Mtu mmoja ajirusha ziwani kutoka kwenye kivuko Mwanza. Kivuko kimeendelea na safari

Mtu mmoja ajirusha ziwani kutoka kwenye kivuko Mwanza. Kivuko kimeendelea na safari

Huo ni uhuru uliopitiliza. Incase you didn't know...

Mtu yeyote akiwa hai...lazima awe chini ya SHERIA. Na akifa ndio anakua juu ya SHERIA.

Kwahiyo ndio kusema....kama ukitaka kutoa sadaka ya kujimaliza...basi lazima ufanye hivyo 100% ( no pumzi, no sauti) ..

Lakini ukishindwa kujitoa uhai, basi lazima SHERIA itachukua mkondo wake naturally. Hakuna mjadala!!!
Sawa mkuu.
 
Mimi nilishanuia...siwezi kutoka ndani ya nyumba yangu na kwenda kutafuta riziki pasipo kutenda jambo jema njiani. Napenda sana kusaidia watu hata bila kuombwa msaada. Napenda kusitiri watu.
Wakati mwingine naweza kumuona mtu anashida na hajasema....nikamvuta pembeni...nikamsaidia. Au nikamsaidia mtu pasipo yeye kujua.

Hivi ulivyoandika vina uhusiano gani na mtu kujirusha majini kwa nia ya kujiua?
 
Hivi ulivyoandika vina uhusiano gani na mtu kujirusha majini kwa nia ya kujiua?
Iko hivi....Mungu katuumbia AKILI pamoja na HISIA. Kwenye akili akaweka UTASHI, na kwenye HISIA akaweka UPENDO.

AKILI Kazi yake ni kuulinda mwili wako na Hisia ni kwà ajili ya kuuongoza mwili wako.

Nataka kusema nini...."kama una akili timamu na Hisia zilizo kamilika,...utampenda jirani Yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.

I mean, kabla ya huyo jamaa kujirusha majini..Mimi Mzee Kipusa, kwà dhati ya moyo wangu...nina amini majirani zake walipata alerts...lakini wakashindwa kumuokoa kwasababu ya kuongozwa na mahisia mabaya yenye roho mbaya.

Ndugu zangu...tupendane. HII NDIO AMRI KUBWA KATIKA KUISHI KWETU.
 
Iko hivi....Mungu katuumbia AKILI pamoja na HISIA. Kwenye akili akaweka UTASHI, na kwenye HISIA akaweka UPENDO.

AKILI Kazi yake ni kuulinda mwili wako na Hisia ni kwà ajili ya kuuongoza mwili wako.

Nataka kusema nini...."kama una akili timamu na Hisia zilizo kamilika,...utampenda jirani Yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.

I mean, kabla ya huyo jamaa kujirusha majini..Mimi Mzee Kipusa, kwà dhati ya moyo wangu...nina amini majirani zake walipata alerts...lakini wakashindwa kumuokoa kwasababu ya kuongozwa na mahisia mabaya yenye roho mbaya.

Ndugu zangu...tupendane. HII NDIO AMRI KUBWA KATIKA KUISHI KWETU.
Kabisa lazma majiran,ndugu au marafiki lazma walikuwa wanajua shida ya ndugu yao kwasababu matatizo yanajitangaza ila walikaa kimyaa.
 
Watu Wana roho mbaya sana. Mtu mzima mpaka akapanda , mpaka akachupia ndani ya maji...tena usikute kuna mijitu ilitoa simu kumrekodi ili irushe ticktock
Maan hapo ni kupiga kelele kivuko kinasimama ukozi unafanyika..@Mzee kipusa kwann ulitaka kujiua.
 
Kabisa lazma majiran,ndugu au marafiki lazma walikuwa wanajua shida ya ndugu yao kwasababu matatizo yanajitangaza ila walikaa kimyaa.
Shauri yake ...atajijua mwenyewe!..tena akome kabisa.....usikute ndio walikua wanamuwazia hivyo.
 
Kuna siku moja mida ya saa moja jioni nipo kwenye MV KIGAMBONI, kivuko kipo katikati tunasikia watu wanapiga kelele kwamba kuna mtu kadumbukia baharini, kila mtu akawa anaongea lake, wengine wakawa wanamwmbia nahodha asimamishe kivuko
Nifupishe story, kumbe jamaa aliekeana kidau nA mwenzake kwamba yeye anaweza kufika ng'ambo kabla ya pntoni na kweli tulimkuta
 
Mbona hiyo kawaida kipindi cha nyuma kwenye kivuko cha kigamboni watu walikua wanakwapua mikoba ya wadada wanazama chumvini wanaibuka ufukweni imeisha hiyo.
 
Imenikumbusha kipindi flani navuka Zambezi River kutokea Botswana kuja Zambia kuna jamaa alijitosa pasi na sababu yoyote,mwamba mmoja akajitosa kumsaidia bahati yake aliokolewa ilikuwa shughuli pevu kuulizwa eti ana stress kali sana.
Kwa aliyewahi kupita Ile border ataelewa ni jinsi gani pale panatisha.
 
Sad! Kuna mambo/matukio kwenye maisha kama mtu huna roho ngumu basi unaishia kufanya kitu kisichofikirika [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kuna wengine,mapenzi tu inawafanya
Kutoa uhai

Ova
 
Alivyorusha na yakutolea manzi hakuja, msela akaona huu Sasa ni usenge AKAJIRUSHA MWENYEWE
 
Back
Top Bottom