Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza mbali sanaUkute masharti ya mganga!
Jirushe jirushe jirushe rusheee x2Ni mwendo wa kujirusha rusha masela ruka haaaaaa kwa mizuka ingia kati serebukaaaa
Kwanini unayemjua uingilie Uhuru wake?Serikali zote ulimwenguni suicide ni kosa nafahamu. Hayo ni maoni yangu mimi binafsi sitaingilia uhuru wa mtu aliyeamua kujitoa uhai..tena hasa kama sikujui.
[emoji38] [emoji23] nacheka kama mazuri aiseeMfano mi sijui ogelea hivyo kiherehere cha kujirusha au kukimbilia panton huwa sina.
Huwa najiweka karibu na maboya ili likitokea nijiwahi mapema...
Kuna siku limeyumba kuna mdada kanidaka mimi badala ajishikize, yule lingezama asingeamini ngumi ambayo angeipata
Ni kweli kichwa yangu haiko timamu mkuuKwanini unayemjua uingilie Uhuru wake?
Una kasoro kichwani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna wakati niliokolewa na dogo niliyemzidi miaka 10, pale nilikuwa nakufa kifo kibaya[emoji38] [emoji23] nacheka kama mazuri aisee
Lakini ni vizuri kujifunza kuogelea mkuu
Watoto wangu wamezaliwa nje na wanafundishwa shuleni kuogelea wakiwa wadogo
Ila mimi old school nimeogelea kwenye mabwawa na mito sana
Dunia Ina mengiUmewaza mbali sana
Pole sana,Kuna wakati niliokolewa na dogo niliyemzidi miaka 10, pale nilikuwa nakufa kifo kibaya
Tofautisha kupiga mbizi ziwani na kufundishwa kuogelea kwenye makalai yenu ya kupuliza hayo na swimming pools[emoji38] [emoji23] nacheka kama mazuri aisee
Lakini ni vizuri kujifunza kuogelea mkuu
Watoto wangu wamezaliwa nje na wanafundishwa shuleni kuogelea wakiwa wadogo
Ila mimi old school nimeogelea kwenye mabwawa na mito sana