Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Unfortunately he is not our ruler
Tanzanian Ruler is Magufuli
Watu wanafiki wanapenda kupitisha fatwa za kinafiki
Huyu ni kiongozi wa taasisi ya kiislamu inayoitwa BAKWATA
Sio mtawala wa nchi
Tafadhali ni haram kumzushia Mtume SAW uongo
 
Kuna watu wanajificha kwenye vivuli vya dini kwa maslahi yao binafsi ila ukiwaangalia matendo yao hawana hiyo "dini"

Mmoja wapo ni huyu Sheikh! Hatutakiwi kuhukumu ila kwa huyu Sheikh wa BAKWATA hakuna namna

Allah Anisamehe
 
Unastahili kuigwa na WaTz wenye uelewa . Na hasa Ile team kusifu na kuabudu
 
Wewe ushafuatilia mijadala ya humu kuhusu hao masheikh wa Bakwata kabla ya kipindi hiki cha kampeni? Kuna watu tena wapinzani kabisa ila walikuwa wakipongeza serikali kwa kuwashikilia hao masheikh wa uamsho kwa madai walikuwa wakileta machafuko huko Zanzibar halafu et kipindi hiki cha kampeni ndio wanajifanya nao kuwazungumzia masheikh kuwa hawajatendewa haki kisa Lissu anataka kura za waislamu kazungumzia suala la masheikh wa uamsho.

Waislamu wana matatizo wana matatizo lukuki ila leo mnataka tukampigie kura Lissu kisa tu masheikh wa uamsho,hivi hamuoni kweli kama mnatumika? miaka yote hawa watu mbona hawakuwa wakipiga kelele kero zetu waislamu hadi wasubiri wakati wa uchaguzi?
 
Huwa wanasema muislam ndugu yake muislam, kwa hilo tu bado alikuwa na dhamana ya kuwasemea si tu waislam bali wale ni Masheikh wenzie.
Sasa mbona Sheikh Ponda anataka waislamu tumpigie kura Lissu wakati anajua kabisa Lissu ni kafiri hivyo hatuna udugu nae?

Kwanini asituambie tumpigie Hashimu Rungwe muislamu mwenzetu?
 
Sasa mbona Sheikh Ponda anataka waislamu tumpigie kura Lissu wakati anajua kabisa Lissu ni kafiri hivyo hatuna udugu nae?

Kwanini asituambie tumpigie Hashimu Rungwe muislamu mwenzetu?
Kwa hiyo huyo mufti anapowataka mumpigie Meko huyo mna udugu naye kwa mantiki yako ya ukafiri?

Halafu soma niliyemquote wala sikuzungumzia suala la kumpigia nani kura, niliyemjibu aliuliza uhalali wa mufti kuwasemea masheikh wa uamsho wakati hawapo chini ya BAKWATA ndipo nikamjibu bado angeweza kuwasemea kama waislam/masheikh wenzie.
 
Hawezi kutetea wachochezi wanataka kutuletea fujo za Somalia huku

Usihukumu Mkuu usije uka hukumiwa na wewe ,bila ya kujali umetenda Kosa au haukulitenda.Nenda taratibu na chunga sana Ndimi yako.
 
Huyu si muft wetu huyu ni muft wa BAKWATA tu wewe endelea na ibada zako wanafiki wasikuyumbishe
Kura za waislamu wa haki kwa lissu
Wanafiki kwa katili
Mm mapema tu kwa Lissu mm mpk Leo hii kiongozi wa wa dini ninaemuanini ni Ponda tu tokea zamani hawa wengine yaan wakisema jambo lolote sipotezi muda wangu kuwasikiliza wauni tu
 
Mufti ana familia yake, ana maisha yake. Ulitegemea aongee nini mbele ya mimbari ya dikteta?
 
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.[/QUOTE]Bado watu japo wanajiita wasomi ipo sehemu ina shida barabara nzuri, Maji, Huduma za Afya Bora, Umeme, Maji, Elimu bora hivi vitu vipo kisheria na ni haki ya mwananchi haitakiwi kuombwa sijui shida ni elimu ya uraia au tumelogwa!?
 
Mufti ubwabwa tu masheikh wa kiislamu walioko gereza kwa mujibu wa Lissu ni karibu 200 na zaidi kwanini yeye yupo kimya? kama anashindwa kumkabili rais kwanini asijiuzulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…