Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Jamaa wana uhakika kabisa watashinda kesi, hata mwanasheria EEM M anaamini hivyo.
Hamna kesi pale.

Ushahidi umekaa ovyo sana kuthibitisha lile kosa. Kwa kuangalia mambo yafuatayo kwa haraka:-

1. Video inaonesha mmoja tu ndo anapiga mzigo. (Kumbuka kosa ni gang rape)

2. Muda wa mtuhumiwa alokuja kupimwa na daktari almost mwezi na siku kadhaa zimepita.

3. Tunaanza na authentification ya electronic evidence.

Na mambo mengine kibao, Hapo Nyundo anachomoka mapema sana ndo mana unaona anadandia gari kwa mbwembwe vile!...

Mtakuja kunambia
 
Hyo style ya kurukia gar hata mim ilinishangaza,sjui ndo anatangaza ukomavu wake
 
Sijui kwanini... Lakini inaonekana kwenye hii kesi hao watuhumiwa wataachwa huru.
Sura za kwenye zile video ni tofauti kwa sehemu na hizi za hawa wanaoburuzwa mahakamani!
Nipo tayari kukosolewa!
 
We jamaa unaonekana uko shallow Sana. Unafikiri ww unaakili kuliko DPP?
Yaani Kama hakuna jinai hata wao wasingehangaika kutafuta mawakili. Maana hakimu angeona tu kwamba hawana kesi ya kujibu.
Yaani kwa akili zako mtu akubakwa wanaangalia uchi tu?
Hujaona Hadi mtaalamu wa mawasiliano kapelekwa kutoa ushahidi?
 
hawa wapuuzi wa JWTZCCM, POLICCM na TISSCCM always wao huwa wanajiona wapo juu ya sheria
 
Mtu yoyote anayefanya ubakaji ujue haina akili za kutosha, aozee gerezani.
 
Hamna kitu hapo tanzania hii haifungi askari yaani ufunge afande tanzania askari tanzania anapigiwa magoti demu kashaliwa na hamna watalofanywa hao
Boss kumbe umebadili username😂😂😂😂😂 nilikuwa nakukumbusha tu Askari wa Tanzania wanapigiwa magoti!!!! hapo Kwanza ncheke😂😂😂😂
 
Bush lawyer unaendeleaje?
 
Hapo hamna kesi hakuna ushahidi dhahiri wa kuwatia hatiani
Mahakama haifanyi kaZi Kwa hisia
Hao jamaa hakuna hakimu mwenye akili timamu atawatia hatiani
Kwa hiyo hakimu aliyewatia hatiani Leo Hana akili sio....ndugu mwanasheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…