The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Moja ya kauli ambayo huwa kwangu haitekelezekiWanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya kauli ambayo huwa kwangu haitekelezekiWanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Umeandika nini? Soma tena.Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama. Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia.
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa.
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo. Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea.
Majukumu ya mke kwenye ndoa nini?Kuoana ni hiari majukumu hayawezi kuwa ya kulazimishana
Ni kawaida kusikia wanawake wanalia matunzo ya watoto kutoka kwa wanaume
Ila hii kesi ya ajabu mwanaume mzima tena Askari analilia matunzo ya watoto kutoka kwa mwanamke!!
Huyo kweli ni mwanaume rijali? Anajua maana ya kuwa mwanaume?
Ndugu zake wamkalishe chini wamtandike na viboko anaaibisha ukoo
Mwanamke ukiolewa unakuwa chini ya mwanaume.. wewe na kila kitu ni chini yake.Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
We bwege kweli kwani watoto si wa kwetu wote,au unajitoa ufahamu,ndio maana mmekua masingle moms wengi mtaani kids ubinafsi.
Senge hiloUpumbavu wa Kitchen Party.
Unataka hakimu atoe hukumu kwa mihemko badala ya sheria na busara?Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama. Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia.
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa.
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo. Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea.
Kama kipato chake hakionekani kinapoenda ni bora akae nyumbani ahudumie watoto naye hataulizwa kwa lolote.
Unachokitete ni ima hauko kwenye ndoa au unafanya furahisha genge . mkeo kama anafanya kazi lazima in put ionekane. kama haionekani aache kazi afanye majukumu yake asilia.
HAIWEZEKANI/ NakaziaWatoto wetu sote, kazi tufanye sote, pesa umpelekee baba mchungaji, siku ya kuachana mali zangu tugawane..
Haiwezekani.
Ugandan Vice-President Specioza Kazibwe's recent public admission that she left her marriage as a result of beatings she received from her estranged husband has sparked fresh debate on the subject of domestic violence, a serious human rights concern in the country but which many women suffer in silence.Unataka hakimu atoe hukumu kwa mihemko badala ya sheria na busara?
Kwanza ni kujidhalilisha kwendà mahakamani kisa umenyimwa K unachotakiwa kufanya ukinyimwa tafuta sababu kwanini unyimwe na wakati kuna kipindi alikuwa anaichukua mwenyewe na kuielekeza kunako tena kwa mashamsham?Akikunyima chini ya kitovu ukienda mahakamani ndio utapewa?
Kilaza huyo, nina mashaka hata na taaluma yake.We naye mpumbavu tu.Hela ni za wote maana ndo familia moja.Ule za kwangu za kwako umpelekee mtume huku masuala ya maisha ni ya wote.Sijui mnachangia huku mmeshika K Vank hata sijui.
😀nakubaliana na wewe... wanaleta usawa wa kijinsia.. tafsiri yao ni kuwa Kumbeba mwanamke na kumshusha mwanaumeNimejifunza kuwa mwanaume ukilileta jambo lako linalohusiana na mwanamke kwenye hadhara ni rahisi mwanaume kugeuziwa kibao kwa kuwa wanawake Wana uwezo mkubwa sana wa kuplay victims na jamii ikakubali haraka madai yao.........
Hizi ni nyakati ngumu kuwa mwanaume hasa kama umebahatika kuoa......ndio maana wanaume tunakufa vifo vya ghafla......
Mada zozote zinazohusu Wana ndoa....zinahitaji umakini kuchangia na sio kufuata mihemko...
Mbona kama wewe ndio hopeless?!Mwanaume ndio anatakiwa abebe mizigo yote hata Biblia inasema mwanamke ni.msaidizi tu sio major player
Huyo mwanaume Hopeless
Waige kwa wenzetu Wazungu!Sure ,umenena ukweli,tuna jamii yakipumbavu sana.Mzigo wote wa familia anakutwisha mwanaume wakati na yeye anakazi na mshahara .Hata wanamsapoti huyo mama wajinga tu hawajitambui kabisa.
Itakuwa kuna nguvu ya ziada inatumika. Halafu inakuwaje mwanamke anakwenda kanisa lingine tifaut na walilofungia ndoa tena bila ridhaa ya mumewe? Ni usalitiKabla kujadili uhalali wa mwanaume kumiliki kadi ya mwanamke kupeleka pesa manisani kwa wachungaji wa kisasa hawa. Binafsi naona wengi wanaonadili eidha hawana ndoa na hawajui makanisa yakilokole yanavyochuma pesa kwa nguvu kwa waumini wao kiasi cha kuwaacha masikini. Makanisa haya ya kiroho mengi yamevu ja ndoa za watu.
Hapo kuna kitu mwanaume hajaelezea lakini mwanamke hayupo sawa kichwani kwasababu bora mwanamke asikupe kadi sawa lakini ukiwa unayaona matumizi yake inatosha kuliko ukashindwe wewe kumiliki kipato chake alafu amiliki baba mchungaji
Kuna mama mmoja mstaafu aliwahi kumkabizi kadi ya benki mchungaji . Hawa wachungaji sio wakuwachukulia kiwepesi sana
Wewe sio smart, nasema tena, nina mashaka na hata taaluma yako. Umejipambanua ni mpumbavu kwa ku attack career ya mtu badala ya hoja yake. Nasema tena, kama wewe ni lekcha nawahurumia mno hao wanafunzi na hako kachuo unakofundisha.Hayamhusu huyo kidume kiofisa koko cha magereza kilinda wafungwa wakinya wasije kutoroka
Mwanamke akipata pesa yake kwa nini utake kudhibiti pesa yake matumizi? Mkataba wa ndoa unatamka kuwa ukioa utadhibiti matumizi ya pesa za mkeo? Mbona wewe hakuombi ATM yako?
Hii kesi tamu hukumu yake itakuwa landmark kuonyesha kama mke ana haki ya chake akipatacho kwa jasho lake kuwa lazima kidhibitiwe na mwanaume aliyemuoa kuwa mwanamke hana uhuru wa kutumia pesa yake hata kununua pedi bila ruksa ya mume aliyeshikilia ATM kisa alilipa mahari.Kuwa hata akitaka pedi ambembeleze mwanaume kuwa naomba ike ATM niliyokupa Katoe pesa nikanunue pedi navuja siku zangu mume wangu niko chini ya miguu yako katoe
Nani kasema pesa ya mwanamke huwa haiguswi?Huenda sio mchepuko lkn pesa ya mwanamke huwa haiguswi mkuu.
Labda uwe na mke anayejitambua sana mara moja moja akupige tafu endapo umeyumba.
Vinginevyo siku zote wanaume ndio mtaji wa familia na jamii.
Kuna dada wa kazi.Kupika, kufua, kufagia n.k huwa anamsaidia mke? Kama hasaidii naye apambane na majukumu