Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Vipi kama Sasa shetani amepata msamaha Kwa Mungu, najua tunafundishwa ameshahukumiwa. Swali ni tuwe na imani Gani kama Mungu na shetani wamepatana?
Nimetetea hoja yangu kwa kutumia vifungu vya Biblia japo sijaviqoute Moja kwa Moja, kuhusu swali la upatano wa lucifer na Mungu jibu lipo hivi," kamwe Giza halifungamani na Nuru"
Biblia ni mdomo wa Mungu majibu yote yapo mule
 
Basi uzi kama huu wa kumkashifu Mungu ndy utadumu sana humu.

Hivi Mungu ana washauri kweli?


Jf where are the moderators
 
Nimetetea hoja yangu kwa kutumia vifungu vya Biblia japo sijaviqoute Moja kwa Moja, kuhusu swali la upatano wa lucifer na Mungu jibu lipo hivi," kamwe Giza halifungamani na Nuru"
Biblia ni mdomo wa Mungu majibu yote yapo mule
Kwamaana hiyo Mungu aliumba kiumbe ambacho wanashindana nguvu
 
Ili ustahili urithi inatakiwa mzazi afariki,
Sasa kama mtoto atatangulia kufariki basi,
Urithi utakwenda kwa nani?
Mjukuu hana haki ya Urithi labda watoto wote wafe, si ndio maana ya next kin.

Mtoto wa nje pia hana haki ya Urithi kidini, kwa sababu ni mali ya huyo mwanamke,
Hata binti akiposwa ataozeshwa na wajomba zake huko.
kifupi huyo ni mtoto haramu,
unamchanganyaje na watoto halal ndani ya ndoa?
 
Kuna mambo mengine yanafikilisha sana, kuna movement kibao zimeanzishwa ili kumpiga vita Ibilisi ila cha kushangaza Ibilisi huyo bado yupo na anadunda vizuri tu.

Ukiangalia movement ambazo Mungu ameanzisha ili aweze kujitangaza na kumpiga vita Ibilisi ni nyingi sana ukilinganisha na zile ambazo Ibilisi anazitumia kujitangaza na kumpiga vita Mungu.

Mungu alishafanya kafara nyingi sana ili aweze kupambana na Ibilisi lakini wapi Ibilisi bado anadunda tu. Mfano ilifikia hatua Mungu aliteketeza watu wa Nuhu na aliteketeza watu wa Sodoma na Gomora ili liwe fundisho kwa watu wengine ili waachane na Ibilisi ila mission ilifeli vibaya sana ndio kwanza Ibilisi anazidi kupeta tu.

Mitume kibao wameletwa ili wapambane na Ibilisi ila hakuna hata mmoja aliyefanikiwa wote walifeli vibaya sana na Ibilisi bado anadunda vizuri tu.

Mungu alishatuma vitabu kibao vije duniani kupambana na Ibilisi. Mfano wa vitabu nivyo ni:-
i/The Bible kwa wakristo
ii/The Vedas,The Upanishads, The Mahabharata na The Ramayana kwa Hinduism.
iii/ The Qur'an kwa waislam.
iv/ The Jaina Sutras kwa Jainism
v/ The Law and The Prophets, The Psalms na The Talmud kwa Judaism.
vi/The Katab-l-Aqdas, na The Katab-l-Iqan kwa Baha'i Faith.
vii/The Kojiki na The Nihongi kwa washinto.
viii/The Shri Guru Granth Sahib kwa Sikhism.
ix/ The Toa-te-Ching kwa Taoism.
x The Zend Avesta na Pahlavi Text kwa Zoroastrianism.

Pamoja na vitabu vyote hivi vinavyompinga Ibilisi (evils) katika kila jamii lakini bado Ibilisi yupo na anadunda tu.

Mpaka mwisho wa siku Mungu akaamua kuja yeye mwenyewe dunia kwa umbo la binadami kuja kupambana na Ibilisi kilichompata nadhani tunakijua. Aliishia kutundikwa msarabani na kufa palepale. Na ikabidi waibuke watetezi na kusema yule hakuwa yeye bali ni mwanae na watetezi wengine wakasema alifufuka siku ya tatu na akapaa ipo siku atarudi.

Mission zote na harakati zote zilizoletwa na Mungu kwa lengo la kupambana na Ibilisi zilifeli totally. Hakuna hata moja iliyofanikiwa ndio maana mpaka leo Ibilisi yupo na anadunda vizuri tu.

Sasa sijui hali ingekuwaje kwa Mungu kama na Ibilisi nayeye angeamua kuwekeza kwa namna hii ili apambane na Mungu?

Ibilisi anapata wapi nguvu hizo za kupambana na na Mungu kwa kiasi hicho?

Daaah kuna Mungu na Ibilisi kweli?

