makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Huyu mwanaume ni wakuondolewa mapumbu bila ganzi, wamuhasi tu kavu kavu.[emoji35][emoji35]Ni mume wa Osinachi-muimbaji wa injili wa naijeria, she died few weeks ago due to demestic violence, nimeangalia familia yake wanavyosimulia ukatili aliokua anatendewa na mume wake and still she never wanted to quit that marriage mpaka akafia humo
Hata mimi nimeshangaa, ukifuatilia hiki kisa youtube unaweza kulia, mapaka sasa najiuliza kwa nini mke hakuondoka, hivo ana kipaji angeweza kuanza upya na kutengeneza pesa ambayo ingemsaidia kuishi na watoto wakeHuyu mwanaume ni wakuondolewa mapumbu bila ganzi, wamuhasi tu kavu kavu.
Mie kila siku nasema, awe mume/mke kama si salama kwa afya yako achana nae, ulizaliwa pekee yako, hujaja na mtoto wa mtu duniani.
Jitu lisumbue akili yako, likupige bado upo tu, kwani yeye ndio anamiliki funguo ya kuingilia pepo au.
Mmeanza wananzengo.Hata mi nimesiliza hiyo interview sikuelewa.Banana anasema marehemu kapata ajali 10 minutes drive from her home.Meaning ni jirani kiasi.Then mume anasema alipigiwa simu then naye akampigia RTO.Mara akaambiwa tulia usitoke.Na yeye akapumzika mpaka sa 12 asbh Banana alivyokuja.Najiuliza,unawezaje kuwa na ujasiri wa kupumzika wakati hujui hatma ya mkeo huko alipo na umeshaambiwa kapata ajali mbaya?Simjudge ila nahisi something is not right
Sasa wewe inahisi Nani ana uchungu wa kweli Kati ya banana na mume?Banana hatapata Tena dada lakini mume atapata mke.Na pia Banana katoka Malamba mawili kwenda eneo la tukio usiku baada ya kupewa taarifa wakati mwenye mke wake yupo hapo kigamboni jirani
Halafu nimesikia jamaa akisema Hellen alikuwa Anglican,huyo maunda ndio Hellen?Maunda na banana ni ndugu wa damu sio? So maunda ni mkristo na banana ni muislamu kamanda? Ama sio!
Kuna ujinga wa kusema bado nampenda huu utawatafuna saana watu, unakuwa na mtu kwa kuwa anakupa sababu ya kuwa nae.Hata mimi nimeshangaa, ukifuatilia hiki kisa youtube unaweza kulia, mapaka sasa najiuliza kwa nini mke hakuondoka, hivo ana kipaji angeweza kuanza upya na kutengeneza pesa ambayo ingemsaidia kuishi na watoto wake
Msijitie ujuaji wa kijinga humu Jf, mumewe hakuwa karibu na tukio la ajali.In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Maunda alibadilisha dini, alitoka kwenye uislam akawa mkristo, Sina hakika kwenye Hilo jina la Hellen Ila nadhani Ni jina lake la kikristo analotumia baada ya kubadilisha diniHalafu nimesikia jamaa akisema Hellen alikuwa Anglican,huyo maunda ndio Hellen?
Baadhi ya watu humu ni wajinga sana, sasa kama mume wa marehemu hakuwa karibu na eneo la tukio angewezaje kuwa wa kwanza kufika kwenye tukio??Nimetazama hiyo video kwa maoni yangu naona mnamuhukumu bure mume wa marehemu.
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Ooh kumbe!Basi atakuwa ndio yeyeMaunda alibadilisha dini, alitoka kwenye uislam akawa mkristo, Sina hakika kwenye Hilo jina la Hellen Ila nadhani Ni jina lake la kikristo analotumia baada ya kubadilisha dini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanaume wa Dar!
Nami nimejifunza kitu hapa.Tukio hili limenifunza ndugu wa damu ana uchungu kuliko ndugu wa shuka.mkifunua shuka tu undugu kwishney
Tupende wa kwetu.Nami nimejifunza kitu hapa.
Ooh the naked truth!!!!!!In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Sisi wenye akili timamu tunahitaji utupe audio clip ndio tupate ukweli kwa hiki ulichoandika.Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.
Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.
Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."
Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
Halafu nimesikia jamaa akisema Hellen alikuwa Anglican,huyo maunda ndio Hellen?