Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

Maisha hayana formula mwache afanye kama atakavyo njia ya mafanikio huwa gizani
 
Humu kuna watu twawaita ma GT ila ni wapumbavu kiasili na hawataki kuelewa ku ni wapumbavu.

kuna ubaya gani kufunzwa kazi na drs la 7, mimi nimefunzwa kazi na drs la 7 taasisi flani.Badae nikapewa kuwa msimamizi wao (wakati naenda pale wanajamii hasa marafiki walikuwa wananibeza badae tukikutana wananisifia bora kazi ndogo kuliko kukaa bure)

nimetoka pale nikachukuliwa na taasisi nyingine (inayo fanya kazi sawa na ile ya mwanzo wakanipa kitengo)

la saba ama asiyesoma kukufunza kazi ni kawaida sana,kazi inabaki kwako kujiongeza, kufanya kwa malengo na kujitoa pale.
Tatizo kubwa linakuja watu wanapokariri elimu ni idadi ya madarasa na degree.

Wakati ujuzi wa kushona tu ni elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.

Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?

Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!

Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.

Tunakwama wapi?
Anataka kuja kuwa designer mkubwa wa mavazi.
Fundi mwenye degree na fundi hasiyekuwa na degree ni vitu viwili tofauti.
Sharia Ngowi, greater designer with LLB bachelor

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nimpongeze mpwa wako kwa kuwa na uthubutu wa kujifunza kitu cha kuweza kujiajiri, siyo kila mwenye degree awe muajiriwa, hongera zake na huenda akatoboa kimaisha kuliko hao wenye degree wenye kusubiri ajira.
 
Wewe umetazama ufundi ule wa mazoea, yawezekana ye ameuona katika mtazamo tofauti ndio maana ana shauku kubwa sana ya kujifunza ili apate timiza ndoto zake. Nadhani unafahamu pia watu kama Speshoz na wenzake wanavyofurahia maisha kupitia cherehani.
 
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.

Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?

Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!

Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.

Tunakwama wapi?
SUBIRI BAADA YA MIAKA KADHAA NDIO UJE UHOJI TUNAPOKWAMA.
 
The sad part hata ushauri mzuri anaopata kutoka humu JF unaishia kwenye makabati,hata huu uzi utapita na kubaki kwenye archives za Jamii Forums..sio bure kuna tatizo la kusikia ama kuona kwa viongozi wetu lol
Huu ushauri nakuhakikishia anausoma. Nimemtumia link ameniambia anafuatilia kila post. Na anashukuru sana wanaomtia moyo.
 
Wasomi wamebadilisha sana tasnia ya urembo, mavazi, upambaji, upishi na kilimo.

Wasio wasomi walikuwa wameshikilia haya maeneo na kazi zao hazikuwa na thamani na mvuto kwa tabaka la wenye pesa hata hizi huduma zikawa zinapatikana toka nje.

Sasa wenye pesa wanachagua kushona shela kuliko kuagiza uturuki.

Huduma za vyakula kwa ajili ya sherehe zilitegemewa sana kutoka kwenye mahoteli makubwa ambapo wapishi walikuwa ni wageni. Leo huduma hizo zinatolewa na wazawa kwa ubora.

Kilimo cha mboga mboga na matunda kimebadilisha kabisa upatikanaji na matumizi ya hizo mboga.
Mchicha, kusamvu vinapatikana hadi supermarket.

Tunahitaji wasomi kwenye kila sekta ili kuongeza tija na uzalishaji sambamba na kuinua pato la jamii.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
YAANI WATANZANIA WANAIONA ELIMU KAMA HAISAIDII CHOCHOTE KWA SABABUBYA MIAKA HII MINNE TU AMBAYO AJIRA NYINGI ZIMESITISHWA. WAMEISAHAU KABISA MIAKA AMBAYO AJIRA ZILIKUWA NYINGI.

jamani tuwe wapole, mfano: kitu nilichosomea mimi kabla ya mwaka 2016, ajira zilkuwa zinatoka 50+ kila mwaka na ilikuwa inachukua watu wa course mbili ambazo zilikuwa zinazalisha si zaidi ya 25 graduates per year. Lakini october mwaka 2015 tuliingia chuo watu zaidi ya 40 kwenye course yangu tu na wenzetu walikuwa 20 na tume maintain hiyo trend mpaka leo, ingawa tangu 2015 ajira zinatoka si zaidi ya 5 kwa mwaka.

Sasa hapa tatizo ni kwamba ajira zimesitishwa ndio maana watu wanalazimika kufanya kazi yoyote.
Lakini mkumbuke kwamba ni kipindi tu, mda utafika mambo yatakuwa tofauti tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli ni mtoto. Watu wamemaliza vyuo mwaka 2013 na hawana ajira wewe unaongelea kuanza Chuo 2015!!!! Kama una ajira ni bahati tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nashangaa sana watu kama wewe huwa mnakosa akili kichwani . Mfano watu 40000 wameliza vyuo katika fani mbalimbali Tz nzima na ktk hao kumi elfu wakawa wameajiliwa na thelathini elfu wakawa hawana ajira na wakaenda kuanzisha ujasiriamali . Nani atamuhuzia mwenzake .

Mfano 2.
Umemaliza course ya engineering hafu wote mkaenda kufungua construction company miaka miatu ujapata tenda utalipa Nini ada crb na kodi.
Kumbuka crb imedelete compuni nyingi sana mwaka huu kwa kushinda kulipa ada na zingine zimekufa kwa kukosa tenda .

Na compuni nyingi hazina mtaji wa kushika hata tenda za milioni Mia moja na zinaenda kwa kampuni za kigeni.





Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unashauri nini kwa hao 30,000 wanaokosa kuajiriwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua
Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.

Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?

Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!

Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.

Tunakwama wapi?
Kua na skills nyingi Ni jambo jema amechelewa sana yani nampongeza kwa uamuzi huo Mimi Ni graduate ila Nina skills ambazo hata nikose ajira silali njaa
 
IMG-20190116-WA0008.jpg


Kuna funzo hapa kwenye image
 
Back
Top Bottom