Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hapo sasa nimekuelewa mkuu,alinichanganyaMbona kaeleweka alivyojibu?
Kivuko kilikuwa kimeishaondoka baadae akajirusha mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa nimekuelewa mkuu,alinichanganyaMbona kaeleweka alivyojibu?
Kivuko kilikuwa kimeishaondoka baadae akajirusha mwenyewe
Mtu akidondoka majini kwa kujirusha anazama chini kabisa maana yale maji huzungukaTukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza
Tukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza
Tanzania hasa serikali huwa haina uchungu na raia wake.MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Ni shida sana mkuuHapo weakness ni waokoaji,huyo aliyejirusha ni kweli amejirusha lakini je wamechukua hatua gani kuhakikisha wanamuokoa,je kama ikitokea chombo kimezama wataweza kweli kuokoa watu, Afrika tabu sana.
Tukisema ni taifa lenye laana mtatushangaa
Yaani wameshindwa hata kumtupia lifebuoy jamaa
Laana za kutafuta tu hizi yaani mshkaji umeshindwa hata kuongea unafungua uzi sasa na picha lazima kapigwa tu maana ndio msaada wengi wanaouweza
Alifikiria Bwamdogo majaliwa yupo Karibu!MDA huu Niko kwenye kivuko, kuna mbaba WA makamo amejirusha kwenye kivuko cha busisi, yaani kivuko kimesimama dakika kadhaa halafu kikaendelea.
Bila msaada wowote, R.I.P jamaa
Ingekuwa ajali wangeokolewa sababu ni ajali, mtu kupanda na kujitupa hiyo ni makusudi.Ndio mana nlikuwa namcrush alosema shauri yake kajirusha mwenyewe,... Ameshindwa kuwaza ingetokea ajali wakatumbukia watu wanne labda wangeendelea au wangeokoa? Wako na weakness ya utayari wa kuokoa watu... We are doomed.
Vile vivuko vina nyavu ni tofauti na vya kigamboniPengine mtu ameanguka kifafa watu wanafikri kaamua kujiua......
Hiyo ni kazi yao lazima wana namna ya kudili na hatari,mbona madaktari wanatibu wagonjwa wa ebola,corona,etc...Mabaria wakamuokoe sehemu yenye mamba ausio
Je kama ana kifafa?Wahatarishe maisha yao kisa mjinga mmoja? Wacha samaki wamle ataelea baadae
Kama anaupungufu wa akili mkuu aachwe tu? Kuna kitu hakipo sawa, ni haki ya mtu kuokolewaIngekuwa ajali wangeokolewa sababu ni ajali, mtu kupanda na kujitupa hiyo ni makusudi.
Vile vivuko vina wavu ni tofauti na hivi vya hapa Dar
kUna siku jamaa alijirusha kwenye maferi ya kamanga,ila walisimama na kumtoa ila alkuwa ameshakufa tayarNi mwendo wa kujirusha rusha masela ruka haaaaaa kwa mizuka ingia kati serebukaaaa
Wamefanya uzembeKasimamisha kivuko, wafanyakazi wakashangaa shangaa then wakaondoa chombo..
Ulishapanda kivuko cha Busisi? Kile kina nyavu ni tofauti na hivi vya hapa kwetu.Je kama ana kifafa?
Ni kweliVivuko vyetu vingi nchini Maboya yote yamefungiwa mkuu tena kwa kamba nzito huwezi kulinasua haraka haraka
Anayetaka jiua hatakiwi saidiwa, anatakiwa aachwe afe.Kama anaupungufu wa akili mkuu aachwe tu? Kuna kitu hakipo sawa, ni haki ya mtu kuokolewa