Kuna jamaa mmoja ana masters ya sociology anauza nguo,ukiingia kwake anakuangaliaa akiona hufanani na nguo zake anazouza ana kushit.Nilikwenda kumnunulia mtu ila nikamkuta jamaa yuko busy na mteja wa design ya nguo zake,akani ignore ijapo nilikuwa na laki moja nilitaka kununua kitu hapo.Ilibidi niondoke tu.
Nilipouliza watu huyu jamaa ana shida gani!Ndipo nikaambiwa ni msomi kazi yake imebaki kutamba tu kuwa ana masters ijapo alipewa mtaji na ndugu yake ila biashara inataka kumshinda.
Amebakiza majigambo tu na jamaa kumbe wana mchoraa hajijui.
Naamini degree bado itakupa nafasi ya kutambia wanaume mtaani na kukupa nafasi ya kutukana na ukasikilizwa
Sent using
Jamii Forums mobile app