Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ivi nyie mnaishi dunia gani? Kwani haujui wagonjwa wa akili ambae saa hii yupo sawa alafu baada ya nusu saa kichaa kinapanda, haujawah ku encounter situation kama hizo? Usiwe judgemental mkuu Mungu hapendi kabisaaSasa kama ana mental issue akijirusha si ndo kaondolea watu tatizo.
Hakuna mwenye mental kesi akapanda ferry, akalipa afu akajirusha, huyo ana akili
Ngoja samaki wamle
Hiyo pia ni ajali,kwanza tuna uhakika gani kwamba ameanguka na sio kwamba amejirusha?Ingekuwa ajali wangeokolewa sababu ni ajali, mtu kupanda na kujitupa hiyo ni makusudi.
Vile vivuko vina wavu ni tofauti na hivi vya hapa Dar
Haujui kama anataka kujiua mkuu, usiwe judgemental mkuu...Anayetaka jiua hatakiwi saidiwa, anatakiwa aachwe afe.
Sasa asaidiwe na nani kwa upumbavu wake?
Yawezekana kweli tuna laana lkn hatujafikia hatua ya kuruhusu wanaume kwa wanaume kufirana Kama huko mlipo.Tukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza
DahNi mwendo wa kujirusha rusha masela ruka haaaaaa kwa mizuka ingia kati serebukaaaa
Huyo kaamua jiua na hilo ndo hitimishoHiyo pia ni ajali,kwanza tuna uhakika gani kwamba ameanguka na sio kwamba amejirusha?
Ndio keshajiua ataibuka baadaeHaujui kama anataka kujiua mkuu, usiwe judgemental mkuu...
Tutamkuta mbele ya safariMDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Jamaa anabisha tuMkuu ivi nyie mnaishi dunia gani? Kwani haujui wagonjwa wa akili ambae saa hii yupo sawa alafu baada ya nusu saa kichaa kinapanda, haujawah ku encounter situation kama hizo? Usiwe judgemental mkuu Mungu hapendi kabisaa
kimeshakuwa chakula cha samaki hicho. afya ya akili ni shida kwa wengi tzMDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Kwahiyo hakuna watu waliojitolea kumsindikiza! Mna roho za kikatili kwani hamkuweza kufikiria huko njiani anaweza kupata matatizo na atakosa msaada.MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Hajui kueleza kwa ufasaha. Kivuko kilikuwa kwenye mwendo,mfano kimefika katikati ya ziwa,mzee akajirusha kwenye maji. Kivuko kikaenda mbele kidogo kikasimama,labda kumsikilizia mzee kwamba labda alienda kukata gogo,au kumsalimia sangara. Walivyoona kimya kimya kivuko wakaendelea na safari.Hujaeleweka
AiseeHajui kueleza kwa ufasaha. Kivuko kilikuwa kwenye mwendo,mfano kimefika katikati ya ziwa,mzee akajirusha kwenye maji. Kivuko kikaenda mbele kidogo kikasimama,labda kumsikilizia mzee kwamba labda alienda kukata gogo,au kumsalimia sangara. Walivyoona kimya kimya kivuko wakaendelea na safari.
Daah sawa mkuu wewe ni mwamba kabisaNdio keshajiua ataibuka baadae
Hahah umemuona jamaa, Bora ushangae kakaAisee
sasa kama kajirusha unamuokoa wa nini? kuna watu wameshachoka na haya maisha kumuokoa kwake utaonekana mjingaNimeshangaa wameshindwa kumuokoa kweli??,hata kama ana matatizo ya akili.