Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Acha ujinga,maombi yanajibiwa na MunguHivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga,maombi yanajibiwa na MunguHivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Walikua wapi kuomba kipindi cha mwezi wa8 leo tarehe za vuli zimefika ndio wanajifanya kuomba dua ya mvua..waende jangwani saudia waombe mvua kama wana Mungu kweli.Ingekuwa dua inafanya kazi hivyo, mbona uarabuni kusingekuwa na jangwa
Tumechoka na vimbwanga saizi tunataka wakiomba hiyo dua watutajie na tarehe na mwezi kabisa ambao Mungu wao kawaahidi mvua ataishusha ili ikitokea haijanyesha tujue ni uwongo
Hizi habari za kusema tunafanya dua mvua inyeshe na unaelewa kabisa kua tuko ukingoni mwa kiangazi tumekikaribia kifuku na ni wazi kabisa kua kifuku ni season ya mvua, kutuambia mvua imenyesha kwasababu ya dua yako huko ni kututapeli kizungu
Albadiri,Hivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Yaani kuna binadamu, uwezo wao kufikiria ndipo ulipoishia... yaani wanafikiri kila kitakachotokea siku za mbeleni kuna uwezekano wa kubadilishwa kwa maombi... Ndio maana kuna mtaalam mmoja aliwahi kusema, kama kutakuwa kuna jiwe kubwa linakuja kuangukia kwenye uso wa dunia basi hawa wenzetu watakachofikiria ni kuomba usiku na mchana ili libadilishwe uelekeo... lakini those who think otherwise watakuwa wanatafakari watume chombo kikabadili uelekeo wa jiwe hilo kitu.Hivi mvua kunyesha ni muujiza, hao wenye muujiza ili tuone muujiza waiombe nchi, barabara zote ambazo hazina lami tumka tukute zina lami bila ushiriki wa mtu kujenga.
Ila kuomba kitu ambacho kinatokea kikitokea ni kawaida tu.
Kama mvua ingekuwa inanyesha kwa kufuata hii filosofi basi tusingekuwa na majangwa... kwamba Congo kuwa nq mvua nyingi ni kwasababu wanaomba sana dua.... nonsenseHivi mvua kunyesha ni muujiza, hao wenye muujiza ili tuone muujiza waiombe nchi, barabara zote ambazo hazina lami tumka tukute zina lami bila ushiriki wa mtu kujenga.
Ila kuomba kitu ambacho kinatokea kikitokea ni kawaida tu.
Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Kama kulikuwa na mbegu za kiume milioni 150 alafu moja tu ndio ikatunga mimba hauoni kama hiyo ilikuwa ni kamari?... that is probability, kuna mbegu kibao potential zilichelewa... haina tofauti na bahati nasibu.Unadhani baba yako na mama yako na walipofanya mapenzi ndo wewe ukatoka kimiujiza?
Sayansi peke yake?
Duh na hapo ndio alipokuwa anafeli... sitegemei kabisa kwa uwezo mkubwa anaotukuzwa nao alafu aka-behave kitoto hivi...Mungu huangalia kiongozi kwanza, ndio maana ktk biblical kiongozi alipokuwa akikosea Taifa zima linaadhibiwa
Kwa hyo mbegu za mwanaume na yai la mwanamke vikikutana Basi mtoto anatokea tu?.Kama kulikuwa na mbegu za kiume milioni 150 alafu moja tu ndio ikatunga mimba hauoni kama hiyo ilikuwa ni kamari?... that is probability, kuna mbegu kibao potential zilichelewa... haina tofauti na bahati nasibu.
Majini million 1 yakitumwa kuleta Mvua ujue ni mafuriko.... So Majini 1,000 yanatosha kuleta Mvua ya kupunguza joto mjini.Hivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Hapana, bali huwa tunaomba dua alafu ndio inatokea, bila dua haiwezekani.Kwa hyo mbegu za mwanaume na yai la mwanamke vikikutana Basi mtoto anatokea tu?.
ingekuwa rahisi hivyo hata mawe na miti vingepata mimba vikimwagiwa mbegu
Umejuaje kama hayupo ?Maombi kwa Mungu hayasaidii chochote!
kumuomba Mungu ni kujilisha upepo.
unaomba asiyekuwepo?
Huyo mwenye makasiriko na wanaompinga... hawezi kuwepo, huyo aliyepewa attributes za kibinadamu hawezi kuwepo..Umejuaje kama hayupo ?