Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Hilo ndiyo haiba ya maafande wa jeiwii kwa 95%.
Tukiachana na uhalifu wao, hiyo ni nzuri.

Askari hatakiwi kuwa mnyonge, until the last drop of blood, he should be proud.

Nafikiri umenielewa ninachotaka kueleza hapa.

Ninaona kwamba askari wetu wa TPDF wanapata mafunzo stahiki.
 
Nimekwambia hakuna kesi hapo
Ushahidi haupo
Wa kuwatia hatiani akina nyundo
Me sio mwanasheria ila hii kesi hunifungi
Kwa nini? Aliebakwa akiwatambua kwa sura kwamba ni hawa walionibaka na kunifira, hakimu atataka ushahidi gani tena?

Hebu mtag mwanasheria unaemfahamu humu jamvini atusaidie.
 
Kweli ipo siku akili itawakaa sawa.

Ila nimeona tangu Jana nyundo amepunguza mbwembwe.
 
Binamu Yako hakua na connection Sasa huyo ni askari na anajua hawezi fungwa mpaka anatamba mbele ya askari wenzie na askari tanzania hii anapigwa magoti huoni anapelekwa kama bwana harusi tanzania hii askari anaabudiwa
 
Kwa nini? Aliebakwa akiwatambua kwa sura kwamba ni hawa walionibaka na kunifira, hakimu atataka ushahidi gani tena?

Hebu mtag mwanasheria unaemfahamu humu jamvini atusaidie.
Na waliombaka wakikana, huyo shahidi atadhibitishaje
 
🤣🤣🤣🤣👆
 
Anataka kumtafuta ili amwambie ukweli nani aliyebaka au anammaindi mpiga picha ili amfile? Nashauri huyu askari akamatwe ili aulizwe ni nini anataka kufanya kwa huyu Cameraman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…