Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....


Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...


Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????

Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......


Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......

Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
Ila tambua mwanamke ukisha olewa hauna maamuzi ya mwisho na uhuru unapotea. Sasa kama umeolewa huna mipaka unataka ujiamulie kila kitu. Umeoa au umeolewa. ? Mwanamke kama hamsikilizi mumewe hafai. Una point nzuri ila ijenge kwa pande zote lengo kujenga
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?

Lakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?

Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
 
Kuwekewa vikwazo lazima. Yaani nioe mke afu eti nisimuwekeee vikwazi. Unaongea ujinga gani. Wewe ipo siku utakatwa masikio. Hivyo wewe ukiamua tu unaamka unaenda lala kwa dadako hata siku 3 humwambii mumeo. Mara unaenda kwenye viwanja humwambii mumeo aiseee kazi ipo
Kama umemuoa TEGEMEZI basi jua ni sehemu ya MKATABA WA NDOA KUMUHUDUMIA....

usitake kumwekea vikwazo baada ya kumwoa!!!!!

Umemchoka ni bora mkaachana...
 
Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....


Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...


Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????

Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......


Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......

Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...

Itabaki kuwa fumbo! Unakosa chakusema, walau tungekuwa na chanzo cha uhakika. Hasira si kitu kizuri, kama kuna kitu cha kulinda ni moyo.
 
Kiukweli ndoa isiwe utumwa si angeendae nae tu kwa shoo ,ukimuoa mtu hujanunua uhuru wake au vitu anavyopenda,badilikeni
Hujui ulisemalo.
Unapokuwa na mwenza na mko ndani lazima muwe na maamuzi ya pamoja.
Kwenye masuala kama haya ya starehe mume akikuzuia tulia. Na mke akikukatalia usitumie ubabe msikilize au mshawishi kwa upendo akubali.
Vinginevyo baki na familia.

Mume wako ni mlinzi wako, akihisi hatari yoyote na akakuzuia msikilize.

Kulazimisha kwenda kujirusha sio uungwana..
Hii haijakaa sawa
 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Midomo michafu ya wanawake ndio inawafanya waume wanawakimbia then wanaenda msumbua Mwamposa awarejeshe
 
Kama muhusika amefariki,na mwingine hajulikani nyie mmejuaje kuwa alimkataza??
labda waliwapigia simu family friends kwenye mabishano. labda kabla ya kujiua alituma ujumbe. hatujaambiwa kama walikuwa na familia na ilisikia mgogoro.
 
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siku nyingine usichelewe tena kurudi.
 
Screenshot_20220528-213246.png
 
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.

Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.

Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana. Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.

Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.

Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?

By the way anything else Happen for a reason.

RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rip Marehemu sasa unaua na wewe vyote unakosa unaishia gerezan ama kujiua hapo hakuna faida.
Hawa masista du kuwaoa ni kujitaftia kufa mapema kwa stress na ugonjwa wa moyo au kuishi umenuna.
Mke asipokutii achana naye tu...
 
Back
Top Bottom