Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Ulishuhudia wewe na nani? Basi sawa kama ulishuhudia wewe ngoja tukuamini.
 
Israel akipiga tunaona video na picha!

Nyie video na picha ziko wapi?
Hawajapata za kuediti. Subiri kidogo kwani umeme nao unakatika-katika sana.
Stay tuned zitakuja.
 
Propaganda ni nyingi sana ktk hii vita tunaloliona ni kulipamba IDF kwamba limeshambulia na limeuwa raia karibu 500 wa Lebanon lkn kwa upande mwengine tunaambiwa Hezbollah imefanya mashambulizi kwenye maakazi ya watu lkn tunaambia hakuna mtu aliyekufa. Hebu tufunguwe page ya bbcswahili tutashuhudia hili.
 
Nickson
Kwa taarifa yako tu Israel na IDF hairuhusu habari yoyote itoke/itangaze kuhusu vita na media yoyote itakayo kwenda kingumbe amri basi haitaruhusiwa kufanya ndani Israel na hili tunashuhudia Al Jazeera imefungiwa kufanya kazi ndani ya nchi
 
Heal the world, think beyond these created religions and racism.
 
Lebanon mpaka muda huu anachapika kichapo cha mbwa koko....mamayeee anayepaprish vita Iran yuko pembeni akiangalia wanzie wakichakazwa[emoji1787][emoji1787]
 
Kwetu wapi mkuu..... waarabu tushawaonya hawana huwezo wa kubattle na Israel
SINTOSHANGAA HAWA WARABU SIKU WAKIMALIZWA MABOYA SANA HAWAWEZI AKILI KUBWA KAMA ISRAEL HAWA YULE MSENGE SIJUI ALLAH KAWAPOTOSHA
 
udini mbaya sana sana
 
Lebanon mpaka muda huu anachapika kichapo cha mbwa koko....mamayeee anayepaprish vita Iran yuko pembeni akiangalia wanzie wakichakazwa[emoji1787][emoji1787]
Usichokijua kuanzia jumanne Hizbollah imekua inarusha maroketi Israel hadi leo hii siku tatu mfululizo.
Kwa hali kuonekana mbaya jana USA,UK na France wameomba kuwe na ceasefire ya wiki tatu kujadili amani ya kudumu.
Jiulize kwanini USA na washirika wameomba majadiliano ya ceasefire!?
 
Wametoma rocket nyingi lakini zimekua off target kutokana na IRONE DOME. israel wamtuma chache tu wamekufa 500 majerui 2000 na ushee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…