American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Nimetetea hoja yangu kwa kutumia vifungu vya Biblia japo sijaviqoute Moja kwa Moja, kuhusu swali la upatano wa lucifer na Mungu jibu lipo hivi," kamwe Giza halifungamani na Nuru"Vipi kama Sasa shetani amepata msamaha Kwa Mungu, najua tunafundishwa ameshahukumiwa. Swali ni tuwe na imani Gani kama Mungu na shetani wamepatana?
Kwamaana hiyo Mungu aliumba kiumbe ambacho wanashindana nguvuNimetetea hoja yangu kwa kutumia vifungu vya Biblia japo sijaviqoute Moja kwa Moja, kuhusu swali la upatano wa lucifer na Mungu jibu lipo hivi," kamwe Giza halifungamani na Nuru"
Biblia ni mdomo wa Mungu majibu yote yapo mule
Nipe mstari wa Biblia unaothibitisha uwepo wa swali lako, kama ni halisi au ka kufikirikaKwamaana hiyo Mungu aliumba kiumbe ambacho wanashindana nguvu
Shetani akiuliwa wachungaji watakula wapi lazima awepo ili movie iendeleeKuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu.
Ukiangalia movement ambazo Mungu ameanzisha ili aweze kujitangaza na kumpiga vita Ibilisi ni nyingi sana ukilinganisha na zile ambazo Ibilisi anazitumia kujitangaza na kumpiga vita Mungu.
Mungu alishafanya kafara nyingi sana ili aweze kupambana na Ibilisi lakini wapi Ibilisi bado anadunda tu. Mfano ilifikia hatua Mungu aliteketeza watu wa Nuhu na aliteketeza watu wa Sodoma na Gomora ili liwe fundisho kwa watu wengine ili waachane na Ibilisi ila mission ilifeli vibaya sana ndio kwanza Ibilisi anazidi kupeta tu.
Mitume kibao wameletwa ili wapambane na Ibilisi ila hakuna hata mmoja aliyefanikiwa wote walifeli vibaya sana na Ibilisi bado anadunda vizuri tu.
Mungu alishatuma vitabu kibao vije duniani kupambana na Ibilisi. Mfano wa vitabu nivyo ni:-
i/The Bible kwa wakristo
ii/The Vedas,The Upanishads, The Mahabharata na The Ramayana kwa Hinduism.
iii/ The Qur'an kwa waislam.
iv/ The Jaina Sutras kwa Jainism
v/ The Law and The Prophets, The Psalms na The Talmud kwa Judaism.
vi/The Katab-l-Aqdas, na The Katab-l-Iqan kwa Baha'i Faith.
vii/The Kojiki na The Nihongi kwa washinto.
viii/The Shri Guru Granth Sahib kwa Sikhism.
ix/ The Toa-te-Ching kwa Taoism.
x The Zend Avesta na Pahlavi Text kwa Zoroastrianism.
Pamoja na vitabu vyote hivi vinavyompinga Ibilisi (evils) katika kila jamii lakini bado Ibilisi yupo na anadunda tu.
Mpaka mwisho wa siku Mungu akaamua kuja yeye mwenyewe dunia kwa umbo la binadami kuja kupambana na Ibilisi kilichompata nadhani tunakijua. Aliishia kutundikwa msarabani na kufa palepale. Na ikabidi waibuke watetezi na kusema yule hakuwa yeye bali ni mwanae na watetezi wengine wakasema alifufuka siku ya tatu na akapaa ipo siku atarudi.
Mission zote na harakati zote zilizoletwa na Mungu kwa lengo la kupambana na Ibilisi zilifeli totally. Hakuna hata moja iliyofanikiwa ndio maana mpaka leo Ibilisi yupo na anadunda vizuri tu.
Sasa sijui hali ingekuwaje kwa Mungu kama na Ibilisi nayeye angeamua kuwekeza kwa namna hii ili apambane na Mungu?
Ibilisi anapata wapi nguvu hizo za kupambana na na Mungu kwa kiasi hicho?
Daaah kuna Mungu na Ibilisi kweli?
Au ndiyo tuamini kwamba washauri wa Mungu (Malaika) hawamshauri vizuri namna gani ya kupambana na Ibilisi?
Inajuaje haya yote mkuuMungu amemuacha dhaifu(Shetani) atambe. Wamegawana vipindi. Shetani anashinda Ulimwenguni, anakura hasara Mbinguni(Ulimwengu ujao). Mungu anatoa Sare Ulimwenguni, anakabidhi ushindi Mbinguni. Mungu ndiye anaeruhusu huo ushindi unaouona kwa shetani hapa duniani.
Kwani ukisema Nuru na mwanga havichangamani maana yake Nini?Nipe mstari wa Biblia unaothibitisha uwepo wa swali lako, kama ni halisi au ka kufikirika
If you don't know that basi HUTAKIWI KUFUNGUA UZI KAMA HUU untupotezea muda na scenario zako za imaginary world.Kwani ukisema Nuru na mwanga havichangamani maana yake Nini?
Acha tuπππ.The most stupid thread since the launch of JF
Chief kazingua parefuAcha tuπππ.
Ni rahisi kusema hivyo lkn ndugu yako mliyezaliwa baba na mama mmoja, mmeishi na kulelewa pamoja kwa upendo mpaka mmekua wakubwa. Leo unaambiwa huyo kaka/dada ako alizaliwa nje ya ndoa hivyo hatakiwi kurithi, utajisikiaje urithi wote uchukue wewe peke yako yeye umtenge? Au yeye atajisikiaje akiambiwa hana chake kwa sababu sio mtoto halali?Ili ustahili urithi inatakiwa mzazi afariki,
Sasa kama mtoto atatangulia kufariki basi,
Urithi utakwenda kwa nani?
Mjukuu hana haki ya Urithi labda watoto wote wafe, si ndio maana ya next kin.
Mtoto wa nje pia hana haki ya Urithi kidini, kwa sababu ni mali ya huyo mwanamke,
Hata binti akiposwa ataozeshwa na wajomba zake huko.
kifupi huyo ni mtoto haramu,
unamchanganyaje na watoto halal ndani ya ndoa?
Hapo Dini ilipuyanga sanaKuna siku nilikua nipo kwenye kikao cha mirathi (wote waislamu) sasa kuna vipengele vikaleta ugumu kidogo
1. Mtoto wa kiume kupata zaidi ya mtoto wa kike
2. Mtoto wa nje ya ndoa kutopewa urithi
3. Mjukuu asipate urithi kwa sababu mzazi wake alikimbia mirathi ( mzazi wa mjukuu alikufa kabla ya babu)
Sasa kwa sababu kwenye familia kulikua na watoto ambao baadhi yao hivyo vipengele hapo juu vinawabana na vikifuatwa baadhi hawatopata kabisa mirathi,mgogoro ukaanza.
Njia pekee ya kuleta amani ilikua ni kuachana na sheria za dini.
Hivyo dini ikawekwa pembeni watu wakagawana sawa kwa sawa na amani ikawepo .
Hapo ndipo nilipogundua hizi dini tunalazimishwa tu lkn wakati mwingine hatuzihitaji.
Je hapo napo shetani alishinda?[emoji2297]