Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Wakristo akili zenu zinawatosha wenyewe. Mnakanyagana na kuuana kama ng'ombe kisa mafuta. Kufungwa huyu aliechana Qur'an imewauma zaidi kuliko yule alisababisha vifo vya watu kuachiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huko mnakoenda kuhiji mbona huwa mbakufa kama nzi eti mnampiga mawe shetani,akili nyingine bhana!
 

Kwanza jafo amekosea sana huwezi msimamisha mtu kazi kwa mambo ya dini pili huo ndio uhuru wa uelewa wake kuhusu imani na anapaswa kuheshimiwa na kuombewa au kufundishwa ustaarabu katika imani hata kama haimuhusu hiyo imani. Kutumia maguvu hakusaidii.
Jafoo ameingia kwenye mtego wa udini kama waziri. Tatu. Masheikh wanapaswa kuwasamehe wale wanaokwenda kinyume na imani zao sio kusema watu walitaka kujichukulia sheria mkononi huo ni upofu wa imani.
Hivi allah hawezi kujipigania kweli?
 
Mbona hakujiua,ili pia ajuwe kama kuchana Qur'an,waenda motoni kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nabii Tito hamkumpuuza?
Unapo fanya kitu chochote kinacholenga kumkera mwenzako hilo ni kosa acha awajibike kwa upumbavu wake .

@RTI
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alinununia akachana au alimpora mtu akachana.?
Kosa alilofanya ni kuchana mbele za watu hafu kuna wajinga wakawa wanamchukua video.

Angenunua hafu angeenda kuchania nyumbani nani angejua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha kumbe unalitambua hilo basi tambua qruan ni nembo ya uislam unapo onesha inshala yeyote ya kuidharau ni tusi kwa waislam na siku zote anaye toa matusi hadharani ni mvunja sheria.
 
Kuchana hadharani kuna kuhusu nini wakati kitabu kakinunua yeye? Kosa kama kachukua cha mtu mwingine haya mambo ni kuendekeza upuuzi tu kwani vitabu kama hivyo vimeisha madukani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwa Ethical issues amevuja maadili jamii lazma, uheshimu dini nyingine hata kama wewe sio muumini wa dini hiyo.
kile kitabu sio kama vile vya nyambari nyangwine, au riwaya na tamthilia
 
jamaa kama sio kalewa basi kuna fyuzi moja somewhere kichwani mwake imeungua...
 
Uliza China kilichowakuta
Kimewakuta nn wewe acha uongo,.. Matatizo ya China ni ya China tu, sio kwasababu ya Koran.... Hivyo vitabu ukichana hamna lolote lile,.. Hivi kwann waislam mnapenda kujaza watu hofu ktk Imani yenu, ili ionekane inatisha au,... Mungu hamtishi mtu. Sema nyie munamloga mtu kwa uchawi wenu na mapepo yenu, wala sio kitabu wala nn,.. Kila siku watu twavichana, twachoma moto, hamna lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…