Mtu huyu akisimama na mgombea wa CCM mwaka 2025, ni lazima CCM tuangukie pua

Mtu huyu akisimama na mgombea wa CCM mwaka 2025, ni lazima CCM tuangukie pua

Ila Halima Mdee alistahili kuwa hata M/kiti wa CDM kuliko huyu aliyepo sasa! Yule dada anajua, anajiamini na ni mchapakazi. Hayumbishwi na walioshikilia rungu iwe ndani ya chama au nje ya chama. Yuko imara kusimama na kile kilicho sahihi, siyo huyu wa mbingu na Ardhi. 😂😂 ukisema mbingu na ardhi tafsiri yake ni kuwa umeridhika na utendaji kazi wa mtu huyo 100% hivyo hauna haja ya kuweka upinzani ni halali yake aendelee bila hata kupingwa. (Mbingu na Ardhi = pepo na jehanamu) sa uko peponi sa hv nini unahitaji tena?
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu.

1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani chenye sera nzuri, zinazoeleweka na kutekelezeka. Chama hicho kiwe na sura ya kitaifa, kiwe na viongozi wakweli, wenye maono na misimamo thabiti ya kuikomboa nchi.

Kiwe na mifano hai ya utekelezaji wa sera zake kupitia chama husika ili kiweze kuaminika machoni mwa watanzania wengi. a) sio mtu useme chama chetu kina misingi ya demokrasia wakati mwenyekiti wa chama ambacho kingekuwa mfano wa demokrasia hiyo ana miaka 20 madarakani.

b) Sio mtu useme chama chetu ni cha maendeleo, wakati wanaoendelea katika chama ni mwenyekiti wa chama taifa na genge lake, huku chama chenyewe kikiwa hakina hata ofisi ya kufanyika mkutano wa ndani.

c) Sio mtu useme chama chetu kitasimamia utawala bora na haki, huku ndani ya chama chenyewe hakuna anaeweza kuongelea lolote mbele ya mwenyekiti wa chama au makamu wake.

2) Pili: Anahitajika kuchaguliwa mgombea ambae hana makandokando ya uongo, uoga, unafiki na mwenye uwezo wa kweli wa kusimamia sera za chama chake bila kuyumbishwa na mtu yoyote iwe ndani ya chama au nje ya chama.

a) Sio kiongozi anakuwa na kauli za kilaghailaghai kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa, na kiuongozi (kama tunavyoona hapo chini pichani) bila kujali madhara yatokanayo na ulaghai huo. Mtu wa aina hii ni ngumu kuchaguliwa maana watanzania wa sasa sio wale wa 2001, kule Zanzibar ambapo watu walikufa, kujeruhiwa na kufungwa, huku muhusika aliepiganiwa (aliekuwa katibu mkuu wa chama, na mgombea wa upinzani) akiwa Saudia Arabia kula tende na maswaiba zake.

Mgombea akiwa hana msimamo thabiti wa kusimamia sera au hoja zake mwenye, basi hata Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Marekani ikija kusimamia uchaguzi bado ataangukia pua tu.

3) Tatu: Tume huru isiyoegemea upande wowote wa kisiasa. Tume iwe na viongozi kutoka vyama mbali mbali vya kisiasa na kiraia ili kujenga sura ya utaifa katika tume hiyo.

Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.

Asanteni sana.

View attachment 2319901View attachment 2319903View attachment 2319904View attachment 2319911View attachment 2319912
Kiukweli, hiyo point ya kwanza Chadema inaikidhi. Chadema ina sura ya Kitaifa.... Ni propaganda za CCM tu ndiyo zinazotaka tuone vingine kwa kuwa Wachaga na watu wa Kaskazini walikiunga mkono mapema.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu.

1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani chenye sera nzuri, zinazoeleweka na kutekelezeka. Chama hicho kiwe na sura ya kitaifa, kiwe na viongozi wakweli, wenye maono na misimamo thabiti ya kuikomboa nchi.

Kiwe na mifano hai ya utekelezaji wa sera zake kupitia chama husika ili kiweze kuaminika machoni mwa watanzania wengi. a) sio mtu useme chama chetu kina misingi ya demokrasia wakati mwenyekiti wa chama ambacho kingekuwa mfano wa demokrasia hiyo ana miaka 20 madarakani.

b) Sio mtu useme chama chetu ni cha maendeleo, wakati wanaoendelea katika chama ni mwenyekiti wa chama taifa na genge lake, huku chama chenyewe kikiwa hakina hata ofisi ya kufanyika mkutano wa ndani.

c) Sio mtu useme chama chetu kitasimamia utawala bora na haki, huku ndani ya chama chenyewe hakuna anaeweza kuongelea lolote mbele ya mwenyekiti wa chama au makamu wake.

