kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #41
Ya mkoa wako hujaweka ulivyo na uduwanzi!Naongea Afrikaans ,Zulu, Khosa, Shona,,Nyanja ya Zambia na kichewa cha Malawi vizuri ukiweza chagua lugha yeyote hapo twende sawa..
Potelea pote mwanangu uwe na siku njema bhana..nimecheka sana eti uduanzi wewe kavu sana ujue...Ya mkoa wako hujaweka ulivyo na uduwanzi!
Kinyakyusa na Kisafwa vizuri kabisa achilia mbali hizo lugha za mabeberu.Ya mkoa wako hujaweka ulivyo na uduwanzi!
Kama kweli wewe ni baharia na sio mduanzi nitakualika kailicha na mainbeigh ukaone ufalme wangu na kizazi changu hatuna swaga za kujiweka mitandaoni!Potelea pote mwanangu uwe na siku njema bhana..nimecheka sana eti uduanzi wewe kavu sana ujue...
Potela pote wewe pia uwe na siku njema!Potelea pote mwanangu uwe na siku njema bhana..nimecheka sana eti uduanzi wewe kavu sana ujue...
Hela ya GSM itamponza.Kweli mumempania Mtaka😂 mwana yanga imaraView attachment 3159276
Mfano.......Mama mwenye kalewa madaraka kwahiyo hana tofauti na wateule wake.
Ramli chonganishi, mtanda ni mtarajiwa wa Nafasi kubwa CHAMANI, lijue hiloHizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Mimi sijui hayo!Ramli chonganishi, mtanda ni mtarajiwa wa Nafasi kubwa CHAMANI, lijue hilo
Alyepandisha huu uzi ni miongoni mwa watanzania mbumbu.Ugali umewadumaza Watanganyika mtu aondolewe kisa ma mipira daah mmesahau kabisa mabilioni yanayolipwa huko kwenye Mahakama za Nje na hamtaki kujadili hili ninyi na huyu alikua uwanjani au alikua Nje wiki nzima Wadumavu bhana..
Mtanda anatekeleza vizuri majukumu yake na mfumo hauwezi kumtoa kisa kaonyesha unazi dhidi ya Simba.Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
So what????Mimi nipo kwenye mpira ila kitu ambacho haujui ni kuwa huyo ni Usalama wa Taifa kwa level ya Mkoa akitoka hapo ni Ubalozi nje huko hakuna kitu unamwombea njaa huyo ni Udumavu tu ndio unawafanya hivyo...hakuna kitu kibaya kama Udumavu wa Akili ndio janga la Taifa letu.
Packu lumalizaNaongea Afrikaans ,Zulu, Khosa, Shona,,Nyanja ya Zambia na kichewa cha Malawi vizuri ukiweza chagua lugha yeyote hapo twende sawa..
Yaani... Huyo Mtanda alififisha kesi ya ubakaji ya mkuu mwenzake wa mkoa...Vili wala rushwa? nchi imejaaa wajinga sana hii, yaani Kutwa nzima ni Yanga na Simba, wajinga hawawazi jambo jingine lile
Watu wa Simba mna kaswende ya ubongo, badala ya kuwekeza kwenye timu mnamuingiza Rais kwenye upuuzi.Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!