Jamaa wanazinyonya nchi maskini wanaenda kulipa Billions of money kwa wachezaji wastaafu wa ulaya.Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Unadhani waarabu wote ni taifa moja!!?..acha ujingaJamaa wanazinyonya nchi maskini wanaenda kulipa Billions of money kwa wachezaji wastaafu wa ulaya.
Hakuna aliyewekewa mizengwe watu wanapinga mkataba ulio wa kinyonyaji.Waje na mkataba wenye maslai kwawote watapokelewa vizuri tuu. Alafu hata wewe Acha kueneza uwongo kuwa DP WOLD Wanafanyiwa figisu.Mpaka sasa ushawai sikia tamko lolote kutoka kwa DP WOLD? Zaidi ya selikali kutaka kulazimisha vitu ambavyo Kisheria ni unyonyaji dhidi ya WANANCHI WAKEKuna magati sita ya TPA yanahitaji uwekezaji pia kuna bandari nzima ya Bagamoyo inakuja mwaka huu, hivyo kama DPW mmoja anawekewa mizengwe namna hii vipi kuhusu wawekezaji wa magati namba tisa mpaka kumi na mbili wa pale bandarini. Vipi kuhusu uwekezaji mzima wa Bagamoyo utakuwa vipi?.
Siasa zetu za kambale kila mmoja majini ana ndevu zinatujaza ujinga mwingi tu bila ya kutusaidia kwa namna yoyote ile. Haya ya bandari ni maswala ya kitaalam sana lakini kwa sababu watanzania siku zote hatuheshimu utaalam kwa sababu ya elimu zetu za kuungaunga hatuwezi kuona namna tunavyopoteza muda kwenye mijadala yetu isiyo na tija.
Akili za kutanguliza mwekezaji ni mnyonyaji ni za kina Julius Nyerere, akili zilizopitwa na wakati kitambo sana.Hakuna aliyewekewa mizengwe watu wanapinga mkataba ulio wa kinyonyaji.Waje na mkataba wenye maslai kwawote watapokelewa vizuri tuu. Alafu hata wewe Acha kueneza uwongo kuwa DP WOLD Wanafanyiwa figisu.Mpaka sasa ushawai sikia tamko lolote kutoka kwa DP WOLD? Zaidi ya selikali kutaka kulazimisha vitu ambavyo Kisheria ni unyonyaji dhidi ya WANANCHI WAKE
Kuna magati sita ya TPA yanahitaji uwekezaji pia kuna bandari nzima ya Bagamoyo inakuja mwaka huu, hivyo kama DPW mmoja anawekewa mizengwe namna hii vipi kuhusu wawekezaji wa magati namba tisa mpaka kumi na mbili wa pale bandarini. Vipi kuhusu uwekezaji mzima wa Bagamoyo utakuwa vipi?.
Siasa zetu za kambale kila mmoja majini ana ndevu zinatujaza ujinga mwingi tu bila ya kutusaidia kwa namna yoyote ile. Haya ya bandari ni maswala ya kitaalam sana lakini kwa sababu watanzania siku zote hatuheshimu utaalam kwa sababu ya elimu zetu za kuungaunga hatuwezi kuona namna tunavyopoteza muda kwenye mijadala yetu isiyo na tija.
Bandari ya Dsm imeendelea kufanya vizuri katika kuhudumia mizigo.
Huu Ni ufanisi ambao haijawahi tokea.
Wadau wa Bandari wameioongeza TPA na Serikali ya awamu ya 6 kwa Kutoa Pesa za kununulia mitambo ya upakuaji na upakuaji iliyoongeza ufanisi wa Bandari.
Duh,hawa watoto wa mimba zisizotarajiwa,ni shidaaaTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Hayo Magti umeyatoa wapi wakati waziri anasema mikataba ya utekelezaji ndio itabainisha sehemu za kuwekeza na hizo sehemu zitakuwa ni siri.Soma mkataba ndugu.Kuna magati sita ya TPA yanahitaji uwekezaji pia kuna bandari nzima ya Bagamoyo inakuja mwaka huu, hivyo kama DPW mmoja anawekewa mizengwe namna hii vipi kuhusu wawekezaji wa magati namba tisa mpaka kumi na mbili wa pale bandarini. Vipi kuhusu uwekezaji mzima wa Bagamoyo utakuwa vipi?.
Siasa zetu za kambale kila mmoja majini ana ndevu zinatujaza ujinga mwingi tu bila ya kutusaidia kwa namna yoyote ile. Haya ya bandari ni maswala ya kitaalam sana lakini kwa sababu watanzania siku zote hatuheshimu utaalam kwa sababu ya elimu zetu za kuungaunga hatuwezi kuona namna tunavyopoteza muda kwenye mijadala yetu isiyo na tija.
Hivi wewe unafikiri DPW ndiye wa kwanza kuweza tz? kwanini yeye tu apigiwe kelele? JITAMBUE AU ZINDUKA.Akili za kutanguliza mwekezaji ni mnyonyaji ni za kina Julius Nyerere, akili zilizopitwa na wakati kitambo sana.