2) Pili: Anahitajika kuchaguliwa mgombea ambae hana makandokando ya uongo, uoga, unafiki na mwenye uwezo wa kweli wa kusimamia sera za chama chake bila kuyumbishwa na mtu yoyote iwe ndani ya chama au nje ya chama.

a) Sio kiongozi anakuwa na kauli za kilaghailaghai kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa, na kiuongozi (kama tunavyoona hapo chini pichani) bila kujali madhara yatokanayo na ulaghai huo. Mtu wa aina hii ni ngumu kuchaguliwa maana watanzania wa sasa sio wale wa 2001, kule Zanzibar ambapo watu walikufa, kujeruhiwa na kufungwa, huku muhusika aliepiganiwa (aliekuwa katibu mkuu wa chama, na mgombea wa upinzani) akiwa Saudia Arabia kula tende na maswaiba zake.

Mgombea akiwa hana msimamo thabiti wa kusimamia sera au hoja zake mwenye, basi hata Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Marekani ikija kusimamia uchaguzi bado ataangukia pua tu.

3) Tatu: Tume huru isiyoegemea upande wowote wa kisiasa. Tume iwe na viongozi kutoka vyama mbali mbali vya kisiasa na kiraia ili kujenga sura ya utaifa katika tume hiyo.

Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.

Asanteni sana.

View attachment 2319901View attachment 2319903View attachment 2319904View attachment 2319911View attachment 2319912

Kwani huwa mnashinda?
 
Ukweli mchungu,

Kukosa itikadi na misimamo kunaidhohofisha CHADEMA pakubwa.
Ya ni kweli mkuu, wengi hili la kukosa msimamo wanajifanya hawalioni. Na matokeo yake na hivi kila unapofika uchaguzi wanaangukia pua na kuisingizia tume ya uchaguzi.
 
Mbowe enzi za JPM sio Mbowe (mlamba asali) wa SSH.
Hahaha. Mbowe, Zito, Lisu, Mbatia, Lipumba na wengine wa aina hiyo washampata mtu wa kuwapa mzinga wa nyuki ili wajichotee asali watakavyo huku wanachama wao wakiishia kupiga kelele mitandaoni.
 
Tukuchague wewe mkuu. Ni vyema ukajitokeza kugombea naamini sifa ulizotaja unazo
Hahaha.. kuna mdau katika post namb #23 amejitokeza tumchague katika uchaguzi mkuu wa 2025, anadai vigezo hivi anavyo 😂😂🤣
 
Ila Halima Mdee alistahili kuwa hata M/kiti wa CDM kuliko huyu aliyepo sasa! Yule dada anajua, anajiamini na ni mchapakazi. Hayumbishwi na walioshikilia rungu iwe ndani ya chama au nje ya chama. Yuko imara kusimama na kile kilicho sahihi, siyo huyu wa mbingu na Ardhi. 😂😂 ukisema mbingu na ardhi tafsiri yake ni kuwa umeridhika na utendaji kazi wa mtu huyo 100% hivyo hauna haja ya kuweka upinzani ni halali yake aendelee bila hata kupingwa. (Mbingu na Ardhi = pepo na jehanamu) sa uko peponi sa hv nini unahitaji tena?
Hahaha.. Sidhani kama chawa wa mwenye chama watakuelewa.
 
Kiukweli, hiyo point ya kwanza Chadema inaikidhi. Chadema ina sura ya Kitaifa.... Ni propaganda za CCM tu ndiyo zinazotaka tuone vingine kwa kuwa Wachaga na watu wa Kaskazini walikiunga mkono mapema.
Ya ni kweli kwenye utaifa CDM wamejitahidi ndo maana wana wanachama mikoa yote ya Tanzania including Zanzibar. Ila kwa haya mengine kama hawakujisahihisha kumpata mtu sahihi, basi kila siku watakuwa wanamtafuta mchawi na wakati mchawi mwenyew wanae ndani.
 
Nguvu ya umma ikiamua hata serikali ikitumia vyombo vya ndan na nje vya ulinzi itashindwa tu. Unakumbuka enzi ya CUF 2000 to 2005, pamoja na serikali kutumia vyombo vyote vya dola kudhibiti chama hicho, lkn bado vijana walisimama imara katika kukipigania chama hicho.

