Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Haijalishi, ilikuwa ni lazima kufanya jitihada za kumuokoa,matusi sio tatizoUnaweza kumuokoa akawatukana.
Tuliwahi okoa mtu akatutukana matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi, ilikuwa ni lazima kufanya jitihada za kumuokoa,matusi sio tatizoUnaweza kumuokoa akawatukana.
Tuliwahi okoa mtu akatutukana matusi.
kama ni mental au kifafa ?Wahatarishe maisha yao kisa mjinga mmoja? Wacha samaki wamle ataelea baadae
Haijalishi,mtu akinywa sumu tunampeleka Hospitali,hatumuachi afe tusasa kama kajirusha unamuokoa wa nini? kuna watu wameshachoka na haya maisha kumuokoa kwake utaonekana mjinga
Ulishapanda hicho kivuko? Hata kifafa mtu hawezi ruka na kudondokakama ni mental au kifafa ?
Mtu akishaamua kujiua we muache ajiue tu ila hakikisha huwekwi hatianiUnaweza kumuokoa akawatukana.
Tuliwahi okoa mtu akatutukana matusi.
Akitoka hapo mumpeleke polisi, mahakamani mumfunge au sio?Haijalishi,mtu akinywa sumu tunampeleka Hospitali,hatumuachi afe tu
Sio kweli. Unaijua JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA wewe?Akitoka hapo mumpeleke polisi, mahakamani mumfunge au sio?
Mtu akiamua kukatisha maisha yake ni haki yake aachwe.
Safi sana.Unaweza kumuokoa akawatukana.
Tuliwahi okoa mtu akatutukana matusi.
Naijua ndiyo kwamba itakufunga.Sio kweli. Unaijua JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA wewe?
KISHERIA ni kosa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huwa haipendi kabisa kupoteza nguvu Kazi kiboyaboyaNaijua ndiyo kwamba itakufunga.
Serikali zote ulimwenguni suicide ni kosa nafahamu. Hayo ni maoni yangu mimi binafsi sitaingilia uhuru wa mtu aliyeamua kujitoa uhai..tena hasa kama sikujui.KISHERIA ni kosa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huwa haipendi kabisa kupoteza nguvu Kazi kiboyaboya
Pole yake masikini ila wanaibuka kwa kutapatapa na kivuko hakikimbii hivyoMtu akidondoka majini kwa kujirusha anazama chini kabisa maana yale maji huzunguka
Pamoja sanaHapo sasa nimekuelewa mkuu,alinichanganya
Huo ni uhuru uliopitiliza. Incase you didn't know...Serikali zote ulimwenguni suicide ni kosa nafahamu. Hayo ni maoni yangu mimi binafsi sitaingilia uhuru wa mtu aliyeamua kujitoa uhai..tena hasa kama sikujui.
MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Kwani wote hapo hamna no ya Shujaa Majaliwa!!?MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Acha roho mbaya! Wengine hawapendi....sema watu kwasasa upendo umepungua sana.Mtu si kataka kufa mwenyewe...