoko baadhi ya mikoa na wilayaSasa vibali utapata wapi? Ni vema uende ukaulize tu ili ujue mbivu na mbichi mkuu.
Halmashauri haitakubali ila akaanzishe Genge hapo hakuna atakayemfuata na atatoza vimeza vyake viwili hadi kumiInawezekana ila ramani ya mji inasemaje?
Mtaji wezi wawili ,counter book, pingu au kamba na rungu na kagheto
Genge na soko Ni tofauti halafu kama upo Dar si ishu Sana si unaona palivyo hovyohovyoKwanini nitajuta, mbona wenye magenge na frem hawajuti.
OkMwezi ujao nafunga Miaka mitatu.