Kijungu Moto
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 307
- 491
Unaweka namba ya Nape [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah ni mikwara mbuzi tu hawana shida. wapotezee hawana cha kukufanyaNimeshapigiwa simu kama mara 4 hivi, na wanatumia namba tofauti, na ni wakali hasa! Kwa kweli wananifanyia harassment mimi wakijua kwamba siwezi kuzima simu yangu, maana yule aliyekopa kawazimia simu, ni kweli namfahamu, lakini mimi sikushirikishwa lolote wakati anakopa.
Inabidi nianze mkakati wa kuwashtaki washenzy hawa, eti wananitishia kuepeleka taarifa zangu TCRA na kuanza kunikata moja kwa moja kwenye akaunti yangu ya pesa hadi deni liishe. Nasubiri watie mkono wachukue hata mia waone moto wake.
TCRA
Siyo Sawa... Utabebeshwa zigo la lawama hapo na madeni juu, ikiwemo kulazwa selo.1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako
2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni
3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.
Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣
===========================
View attachment 2902362
Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo hambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.
Sasa mimi nataka nikope elfu 10 halafu niweke namba ya Nape Nnauye kama mdhamini, maana ninayo, halafu silipi, na yeye aanze kufaidi matunda ya sheria zake...
No! ..bila hata kukata sh. mia yako, pia unaweza kuwafungulia MASHTAKA mahakamani...Nimeshapigiwa simu kama mara 4 hivi, na wanatumia namba tofauti, na ni wakali hasa! Kwa kweli wananifanyia harassment mimi wakijua kwamba siwezi kuzima simu yangu, maana yule aliyekopa kawazimia simu, ni kweli namfahamu, lakini mimi sikushirikishwa lolote wakati anakopa.
Inabidi nianze mkakati wa kuwashtaki washenzy hawa, eti wananitishia kuepeleka taarifa zangu TCRA na kuanza kunikata moja kwa moja kwenye akaunti yangu ya pesa hadi deni liishe. Nasubiri watie mkono wachukue hata mia waone moto wake.
TCRA
Dah mwamba ulidhalilishwa sanaHawa jamaa hata mtu asipo kuweka mdhamini, unapodownload app yao kuna kipengele cha kuwapa access ya contacts na SMS, kwahiyo wanauwezo wa kuangalia majina na namba unazo wasiliananazo mara kwa mara, binafsi niliwahi kopa 30k siku moja kabla ya muda wa marejesho nikiwa nimeenda shambani maeneo flani network chenga nikawa sipatikani kurudi jioni nakuta wamempigia wife, mother na bro hao wote sikuwaweka kama wadhamini Wangu, walivyokuja kunipigia mimi nikawaambia kwa jinsi mlivyonichoresha siwalipi hiyo hela huu mwezi wa 6 sasa, inshort nikwamba jamaa wanatumia vibaya taarifa za wateja/wakopaji kinyume na sheria. n.b wengi wanaokopa huwa wanaweka namba na majina ya wadhamini ya kubumba.
Awe aliandika au hakuandika, so as long as sikushirikishwa, siwajibiki kwa lolote, ila wao watalipia hii harassment mahakamani.Kuna mmoja alitoa taarifa kuwa hao jamaa wanalazimisha app yao uipe permission ya contacts/phone book. Inasemekana wakati mwingine wanadukua namba huko.
Muulize kistaarabu mdau mkopaji kama kweli alikuandika wewe.
Hahahah, selo kwa kuwa na ukaribu na mtu au kwa lipi 😂😂Siyo Sawa... Utabebeshwa zigo la lawama hapo na madeni juu, ikiwemo kulazwa selo.
Vibaya sana
Kopa afu usisahau kutuletea mrejesho.1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako
2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni
3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.
Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣
===========================
View attachment 2902362
Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo hambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.
Sasa mimi nataka nikope elfu 10 halafu niweke namba ya Nape Nnauye kama mdhamini, maana ninayo, halafu silipi, na yeye aanze kufaidi matunda ya sheria zake...