Hakuna maana ya kufunga mipaka ugonjwa ushasambaa
Wabinafsi ni viongozi wasiotaka kuchukua hatua.Hizi akili sijui za wapi ?
Mipaka ifungwe kwa lipi?
Kila nchi ina njia zake za kupambana na majanga
Nyie mnamishahara acheni ubinafs
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu, huyo kwa Avatar ndo Wewe??
Kwenye mapango ya mawe ukoooo Buswelu ila muache askari namba moja wetu
Ee baba wacha wasaidizi wake wapige kaziKwenye mapango ya mawe ukoooo Buswelu ila muache askari namba moja wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Harafu kazi tutachapa saa ngapi?Wuhan ya Tanzania .
Wuhan ya China ilikua locked down.
Mchelea mwana kulia..... Atalia yeye
Hali ni tete 254 ndani ya mda mchache na huenda kote supplier atakua dar kuupeleka mikoniHarafu kazi tutachapa saa ngapi?
Not too late not too early but exact time.Believe me it is arlready too late mate.
Dar ndiyo anapeleka mikoani kupitia mabasi yanayoingia na kutoka kila sikuHali ni tete 254 ndani ya mda mchache na huenda kote supplier atakua dar kuupeleka mikoni
Wewe nawa mikono,vaa leso chapa kaziHali ni tete 254 ndani ya mda mchache na huenda kote supplier atakua dar kuupeleka mikoni
Kuvaa barakoa iwe lazima kwa kila mtu. Hii itasaidia sana.Wuhan ya Tanzania .
Wuhan ya China ilikua locked down.
Mchelea mwana kulia..... Atalia yeye