Mtu kukopa pesa mtandaoni na kukuweka kama mdhamini bila ridhaa yako ni sawa?

Mtu kukopa pesa mtandaoni na kukuweka kama mdhamini bila ridhaa yako ni sawa?

Aisee, mimi sijawahi kumshitaki mtu mahakamani kwa lolote lile! Ila kwa hili, itakuwa mara yangu ya kwanza, na mwanasheria ninae mzuri sana, na nitakaowashtaki ni mtandao wangu wa simu kwa wizi, kwamba wametoaje pesa kwenye akaunti yangu bila ridhaa yangu (namba ya siri)?!
Hakuna mtandao utakaotoa pesa yako kwa niaba ya hao wapuuzi, na hawawezi kukupeleka mahakamani kamwe.
 
Hakuna mtandao utakaotoa pesa yako kwa niaba ya hao wapuuzi, na hawawezi kukupeleka mahakamani kamwe.
Sawa, ila hivi vitisho lazima wavilipie mahakamani, inabidi tusema tumesabbishiwa msongo mkali wa mawazo, ngoja niendelee kukusanya ushahidi, nitaanza kurekodi na voice call kabisa.., maana mahakamani lazima upeleke ushahidi unaohitosheleza. Nafanya mchongo na daktari wa akili aanze kuandaa report yake..
 
Sawa, ila hivi vitisho lazima wavilipie mahakamani, inabidi tusema tumesabbishiwa msongo mkali wa mawazo, ngoja niendelee kukusanya ushahidi, nitaanza kurekodi na voice call kabisa.., maana mahakamani lazima upeleke ushahidi unaohitosheleza. Nafanya mchongo na daktari wa akili aanze kuandaa report yake..
Kampuni gani hao mkuu wamefanya hivyo,m nilipigiwa na watu wanajiita umojaloan sijui Aisee 🙌🙌
 
So as long as hawakunishirikisha wakati anakopa, na so as long as nilishawaambia kwa meseji na kwa mdomo kwamba naomba waainibughudhi tena juu ya hiko sababu siwajibiki nao kwa lolote, ila bado wanaendelea maliciously kunitishia na kunipa msongo wa mawazo kwa kutumia namba mgeni each time. Nitadeal nao kishiria.
Kiufupi ni kuwa unamfahamu na ushamwambia. Basi inatosha.
Wakiendelea wakatti umewaambia waache, basi hiyo ni harassment.
 
Kiufupi ni kuwa unamfahamu na ushamwambia. Basi inatosha.
Wakiendelea wakatti umewaambia waache, basi hiyo ni harassment.
Hata kama sijamwambia, so as long siwajibiki nao kwa lolote, na nishawaambia sitaki tena simu zao, na wameendelea.., lazima wacheue pesa ndefu.., shida ni ushahidi tu, maana mahakamani bila ushahidi hutoboi.., ngoja waendelee kwanza ushahidi ujitosheleze..
 
1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako

2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni

3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.

Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣

I think wale wafanyakazi wao Wana ugonjwa wa akili

Serikali inabidi iangalie hii huduma Kwa ukaribu zaidi,

Yan unaweza kutumiwa msg unaambiwa wewe na wenzako wote matapeli
 
Nimeshapigiwa simu kama mara 4 hivi, na wanatumia namba tofauti, na ni wakali hasa! Kwa kweli wananifanyia harassment mimi wakijua kwamba siwezi kuzima simu yangu, maana yule aliyekopa kawazimia simu, ni kweli namfahamu, lakini mimi sikushirikishwa lolote wakati anakopa.

Inabidi nianze mkakati wa kuwashtaki washenzy hawa, eti wananitishia kuepeleka taarifa zangu TCRA na kuanza kunikata moja kwa moja kwenye akaunti yangu ya pesa hadi deni liishe. Nasubiri watie mkono wachukue hata mia waone moto wake.

TCRA
Matapeli hao
 
Sawa, ila hivi vitisho lazima wavilipie mahakamani, inabidi tusema tumesabbishiwa msongo mkali wa mawazo, ngoja niendelee kukusanya ushahidi, nitaanza kurekodi na voice call kabisa.., maana mahakamani lazima upeleke ushahidi unaohitosheleza. Nafanya mchongo na daktari wa akili aanze kuandaa report yake..
Tatizo ni muda utakaoutumia, vikampuni vyenyewe janja janja tu. Kuna dogo alikopa na akaniweka mdhamini, na akiniambia kabisa nikakubali. Baada ya wiki tu jamaa wakanipigia, wanataka nimkumbushe dogo alipe hela yao.
Niliwaambia mpelekeni polisi mkamshitaki na msinisumbue tena kwani simfahamu, hawakunipigia tena zaidi ya kuandika vimeseji uchwara kuwa pesa yao haiendi bure, na watanidhalilisha mimi na mkopaji.
 
I think wale wafanyakazi wao Wana ugonjwa wa akili

Serikali inabidi iangalie hii huduma Kwa ukaribu zaidi,

Yan unaweza kutumiwa msg unaambiwa wewe na wenzako wote matapeli
Kibaya zaidi, hawatumii namba official ya kampuni kutishia na kutukana watu, wanatumia namba binafsi za watu hata wasiokuwa watu wa kampuni ili kujikinga na back lash kama hizi, ila dawa yao nimeshaigundua..
 
Tatizo ni muda utakaoutumia, vikampuni vyenyewe janja janja tu. Kuna dogo alikopa na akaniweka mdhamini, na akiniambia kabisa nikakubali. Baada ya wiki tu jamaa wakanipigia, wanataka nimkumbushe dogo alipe hela yao.
Niliwaambia mpelekeni polisi mkamshitaki na msinisumbue tena kwani simfahamu, hawakunipigia tena zaidi ya kuandika vimeseji uchwara kuwa pesa yao haiendi bure, na watanidhalilisha mimi na mkopaji.
Wakati anakuweka mdhamini, wao walidhibitisha vipi kama umekubiana nae kukopa hiyo pesa, maana matokeo yake watu namba zao zinaandikwa tu kiholela bila mawasiliano wa makubaliano yoyote yale
 
1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako

2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni

3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.

Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣
nilipa aina hii ya ujumbe sikujibu
 
Kama unapenda shari shari na haupo busy sana, washikati wewe. Itakupotezea muda na pesa kiasi ila unaweza otea bingo ukalipwa fidia.

Tunza meseji zao, calls zote record, wakijimix siku wakakutukana au kukutishia maisha fungua shauri.
Nakuelewa wenyewe wanaita Mingo
 
Hawa wakopeshaji saa ingine unajiuliza level yao ya ufahamu ikoje

Wakati wanamkopesha hawakukuuliza kama unamjua , wakati wa marejesho wanaanza kukutishia kwa kitu ambacho hukijui ,

Mmoja nilimtishia nikamwambia wakati mnamkopesha huyo mliniuliza kama namjua? Au kuridhia akopeshwe? Au niwageukie nyie kubwa ni matapeli alikaaa kimya hakunitafuta tena
 
Wakati anakuweka mdhamini, wao walidhibitisha vipi kama umekubiana nae kukopa hiyo pesa, maana matokeo yake watu namba zao zinaandikwa tu kiholela bila mawasiliano wa makubaliano yoyote yale
Hawakunipigia kuthibitisha na dogo nilikuwa naye tunapiga ngumu kumeza. Pesa yenyewe alipewa 25K tukavuta K-Vant kubwa 2 siku ikaisha.
 
Back
Top Bottom