Nimesoma, kilichonitatiza ni kiwango kidogo Cha REASONING Cha mwandishi,Ngoja nikupe summary
Ni kwamba jamaa anakidisi chama kinachoitwa Chadomo
Mfumo wa ELIMU yetu kama Nchi umevurugwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma, kilichonitatiza ni kiwango kidogo Cha REASONING Cha mwandishi,Ngoja nikupe summary
Ni kwamba jamaa anakidisi chama kinachoitwa Chadomo
Wao tu na uchawa wao hata kwenye madhaifu hutetea.Hahaha.. Sidhani kama chawa wa mwenye chama watakuelewa.
aJitokeze kila kitu kinawezekana. Kikibwa udhubutu na mipangoHahaha.. kuna mdau katika post namb #23 amejitokeza tumchague katika uchaguzi mkuu wa 2025, anadai vigezo hivi anavyo 😂😂🤣
Mm nitakua mtinza hazina wenuSifa hizo mimi ninazo.
Wana Jamii Forum kwa umoja wetu tuundeni chama chetu cha siasa kitachoongozwa na:
1) Mwenyekiti: Maxence Melo
2) M/mwenyekiti: Pascal Mayalla
3)Katibu mkuu: Mshana.
Kwa uongozi huu hapo juu CCM inaaga mchana kweupe
Mkuu hebu tuwe wakweli, bila muunganiko wa vyama ulioitwa UKAWA unafikiri Lowasa angepata kura nyingi kiasi kile? Kumbuka Lowasa aliungwa mkono na vyama vyote vikubwa vya upinzani Tanzania kama vile CUF ya Maalim iliyokuwa na mamilioni ya wapiga kura kule Zanzibar lakini pia ilikuwa na mtaji wa wapiga kura kadhaa huku bara.Acha uongo, hakuna uchaguzi ulivokua na wapiga kura wengi kama 2015 sasa wakina nani walikata tamaa kisa Lowassa?? Sema walikata tamaa ya kushinda milele maana chance ya 2015 ilikua realistic zaidi so walivunjika moyo kura zilipoibiwa.
2. Kuhusu nguvu ya umma iliwezekana sababu serikali haikuwa violent kama ya JPM. Enzi za Kikwete kina Mnyika na Dr Slaa walikua moto sana ila sikuwahi ona Slaa akimiminiwa SMG au Mnyika kutekwa!! Hivi unadhani baada ya tukio la Lissu na SaaNane kuna mwenye ujasiri aingie barabarani?
3. Hiyo CUF unayosifia hapa nayo ilipoa baada ya machafuko ya zenji walipomwagiwa risasi kama mvua. Ukiwa violent unadhani raia wasio penda vurugu watalipiza?? Unless kama unataka tuanzishe armed wings kama vyama vya huko uarabuni.
All in all vyama vilipoa sababu ya violent crackdown ya serikali huku napoishi kuna mdhamini wa kisiri wa CHADEMA ni tajiri wa hardware ila alisakwa mpaka akapotea mpaka Leo Hana hamu ya kusikia siasa. Sasa huyo utasema ni sababu ya Lowassa?
Hahaha.. basi mwaka 2025, twende na mwana JF mwenzetu, hawa wapinzani wa vyama vilivyopo sasa hivi wameshaishiwa pumzi zamani.aJitokeze kila kitu kinawezekana. Kikibwa udhubutu na mipango
Hahaha.. Wapinzani wetu wote ni wasaka tonge.Upinzani wa matumbo.
Kabisa, CCM watu hawaipendi, ila ukikaa vizuri ukifikiria kwa kina unaona bora niwape kura CCM au nisipigie kura chama chochote.Hahaha.. Wapinzani wetu wote ni wasaka tonge.
Haya magaidi hayawezi ingia ikulu pale. Ikulu ni mahala patakatifu alisikika akisema mzee mmoja.Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu.
1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani chenye sera nzuri, zinazoeleweka na kutekelezeka. Chama hicho kiwe na sura ya kitaifa, kiwe na viongozi wakweli, wenye maono na misimamo thabiti ya kuikomboa nchi.
Kiwe na mifano hai ya utekelezaji wa sera zake kupitia chama husika ili kiweze kuaminika machoni mwa watanzania wengi. a) sio mtu useme chama chetu kina misingi ya demokrasia wakati mwenyekiti wa chama ambacho kingekuwa mfano wa demokrasia hiyo ana miaka 20 madarakani.
b) Sio mtu useme chama chetu ni cha maendeleo, wakati wanaoendelea katika chama ni mwenyekiti wa chama taifa na genge lake, huku chama chenyewe kikiwa hakina hata ofisi ya kufanyika mkutano wa ndani.
c) Sio mtu useme chama chetu kitasimamia utawala bora na haki, huku ndani ya chama chenyewe hakuna anaeweza kuongelea lolote mbele ya mwenyekiti wa chama au makamu wake.
2) Pili: Anahitajika kuchaguliwa mgombea ambae hana makandokando ya uongo, uoga, unafiki na mwenye uwezo wa kweli wa kusimamia sera za chama chake bila kuyumbishwa na mtu yoyote iwe ndani ya chama au nje ya chama.
a) Sio kiongozi anakuwa na kauli za kilaghailaghai kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa, na kiuongozi (kama tunavyoona hapo chini pichani) bila kujali madhara yatokanayo na ulaghai huo. Mtu wa aina hii ni ngumu kuchaguliwa maana watanzania wa sasa sio wale wa 2001, kule Zanzibar ambapo watu walikufa, kujeruhiwa na kufungwa, huku muhusika aliepiganiwa (aliekuwa katibu mkuu wa chama, na mgombea wa upinzani) akiwa Saudia Arabia kula tende na maswaiba zake.
Mgombea akiwa hana msimamo thabiti wa kusimamia sera au hoja zake mwenye, basi hata Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Marekani ikija kusimamia uchaguzi bado ataangukia pua tu.
3) Tatu: Tume huru isiyoegemea upande wowote wa kisiasa. Tume iwe na viongozi kutoka vyama mbali mbali vya kisiasa na kiraia ili kujenga sura ya utaifa katika tume hiyo.
Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.
Asanteni sana.
View attachment 2319901View attachment 2319903View attachment 2319904View attachment 2319911View attachment 2319912
Upinzani upo katika hali mbaya sana, pamoja na kujaza chawa mitandaoni lkn bado haisaidii chama kusonga mbele.Kabisa, CCM watu hawaipendi, ila ukikaa vizuri ukifikiria kwa kina unaona bora niwape kura CCM au nisipigie kura chama chochote.
Naona mleta mada kaiweka hivyo kwa maksudi; kuchanganya akili za watu!Nimerudia kusoma mara mbili, nmetoka Kapa!!!!
Mleta mada angekuwa ni mtu makini angekusoma kwa uangalifu zaidi ya kukupa 'like' kama alivyofanya hapa.Mbona hatuulizi juu Mzee Mrema kwani naye ana muda mrefu sana ktk harakati zake.
Kwanini iwe shida kwa huyu anayejenga Tasisi nakuonekana imara katka ushindani kwani tukumbuke ndo mshindani wa kweli na wa mfano wa kuigwa.
Tukumbuke sio mwepesi ndo maana hoja zinazomhusu haziishi kutoka kwetu.
Mfano ni madhila aliyoyapitia yy na wanaomzunguka.
Je ni nani mwingine aliyeyapitia aliyoyapitia?
Tuje na hoja dhabiti tutaeleweka vizuri sana.
Ni yapi hasa "haya mengine"?Ila kwa haya mengine kama hawakujisahihisha kumpata mtu sahihi, basi kila siku watakuwa wanamtafuta mchawi na wakati mchawi mwenyew wanae ndani.
Elimu "ikishavurugwa" kila kitu kinavurugika; kama tunavyoshuhudia sasa hivi.Nimesoma, kilichonitatiza ni kiwango kidogo Cha REASONING Cha mwandishi,
Mfumo wa ELIMU yetu kama Nchi umevurugwa sana.
Upungufu wa mada yako ni kama ifuatavyo.Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.
Uzi tayari kazi kweli kweliHabari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu.
1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani chenye sera nzuri, zinazoeleweka na kutekelezeka. Chama hicho kiwe na sura ya kitaifa, kiwe na viongozi wakweli, wenye maono na misimamo thabiti ya kuikomboa nchi.
Kiwe na mifano hai ya utekelezaji wa sera zake kupitia chama husika ili kiweze kuaminika machoni mwa watanzania wengi. a) sio mtu useme chama chetu kina misingi ya demokrasia wakati mwenyekiti wa chama ambacho kingekuwa mfano wa demokrasia hiyo ana miaka 20 madarakani.
b) Sio mtu useme chama chetu ni cha maendeleo, wakati wanaoendelea katika chama ni mwenyekiti wa chama taifa na genge lake, huku chama chenyewe kikiwa hakina hata ofisi ya kufanyika mkutano wa ndani.
c) Sio mtu useme chama chetu kitasimamia utawala bora na haki, huku ndani ya chama chenyewe hakuna anaeweza kuongelea lolote mbele ya mwenyekiti wa chama au makamu wake.
2) Pili: Anahitajika kuchaguliwa mgombea ambae hana makandokando ya uongo, uoga, unafiki na mwenye uwezo wa kweli wa kusimamia sera za chama chake bila kuyumbishwa na mtu yoyote iwe ndani ya chama au nje ya chama.
a) Sio kiongozi anakuwa na kauli za kilaghailaghai kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa, na kiuongozi (kama tunavyoona hapo chini pichani) bila kujali madhara yatokanayo na ulaghai huo. Mtu wa aina hii ni ngumu kuchaguliwa maana watanzania wa sasa sio wale wa 2001, kule Zanzibar ambapo watu walikufa, kujeruhiwa na kufungwa, huku muhusika aliepiganiwa (aliekuwa katibu mkuu wa chama, na mgombea wa upinzani) akiwa Saudia Arabia kula tende na maswaiba zake.
Mgombea akiwa hana msimamo thabiti wa kusimamia sera au hoja zake mwenye, basi hata Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Marekani ikija kusimamia uchaguzi bado ataangukia pua tu.
3) Tatu: Tume huru isiyoegemea upande wowote wa kisiasa. Tume iwe na viongozi kutoka vyama mbali mbali vya kisiasa na kiraia ili kujenga sura ya utaifa katika tume hiyo.
Ni hayo tu ninayoyaona mimi, katika kuijenga Tanzania bora zaidi ya kesho.
Asanteni sana.
View attachment 2319901View attachment 2319903View attachment 2319904View attachment 2319911View attachment 2319912
Au sio. Maamuzi tu. Na katiba iwe sio hiiHahaha.. basi mwaka 2025, twende na mwana JF mwenzetu, hawa wapinzani wa vyama vilivyopo sasa hivi wameshaishiwa pumzi zamani.
Agombee Halima Mdee wa Chadema