Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
nafuu ya shetani nimbaya watu wanaaminishwa Kuwa
anga la blue ni mbingu nawao wanaamimi
We naamisha nini? Cause neno anga nalo limenenwa kwenye maandiko pia, na sio anga tu kirahirahisi kama kiswahili kinavyotambua, bali FIRMAMENT, yaani a VAULT OF HEAVEN.
Kwa kumaanisha vault, ina maana hapana awezae kukatiza hapo.
 
Kwani alioliona jua linazama kwenye matope ni Muhammad au Dhur Qanain?
 
We naamisha nini? Cause neno anga nalo limenenwa kwenye maandiko pia, na sio anga tu kirahirahisi kama kiswahili kinavyotambua, bali FIRMAMENT, yaani a VAULT OF HEAVEN.
Kwa kumaanisha vault, ina maana hapana awezae kukatiza hapo.
kwani wewe unaposikiaga waswahili wakiizungumzia mbingu "" huwa unawasikia wakimaamisha nini" Mimi namaanisha" hiyo rangi ya blue " onayoonekana angani" so Kama wewe waiongelea hiyo " mbona watu wanapita " hapo
 
Kwa hiyo kuna uwezekano wa aya zote za Quran zikawa sahihi kwa hiyo ifutwe hii tu ili kitabu kizima kikamilike?
 
Kwa hiyo kuna uwezekano wa aya zote za Quran zikawa sahihi kwa hiyo ifutwe hii tu ili kitabu kizima kikamilike?

Wewe unaonaje? Ikiwa Kurani ni neno la Mungu (na ndiye aliyeandika kwa mkono wake) na ikaonekana aya moja ni batili,je,hizo zingine zinasaliaje kuwa sahihi wakati mwandishi wa aya zote ni Mungu yule yule?
 
Picha ya kwanza na ya tano nikiwa namsimulia mtu jinsI nilivyoliona jua linazama nikamiambia nimeliona jua linazama kwenye maji nitakua namaanisha linazama kwenye maji kweli au ndivyo nilivyoona kwa muono wangu? VipI kuhusu picha ya pili Jua si naliona linazama ardhini? Na picha ya tatu utamuelezeaje mtu kwamba unaliona jua linazama vipi? Nikisema nyuma ya mlima nitakosea? Picha ya nne nikisema jua limezama kwenye mawingu meusi je?

Nadhani hata huyo anaesimuliwa katika Qur an anasema aliliona jua linazama katika matope meusi kwa muono kama huo hapo juu.
 
Kwani alioliona jua linazama kwenye matope ni Muhammad au Dhur Qanain?

Mkuu unaniuliza swali ambalo liko wazi namna hiyo? Kiswahili kilichotumika kwenye hiyo aya mbona ni kirahisi sana? Basi,ngoja tuirejee tena aya husika hapa halafu kisha tubainishe hapo ni wahusika gani wanaongea na mambo gani wanaongea:

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Kwa hiyo ,mambo yafuatayo yako wazi:


1. Mungu alikuwa anamsaidia Muhammad kutoa historia ya Dhul-Qarnaini na katika kufanya hivyo anampa Muhammad kisa hicho cha Dhul-Qarnaini dhidi ya Jua.

2. Kwamba Dhul-Qarnaini aliliona Jua linatua katika Matope.

Sasa maswali la kujiuliza:

1. Mungu, anapomuadithia Muhammad kwamba Dhul- Qarnaini wakati akitembea alifika mahali akaliona Jua linazama katika matope meusi,Mungu alimaanisha nini hasa?

2. Je,kwa aya hiyo, Sio kwamba Mungu alikuwa anamuelezea Muhammad jinsi Dhul- Qarnaini alivyoliona Jua likizama katika matope?

3. Je,kama ndivyo Mungu alivyomaanisha hapo katika namba 2, Muhammad hakuamini hadithi hiyo?

4.Na kama Muhammad aliamini,je,si ni kweli kwamba kumbe Jua linazama katika matope meusi?
 
Mambo ya imani huwezi kuyaprove kisayansi kirahisi hivyo. Hata suala la Yesu kutembea juu ya maji kisayansi halina mashiko, suala la kubadilisha maji kuwa mvinyo na kujaza makombo ya samaki wawili wasiojaa hata robo ya kikapu kwenye vikapu kumi halina mashiko ya kisayansi.

Hata Mwenyezi MUNGU huwezi kumthibitisha kisayansi. Mussa kapiga maji kwa fimbo yakagawanyika kisayansi huwezi kuprove, Joshua kusimamisha jua ambalo halizunguki huoni kama ni ajabu! Pilipili ya shamba yakuwashia nini mkuu??Mkuu waache waaminio wapate kuamini.
 
Nimekuuliza hivyo sababu wewe umemuuliza mtu huko juu kwamba lini Muhammad alienda Mekodonia akaliona hilo jua linazama kwenye tope sasa ndio nakauliza hiyo habari anayesimuliwa kuliona ni Muhammad au Dhel qanain?
 
wajinga hawataiona hii comment
 


Kwani katika aya hiyo ambayo nimeinukuu ni nani anayeongea hapo? Ni Muhammad au Mungu pekee? Je,Ni Mungu na Muhammad au Dhul-Qarnaini? Ni nani anayemueleza Muhammad kuwa ikiwa kuna watu wanakuuuliza habari za Dhul-Qarnaini,sisi tutakupatia historia yake? Naomba utueleze ni nani hasa hapo anayempa Muhammad stori za Dhul-Qarnaini.Ikiwa ni Mungu,si ina maana ndiye aliyemuona Dhul-Qarnaini akiliona Jua likizama katika matope au vipi? Na kama Mungu aliliona Jua likizama katika matope kama alivyoliona Dhul-Qarnaini ni wapi kuna utata au uongo? Na kama ndivyo,nimekosea wapi kusema Muhammad ndiye aliyeliona Jua likizama katika matope?Hivi huelewi kuwa Muhammad anasema kwa kinywa cha Mungu yale yale ambayo Mungu aliyaona?
 
Kwaiyo kwa mujibu wa hizo picha unakubali jua linaweza kuonekana linazama katika matope,maji au nyuma ya mlima?
 
Hahaha naona wewe ndio ushapata mlango wa kutokea kwa kutafuta kuhamisha mjadala , si umeona sasa nilikusihi kwenye paragraph ya mwisho na hukunielewa.. hahaha eti ili Muhammad apate picha gani, kumbe hata hujui hiyo habari ya Dhil Qarnain ilianzaje mpaka ikafikia hapo, eti 300 BC ndo umeona ajabu, na ya manabii wengine yaliyozungumzwa kwenye Qur'an kina Adam, Noah, Idriss, Daud, Solomon, Ibrahim, Musa mbona hujajiuliza ilikuwa B.C ngapi ? Yaani hapo ndo umedhihirisha uko mtupu kwenye masuala haya... Mkuu bora utafute mada nyingine ya kujadili, hii itakuwa too big for you my dear bro..
 

Kwa hiyo mambo ya Mungu tunaya-prove kwa njia gani? Ndio maana uzi unauliza kwamba, ni nani muongo kati ya Mungu na wanasayansi? Ina maana kwa hitimisho lako, wanasayansi ni waongo na Muhammad ndiye yuko sahihi kwamba Jua huchwa katika matope?Hilo la pilipili nisizozila zinaniwasha vipi,nadhani unapaswa kuelewa kuwa mimi niko naishi hapa duniani na kwa hiyo suala linaloongelea dunia ninayoishi ni muhimu kulifahamu nje ya mduara wa Mashaka.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…