Unakumbuka CDM 2005 to 2015, pamoja na serikali kujaribu kukidhibiti chama na nguvu ya upinzani, lkn ilishindwa kutokana na misimamo thabiti ya wana CDM na upinzani kwa ujumla katika kupigania haki yao. Ila baada ya lile timbwili la Lowasa mwaka 2015, vijana wengi walivunjika moyo na kuamua kukaa mbali na mambo ya siasa baada ya kugundua kuwa 95% ya wapinzani wa Tanzania hawako serious na ajenda zao. Ndio maana kuanzia 2015 to 2020 serikali ilionekana kudhibiti upinzani vilivyo, kwani wale waliokuwa wanapigania upinzani huko nyuma kufa kupona wali give up kujihusisha na siasa again.
Acha uongo, hakuna uchaguzi ulivokua na wapiga kura wengi kama 2015 sasa wakina nani walikata tamaa kisa Lowassa?? Sema walikata tamaa ya kushinda milele maana chance ya 2015 ilikua realistic zaidi so walivunjika moyo kura zilipoibiwa.

2. Kuhusu nguvu ya umma iliwezekana sababu serikali haikuwa violent kama ya JPM. Enzi za Kikwete kina Mnyika na Dr Slaa walikua moto sana ila sikuwahi ona Slaa akimiminiwa SMG au Mnyika kutekwa!! Hivi unadhani baada ya tukio la Lissu na SaaNane kuna mwenye ujasiri aingie barabarani?

3. Hiyo CUF unayosifia hapa nayo ilipoa baada ya machafuko ya zenji walipomwagiwa risasi kama mvua. Ukiwa violent unadhani raia wasio penda vurugu watalipiza?? Unless kama unataka tuanzishe armed wings kama vyama vya huko uarabuni.

All in all vyama vilipoa sababu ya violent crackdown ya serikali huku napoishi kuna mdhamini wa kisiri wa CHADEMA ni tajiri wa hardware ila alisakwa mpaka akapotea mpaka Leo Hana hamu ya kusikia siasa. Sasa huyo utasema ni sababu ya Lowassa?
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu.

1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani chenye sera nzuri, zinazoeleweka na kutekelezeka. Chama hicho kiwe na sura ya kitaifa, kiwe na viongozi wakweli, wenye maono na misimamo thabiti ya kuikomboa nchi.

Kiwe na mifano hai ya utekelezaji wa sera zake kupitia chama husika ili kiweze kuaminika machoni mwa watanzania wengi. a) sio mtu useme chama chetu kina misingi ya demokrasia wakati mwenyekiti wa chama ambacho kingekuwa mfano wa demokrasia hiyo ana miaka 20 madarakani.

b) Sio mtu useme chama chetu ni cha maendeleo, wakati wanaoendelea katika chama ni mwenyekiti wa chama taifa na genge lake, huku chama chenyewe kikiwa hakina hata ofisi ya kufanyika mkutano wa ndani.

c) Sio mtu useme chama chetu kitasimamia utawala bora na haki, huku ndani ya chama chenyewe hakuna anaeweza kuongelea lolote mbele ya mwenyekiti wa chama au makamu wake.

2) Pili: Anahitajika kuchaguliwa mgombea ambae hana makandokando ya uongo, uoga, unafiki na mwenye uwezo wa kweli wa kusimamia sera za chama chake bila kuyumbishwa na mtu yoyote iwe ndani ya chama au nje ya chama.

a) Sio kiongozi anakuwa na kauli za kilaghailaghai kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa, na kiuongozi (kama tunavyoona hapo chini pichani) bila kujali madhara yatokanayo na ulaghai huo. Mtu wa aina hii ni ngumu kuchaguliwa maana watanzania wa sasa sio wale wa 2001, kule Zanzibar ambapo watu walikufa, kujeruhiwa na kufungwa, huku muhusika aliepiganiwa (aliekuwa katibu mkuu wa chama, na mgombea wa upinzani) akiwa Saudia Arabia kula tende na maswaiba zake.

Mgombea akiwa hana msimamo thabiti wa kusimamia sera au hoja zake mwenye, basi hata Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Marekani ikija kusimamia uchaguzi bado ataangukia pua tu.

3) Tatu: Tume huru isiyoegemea upande wowote wa kisiasa. Tume iwe na viongozi kutoka vyama mbali mbali vya kisiasa na kiraia ili kujenga sura ya utaifa katika tume hiyo.

Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.

Asanteni sana.

View attachment 2319901View attachment 2319903View attachment 2319904View attachment 2319911View attachment 2319912
Ni Mbulumakenge tu anaweza kuandika ulichoandika.!!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom