Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Waislamu,wapewe pongezi,kwa kutomgusa,kumpiga au kumtukana,wakati akifanya ujinga huo.Kwa hiyo wenye dini ni wastaarabu,sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
bado watu wanaonyesha ni jinsi gani dini hazijawasaidia kustaarabika.
kuna ushahidi asilimia nyingi tu kwamba,wapagani wamefanikiwa kuwa wastaarabu kuliko wenye hizi dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app