Au ndiyo tuamini kwamba washauri wa Mungu (Malaika) hawamshauri vizuri namna gani ya kupambana na Ibilisi?
Shetani akiuliwa wachungaji watakula wapi lazima awepo ili movie iendelee
 
Mungu amemuacha dhaifu(Shetani) atambe. Wamegawana vipindi. Shetani anashinda Ulimwenguni, anakura hasara Mbinguni(Ulimwengu ujao). Mungu anatoa Sare Ulimwenguni, anakabidhi ushindi Mbinguni. Mungu ndiye anaeruhusu huo ushindi unaouona kwa shetani hapa duniani.
Inajuaje haya yote mkuu
 
Elohim na lucifer ni marafiki mnooo.
Kasome kitabu cha ayubu. Watoto wa ayubu walio omba Elohim akashuka ghafla lucifer akaja, Elohim akamfuta lucifer anamuuliz ulikuwa wapi? 😂😂😂 wacha ujinga ww. Hakuna kiumbe expensive Elohim aliumba kuliko Lucifer
 
Inaonekana kuna wafanyakazi wa ndani wa Mungu wanavujisha siri kwa shetani
 
Ili ustahili urithi inatakiwa mzazi afariki,
Sasa kama mtoto atatangulia kufariki basi,
Urithi utakwenda kwa nani?
Mjukuu hana haki ya Urithi labda watoto wote wafe, si ndio maana ya next kin.

Mtoto wa nje pia hana haki ya Urithi kidini, kwa sababu ni mali ya huyo mwanamke,
Hata binti akiposwa ataozeshwa na wajomba zake huko.
kifupi huyo ni mtoto haramu,
unamchanganyaje na watoto halal ndani ya ndoa?
Ni rahisi kusema hivyo lkn ndugu yako mliyezaliwa baba na mama mmoja, mmeishi na kulelewa pamoja kwa upendo mpaka mmekua wakubwa. Leo unaambiwa huyo kaka/dada ako alizaliwa nje ya ndoa hivyo hatakiwi kurithi, utajisikiaje urithi wote uchukue wewe peke yako yeye umtenge? Au yeye atajisikiaje akiambiwa hana chake kwa sababu sio mtoto halali?

Dini hapa ilipuyanga vibaya sana, why sheria imbane mtoto ambae hana hatia, waliotenda dhambi ya kuzaa nje hii adhabu hata haiwaumizi anayeumia ni mtoto ambae ni victim

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Sometimes najiuliza kama shetani kafukuzwa huko mbinguni Kwa vita kubwa sana, je, ndo atakubali kuchomwa moto milele baada ya kiama, maana yake Hadi sasa bado tunahubiriwa anaendelea kuleta maovu Kwa wanadamu, it means nguvu bado anazo. Na hapo fikiria ataungana na binadamu wenye dhambi ambao ni wengi kuliko watakatifu
 
Kuna siku nilikua nipo kwenye kikao cha mirathi (wote waislamu) sasa kuna vipengele vikaleta ugumu kidogo

1. Mtoto wa kiume kupata zaidi ya mtoto wa kike
2. Mtoto wa nje ya ndoa kutopewa urithi
3. Mjukuu asipate urithi kwa sababu mzazi wake alikimbia mirathi ( mzazi wa mjukuu alikufa kabla ya babu)

Sasa kwa sababu kwenye familia kulikua na watoto ambao baadhi yao hivyo vipengele hapo juu vinawabana na vikifuatwa baadhi hawatopata kabisa mirathi,mgogoro ukaanza.

Njia pekee ya kuleta amani ilikua ni kuachana na sheria za dini.

Hivyo dini ikawekwa pembeni watu wakagawana sawa kwa sawa na amani ikawepo .

Hapo ndipo nilipogundua hizi dini tunalazimishwa tu lkn wakati mwingine hatuzihitaji.

Je hapo napo shetani alishinda?[emoji2297]
Hapo Dini ilipuyanga sana

Mtoto ni mtoto tu,,, habari za kusema huyu wa ndani ya ndoa,, huyu wa nje ni upuuzi tu...

As long as baba ni weww,,, watoto wako wote wako sawa... Ndio maana sheria za nchi zinasema..

Anayestahili urithi/haki zote ni mtoto wako.... Haijalishi ulioa au hukuoa..

Na hakuna ubaya wowote hapo...
 
Dini zinajikoroga sana... Mfano simple tu

RC wanaruhusu pombe wengine wote hawaruhusu kwao ni DHAMBI

Christian wanapiga kitimoto wale wenzetu KOSA

Wakristu mke zaidi ya mmoja dhambi,,, islamic sio dhambi...

Na wote wanadai Mungu ni mmoja,,, hapo hatujajua hao wengine hindu, judaism n.k

Nani hapa ataenda mbinguni.!??... coz kilicho dhambi kwa huyu kwa wengine sio dhambi..

Na dhana ya watu kujiona wao wapo sahihi inaanzia hapa....

So MIJADALA ya DINI huwa hain afya sana... Tuishi tu
 
Back
Top Bottom