Serikali ina mpango wa kuwa na wawekezaji watatu sio huyo DPW mmoja tu, kuna mwingine atakuja pale gati namba tisa mpaka kumi na mbili na kuna mwingine atakuja Bagamoyo.
Mnavyosema vifungu vya kinyonyaji mfanye pia kazi ya kuviweka hadharani hivyo vifungu viweze kujadiliwa, sio kuishi kuwajaza uoga wananchi wa kawaida wakati lengo haswa ni serikali kuweza kutumia fursa zilizopo za Tanzania kuhudumia nchi nane zinazotuzunguka.
Hakuna zengwe bali mkaba ni wa kipumbavu sana, unapenda kuuzwa kama mbuzi eeh! Somalia ambayo haina serikali ya uhakika lkn wamefunga mkataba na huyo DPW kwa muda wa miaka 30 na mwakani watamwaga zaidi ya dollar 266bln kuendeleza bandari ya Somalia, iweje sisi wenye Serikali kamili ishindwe kuiga kitu kama Somalia.Kuna magati sita ya TPA yanahitaji uwekezaji pia kuna bandari nzima ya Bagamoyo inakuja mwaka huu, hivyo kama DPW mmoja anawekewa mizengwe namna hii vipi kuhusu wawekezaji wa magati namba tisa mpaka kumi na mbili wa pale bandarini. Vipi kuhusu uwekezaji mzima wa Bagamoyo utakuwa vipi?.
Siasa zetu za kambale kila mmoja majini ana ndevu zinatujaza ujinga mwingi tu bila ya kutusaidia kwa namna yoyote ile. Haya ya bandari ni maswala ya kitaalam sana lakini kwa sababu watanzania siku zote hatuheshimu utaalam kwa sababu ya elimu zetu za kuungaunga hatuwezi kuona namna tunavyopoteza muda kwenye mijadala yetu isiyo na tija.
Ni kweli sio DPW pekee yake, watakuja wawekezaji wengine wawili wa bandari mwaka huu huko mbeleni. Mmoja atawekeza hapo hapo bandarini Dar na mwingine atawekeza Bagamoyo.Hivi wewe unafikiri DPW ndiye wa kwanza kuweza tz? kwanini yeye tu apigiwe kelele? JITAMBUE AU ZINDUKA.
Tanzania yetu wajinga wengi mkuu sengobad, kila mtu anajifanya mwanasheria wa mikataba ya kimataifa, nchi ya kipumbavu sana hii.Hakuna zengwe bali mkaba ni wa kipumbavu sana, unapenda kuuzwa kama mbuzi eeh! Somalia ambayo haina serikali ya uhakika lkn wamefunga mkataba na huyo DPW kwa muda wa miaka 30 na mwakani watamwaga zaidi ya dollar 266bln kuendeleza bandari ya Somalia, iweje sisi wenye Serikali kamili ishindwe kuiga kitu kama Somalia.
wala sio kumharibia ukweli ni kwamba huyu mama hafai kabisa,hajui uongozi!!Kuna watu wanahahakisha Mama anakwama Kwa namna yoyote Ile.Uwa naumia sana watu wanavyotaka kumuharibia hili haonekane hafai.
Ukiona umewajua wajinga unaoishi nao, ujue na wewe ni mjinga ila una nafuu kidogoTanzania yetu wajinga wengi mkuu sengobad, kila mtu anajifanya mwanasheria wa mikataba ya kimataifa, nchi ya kipumbavu sana hii.
Akifanya hivyo tu Mimi nitasema raisi muoga nataifa litakuwa ladini yakiristo yeye ajiamini tu mama usikubali kurudi nyuma mangapi wamepinga lakini leoniyakujivunia?Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Kama yapi waliyopinga ??!Akifanya hivyo tu Mimi nitasema raisi muoga nataifa litakuwa ladini yakiristo yeye ajiamini tu mama usikubali kurudi nyuma mangapi wamepinga lakini leoniyakujivunia?
Jo a.k.a Babu hayo ndiyo mawazo ya babu🤔😂😂😂🔥 Wewe unawaogopa Waarabu?
Kwahiyo Shabiby na Abood hupandi😀
Hongera haimfai mwenye kusifiwa kwamazuri tu Bali hata msikivu kwa jambo lolote zuri au baya.Hongera ya nini? Tulimtuma akawaite waarabu?
Na wewe changamkia fursa hiyo kwa waarabu inaonekana umedata nao balaa ikiwezekana hata mkeo wape wana hela wale!Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Waraka hujausomaAkili za kutanguliza mwekezaji ni mnyonyaji ni za kina Julius Nyerere, akili zilizopitwa na wakati kitambo sana.
Serikali ina mpango wa kuwa na wawekezaji watatu sio huyo DPW mmoja tu, kuna mwingine atakuja pale gati namba tisa mpaka kumi na mbili na kuna mwingine atakuja Bagamoyo.
Mnavyosema vifungu vya kinyonyaji mfanye pia kazi ya kuviweka hadharani hivyo vifungu viweze kujadiliwa, sio kuishi kuwajaza uoga wananchi wa kawaida wakati lengo haswa ni serikali kuweza kutumia fursa zilizopo za Tanzania kuhudumia nchi nane zinazotuzunguka.