Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mimba Hutungwa Kwa Mwanaume na Mwanamke kukutana na Mbegu zao kuungana. Ndipo mtoto hutokea
Ukitaka kuhoji kila kitu kinachomhusu Mungu utaona kama haiwezekani ila vyote kwake inawezekana...ukikataa kuzaliwa kwa yesu bila mbegu za kiume utaweza kukubali adamu kutoka kwenye udongo?
 
Huna uwezo wa kunipa mafunzo katika hili labda kwenye mambo mengine kijana. Kingine nimeuliza maswali hujibu maswali niliyo uliza unaruka ruka kuleta ujuaji na mambo usiyo kuwa na elimu nayo.

Jibuni maswali niliyo uliza kisha ulete hoja nyingine. Katika watu wanao kimbia maswali humu ndani wewe ni mmoja wapo.
 
Usirudie tena kuweka Allah uwezo na jinsi alivyo na Mungu wa Wakristo , wapo tofauti kabisa
Allah ni physical Being na Mungu wa
Wewe ndiyo ulikimbia maswali yangu, ya kuelezea inakuwaje roho bila umbo.

Usiwe unakimbia maswali nakurudia hoja ulizo jibiwa.
 
Wewe unapenda Reference za Vitabu basi Kubali Kuwa Ulikuwa Sokwe pia maana Si Vitabu vimeandikwa vya Historia ndugu yangu

Mkuu

Kuchamba kwingi sio sawa na kuupiga mwingi.

Nakuhakikishia, ipo siku neno la tafuteni mtapata litatimia kwako. Sina mashaka.
 
Kuna Mungu Mmoja aliye baba na ana mwanawe anaitwa yesu kristo
Yesu anaitwa Mungu kwa sababu kazaliwa na Mungu na karithi asili,tabia na sifa za Mungu
Ndugu unahisi umetumia akili yako vizuri hapo. Adam yeye ni mtoto wa nani km Yesu ni Mtoto wa pekee
 
Uchawi na mambo ya mizimu vitu viwili tofauti, uchawi ni Imani ya kuwepo kwa nguvu isiyo ya kawaida kufanya shughuli mbalimbali, Kwa mfano, kutumia chumaulete au misukule kupata Hela kirahisi, kupaa na ungo, kurogana nk hii Imani ni ujinga sana kuiamini, inarudisha nyuma sana IQ. Kuzimu ni sehemu ambayo siyo motoni Wala mbinguni, ila wanakaa wafu kungojea hukumu, baada ya kufa na kufufuka Kwa Yesu, kilifunguliwa Hali tatu, mbinguni, motoni na toharani. Hiyo ni kadiri ya mafundisho ya kanisa katoriki, ndo kusema Sasa kuzimu haipo Tena, waliokuwa wanakaa kuzimu ndiyo mizimu
 
Wewe ndiyo ulikimbia maswali yangu, ya kuelezea inakuwaje roho bila umbo.

Usiwe unakimbia maswali nakurudia hoja ulizo jibiwa.
Roho ambayo ipo ndani yako ina umbo?
Cha msingi nacho kukusisitiza tambua kwanza utofauti wa Allah na Mungu wa wakristo ,ukisha tambua hilo hutauliza maswali kwa kuweka uelewa wako wa Mungu Allah kwa Mungu mwingine

Allah amesema wazi na scholar wote wa waislamu wanakubali ni physical being , una umbile linashikika

Sema umbile lake ndio hivyo la kutisha , mikono miwili upande mmoja
 
Hapa kuna kitu cha kujifunza. Umesema binadamu wa kwanza sio Adam na Hawa. Ehe, binadamu wa kwanza hapa duniani alikuwa nani?
 
Wewe ndiyo ulikimbia maswali yangu, ya kuelezea inakuwaje roho bila umbo.

Usiwe unakimbia maswali nakurudia hoja ulizo jibiwa.
Issue sio maswali nataka ukiri kwanza Allah na Mungu wa wakristo ni tofauti ,ndio nitaendelea na majibu , kinyume Cha hapo siwezi kukujibu maana unaleta nature ya physical being (Allah) na nature ya Spirit (Mungu wa wakristo) ambavyo ni vitu viwili tofauti
 
Dah ndio maana sipendi kuwa na hela sana wala kukosa hela sana ,matokeo yake ndio kuanza kutoa maneno makufuru,Kumbuka kila neno ulinenalo utatoa hesabu(ushahid )siku ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…