Mimi nimeongea kwa maana njema kabisa. Ya kwamba lengo la huo upasuaji lilikuwa ni kuwaepusha na kifo ambacho kingeweza kuwatokea hapo baadaye kutokana na huo muunganiko wao. Na nikatoa na huo mfano.Kwa hiyo mkuu ni heri kuwa wamefariki wakiwa wadogo kuliko kama wangalikuja kuwa wakubwa? Kwani wewe unadhani ilikuwa heri ufe lini mkuu?
Haki ipi tunastahili sisi kuihoji kwa mitazamo kama hii?
Watakuwa kama Lainz angels of deathUkiumwa ukalazwa Mloganzila,
Ukipona mshkuru sana mungu [emoji22]
Itapendeza ukijifunza kuandika kwanza, unaweka kiulizo sehemu isiyotakiwaKwamba pacha wa pili naye hatunaye? Inasikitisha. Kwani kulikuwa na haja gani ya operation hii? Kama uwezo wetu ungali hautoshi, kwa nini kujimwambafy bure juu ya maisha ya wengine? Kwanini tusingeomba usaidizi wa beberu kwenye masuala nyeti kama haya ya maisha ya watu? Kwa hakika Muhimbili tunastahili maelezo ya kina kutoka kwenu.
ahsante sana angalau angelaumu mtu mwenye taaluma na uelewa tatizo mtu anaingiza mambo ya siasa kwenye taaluma za watu.Sioni makosa ya ma daktari hata chembewacha kuwatusi madaktari wetu.
operation kwa twins walio ungana ni ngumu na hazina ufundi wala ubingwa ni kubahatisha tu, records nyingi zinaonyesha surgery iliyo fanywa kwa twins walio ungana wengi wao wamekufa.
mifano ipo mingi sana wala hawa wa hapa tz sio wa kwanza, kuna sugery ilifanywa kwa twins wa Irani walikuwa na umri wa miaka 29 ilifanyika mwaka 2003 baada tu ya surgery walikufa chini ya madaktari bingwa wa nchi zilizo endelea.
hivyo madaktari wetu wamejitahidi sana kadiri ya ujuzi wao wote, lkn jitihada haishindi kudura za mungu.
Mkuu hata haya yanatokea kwingine.
Umesahau yule aliyewekewa moyo wa nfguruwe marekani na wakasema operation imefanikiwa halafu baada ya majuma.kadhaa akafa.
Unless vifo viwe vimetokana na uzembe ambao tunausikia mara kwa mara na kubahatisha
Siyo kuwa ungeanza kujifunza wewe? Umemaliza sentensi bila nukta na bado unamhimiza nani kutumia alama za uandishi?Itapendeza ukijifunza kuandika kwanza, unaweka kiulizo sehemu isiyotakiwa
Kuto kuweka nukta kunamchanganya vipi msomaji? Yeye kaweka kiulizo sasa sielewi mtoto kafariki au?Siyo kuwa ungeanza kujifunza wewe? Umemaliza sentensi bila nukta na bado unamhimiza nani kutumia alama za uandishi?
"Hii ndiyo ile mitanzania sasa kwenye ule ubora wake. Tofauti na ming'ombe zero."
Bure kabisa!
Siasa? Siyo anayeingiza siasa ni wewe? Walikuwa wameungana wakiwa hai. Sasa wametenganishwa na wakiwa wamekufa. Hudhani kuwa kupata usaidizi kutoka kwa awaye yote kuokoa maisha ya watoto hawa ilikuwa ni busara? Au ni ubinafsi wetu ule ule uliozoeleka wenye kupitiliza?ahsante sana angalau angelaumu mtu mwenye taaluma na uelewa tatizo mtu anaingiza mambo ya siasa kwenye taaluma za watu.Sioni makosa ya ma daktari hata chembe
Sahihi ila hakuna majaribio kwa walio hai.... Unaleta practical kwa roho ya mtuHiki ulichokiandika hakina uhalisia hata kidogo. Hao mabeberu unao waamini, kabla ya kufikia hapo walipo na wenyewe walipitia hii hatua ya kuwaamini wataalam wao!
Haikutokea tu from nowhere, wakawa ni mabingwa wa kila kitu. Hivyo wakati fulani, tukubali tu maumivu ili na sisi tufike nchi ya ahadi
Intern hao.... Kwao hakuna nafasi wamekuja huku kwa majaribio.Hivi nikikwambia kwamba among the doktaz waliohusika kukatisha kikatili maisha ya hawa, wamo hao mabeberu (tena frontline), utaamini?
Mbona wale mapacha wa Mbeya walipona acheni kuingiza Siasa kwenye taaluma za watu.Naomba uelewe kuna chama cha ma daktari bingwa duniani hasa wa upasuaji.Pasuaji kama hizi zikitaka kufanyika wanapeana taarifa kuhusu uwezo na taaluma wanaofanya hivyo na WHO lazima wajue hilo ndio go ahead inatolewaHatukutakiwa kufanya majaribio kwenye uhai wa watu Kwa kifupi walikuwa wanatafuta publicity
Sio kwenye afya ya binadamu aiseeeKwani huko majuu, wakitenganishwa hawafi!?
Mbuyu ulianza kama mchicha, na jogoo alikuwa yai.
Je, walivyofanyiwa Op walikufa hapo hapo??Kwamba pacha wa pili naye hatunaye? Inasikitisha. Kwani kulikuwa na haja gani ya operation hii? Kama uwezo wetu ungali hautoshi, kwa nini kujimwambafy bure juu ya maisha ya wengine? Kwanini tusingeomba usaidizi wa beberu kwenye masuala nyeti kama haya ya maisha ya watu? Kwa hakika Muhimbili tunastahili maelezo ya kina kutoka kwenu.
Seriously? Kumbe hua wanafanya betting kwenye maisha ya watu? Yaan unamaanisha madaktari hua wanachezesha bahati nasibu kwenye maisha ya watu, hawana uhakika na wanachokifanya si ndio?wacha kuwatusi madaktari wetu.
operation kwa twins walio ungana ni ngumu na hazina ufundi wala ubingwa ni kubahatisha tu, records nyingi zinaonyesha surgery iliyo fanywa kwa twins walio ungana wengi wao wamekufa.
mifano ipo mingi sana wala hawa wa hapa tz sio wa kwanza, kuna sugery ilifanywa kwa twins wa Irani walikuwa na umri wa miaka 29 ilifanyika mwaka 2003 baada tu ya surgery walikufa chini ya madaktari bingwa wa nchi zilizo endelea.
hivyo madaktari wetu wamejitahidi sana kadiri ya ujuzi wao wote, lkn jitihada haishindi kudura za mungu.
Mimi nimeongea kwa maana njema kabisa. Ya kwamba lengo la huo upasuaji lilikuwa ni kuwaepusha na kifo ambacho kingeweza kuwatokea hapo baadaye kutokana na huo muunganiko wao. Na nikatoa na huo mfano.
Kwa bahati mbaya mambo yameenda tofauti kwa hao watoto wawili. Na ifahamike dhamira ya madaktari ilikuwa ni kuokoa maisha ya hao watoto. Hivyo usinielewe tofauti. Hata mimi pia ni mzazi! Kwa hiyo nimeguswa pia.