Mtu mmoja ajirusha ziwani kutoka kwenye kivuko Mwanza. Kivuko kimeendelea na safari

Mtu mmoja ajirusha ziwani kutoka kwenye kivuko Mwanza. Kivuko kimeendelea na safari

Imenikumbusha kipindi flani navuka Zambezi River kutokea Botswana kuja Zambia kuna jamaa alijitosa pasi na sababu yoyote,mwamba mmoja akajitosa kumsaidia bahati yake aliokolewa ilikuwa shughuli pevu kuulizwa eti ana stress kali sana.
Kwa aliyewahi kupita Ile border ataelewa ni jinsi gani pale panatisha.
Aisee mto Zambezi mbona unakimbia sana
Jamaa alijiaminije kumuokoa
Kuna watu wana uwezo
 
Maan hapo ni kupiga kelele kivuko kinasimama ukozi unafanyika..@Mzee kipusa kwann ulitaka kujiua.
Nakumbuka nikiwa MVULANA, nilikua hodari sana kwenye kila task niliyopewa kuifanya...iwe ya kishule au ya kitaa.

Nikiwa KIJANA , nilikua Jasiri sana...sikua na woga, hofu, wasiwasi wala mashaka ya aina yeyote. Nakumbuka niliwahi kuzingirwa na group la makomando wa Kongo Drc...kila walivyokua wakitaka kuniadhibu..wakawa wanashindwa...sijui niliwatorokaje...only God knows it


Nikiwa MWANAUME , nilikua mtu Shupavu sana...kila mtu nilimsikia akisema " huyu jamaa sio mtu wa kawaida" ...nilivyokua nikipita mbele za watu au kukaa karibu na watu wabaya...hisia zangu zilikua zinawakwaza sana....mapepo Yao yakawa yanakua hayapo comfortable kuwa karibu nami. So nikawa natungiwa kila aina ya majina just kuchafuliwa tu....mfano...ilifika mahala niliitwa mchawi. Cause nilikua naweza kuona vitu kabla hata havijatokea...nilikua mtu wa machale sana. Nilikua ninajua nani ananipigia simu hata kabla simu haijaanza kuita wala namba kutokea kwenye screen.

Sasa Mimi ni MZEE,...ni mtu Shujaa sana. Siwezi kufafanua zaidi.

Katika Ulimwengu huu...ukiujua ukweli, unaanza kuwindwa na watu wabaya. Nusura waniue kupitia kujitoa uhai wangu mwenyewe kisha waanze kusema kajiua mwenyewe...wakati ukweli ni kwamba ...ni wao ndio waliingia ndani ya mwili wangu na kuanza kuniforce nijiue. But kwà Damu na jina la YESU KRISTO ( YESHUAH HA-MASHIACH) nikawashinda. I a m now a free being
 
MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.

Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Man overboard
 
Mzee Mimi nilikuwa nyuma kabisa nashangaa shangaa mandhari ya ziwani nimekuja kushtuliwa na mdogo wangu kwamba kuna tatizo, nilishtuka nikajua kivuko kinazama.

Sikubahatika hata kumuona
Watu wa ziwani kuogelea sio shida, labda alikumbuka Kuna issue ameisahau( may be simu)

Akaona kusubiria Hadi afike upande wa pili simu itapotea
 
Tukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza
Una uhakika gani kama angelitumia hilo boya kama ni mtu aliyedhamiria kujimaliza??
 
Pole yake masikini ila wanaibuka kwa kutapatapa na kivuko hakikimbii hivyo
Wangemuokoa mkuu ila ndio hivyo tena
Hatuwezi kujua yaliomsibu mpaka kafikia maamuzi hayo kwani binadamu tunatofautiana kwa kuyakabili madhila yoyote
Zile engine huzunguka kwa kasi sana, na uwezekano wa kumkuta eneo lile lile ni ngumu
 
Kuna siku moja mida ya saa moja jioni nipo kwenye MV KIGAMBONI, kivuko kipo katikati tunasikia watu wanapiga kelele kwamba kuna mtu kadumbukia baharini, kila mtu akawa anaongea lake, wengine wakawa wanamwmbia nahodha asimamishe kivuko
Nifupishe story, kumbe jamaa aliekeana kidau nA mwenzake kwamba yeye anaweza kufika ng'ambo kabla ya pntoni na kweli tulimkuta
Pale Kigamboni watu wanavuka kwa kuogelea ka kawaida
 
Una uhakika gani kama angelitumia hilo boya kama ni mtu aliyedhamiria kujimaliza??
Itakuwa ni utabiri tu na wote tunatabiri

Umewahi kuona mtu anajinyonga kamba ikakatika huwa harudii tena
 
MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.

Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Sasa kam amejirusha mwenyewe ulitaka wampe msaada gani, angekua anatakamsaada asingejirusha
 
MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.

Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Mna uhakika ni mtu? Isijekuwa kiumbe kimeamua kurudi kwao, na hapo alipojirushia ndio kituo
 
Back
Top Bottom