Muimbaji wa injili Goodluck achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji

Anngeenda kuligawa hata kwenye taasisi za kusaidia jamii lingetumika katika harakati hizo angekuwa amefanya jambo la maana
Yeye kafuata masharti ya mganga wake ndio maana kalichoma moto...

Kuna milioni 2 alipewa na nabii mkuu siku alilopewa hilo gari...

Sijaona kwenye video kama na hizo hela kazichoma moto 😂😂😂
 
INGIKUA BUSARA SANA KUNIPA ILO GARI NIKAFIE NALO MBELE HUKO SIJAPENDA KUJIKUTA VAN DISEL
 
Huyu nabii ana kashfa za uchawi na kafara
Yule mwanae Nisher inasemekana kuna mkono wake kwenye kile kifo
Huyo nabii anakashifa nyingi sana na zote anazijua na ameshazizoea,kuna la kula mke wa mtu,kuna la kuwa yeye sio mtanzania ni mkongo kuna la kuwa mazabau yake ina mauza uza
 
Huyo nabii anakashifa nyingi sana na zote anazijua na ameshazizoea,kuna la kula mke wa mtu,kuna la kuwa yeye sio mtanzania ni mkongo kuna la kuwa mazabau yake ina mauza uza

Na bado ana wafuasi wengi tu huko kanisani
 
Amechoma mali yake! Sijui kama Wataalam wa mazingira wana la kusema hapa!
 
Kaichomea wapi watu tukachukue screpa.
 
Angalia vizuri kuna hatua wameivuka...hatuoni walivyowasha moto hadi kuungua...kwanini wameikata video
Naona ni wewe tu peke yako uliyegundua kwamba ni feki.
 
Kama alikua haitaki tena nini asingeifanya hiyo gari kuwa ambulance ya kubebea wagonjwa. Kuichoma ilikuwa ndo suluhisho?
 
Mambo ya content creation , naona anawaiga Jay z na Kanye west walivyolibonda bonda lile gari ili walitumie ku shoot video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…