FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
- Thread starter
-
- #1,041
Kuuliza Ni Hulka ya Binadamu. Martin Luther Asingeuliza maswali huko RC Na Yeye alikuwa Anaijua Biblia vizuri Wakristo wasingegawanyikaSasa mbona unakuja kuuliza maswali tena ya vitu unavyovijua au unataka ubishi ila wewe ukiulizwa hayo unayoyaamini unasema italeta ubishi unataka tusome kabisa course.
Ukitumia akili utajiuliza Hili Swali. Mwandishi Hapo Si Marko wala Si Yesu ila kuna Mtu tu Alikuwa Pembeni ya Mitume na Yesu anajiandikia Anachojisikia.
Neno Akawaambia linakupa Upeo kwamba Aliyesema Hayo si Mtume wa Yesu na Wala Si Yesu. Kama Angekuwa Mtume angeandika "AKATUAMBIA TWENDE TUKAENEZE ULIMWENGUNI" na Kama Angekuwa Nj Yesu mwenyewe angesema NIKAWAAMBIA WAENDE KUENEZA ULIMWENGUNI "
Ndio maana mwanzo kabisa nikasema kuwa kuna mitindo mingi ya jinsi ya kuishi ndipo nikakuuliza kwani huo mtindo mnaofundishana huko una ubora gani kuliko mitindo mengine iliyopo? Ila mkuu hauelezi huo mtindo una mazuri gani ili mtu ashawishike kujifunza katika maelfu ya mitindo mengine iliyopo.Nimeshakuambia Hapo Juu
1. Kuna Mafunzo ya Mwanzo Ulikuwaje
2. Kuna Mafunzo ya Asili ya Makabila mbalimbali
3. Kuna Mafunzo ya Mungu
4. Kuna Mafunzo ya Utu na Jinsi ya Kuishi
5. Kuna Mafunzo ya Aina Mbalimbali za Mbingu
6. Kuna Mafunzo ya Magonjwa
7. Kuna Mafunzo ya Jinsi ya Kusali n.k
Tatizo Lako ndugu ni Moja Hutaki Kujifunza Maana Kuna Kitu kimekushikilia. Hakuna Mtu anayekulazimisha Wala Kukutisha Kwamna Sijui utachomwa Moto au Unatafanywa Hivu Usipoamini huko ni Kujifunza Kuamini ni Juu yako.
Umeweka Injili ya Marko hapo Juu ambayo Ndio Injili Fupi kuliko zote. Hata Kanisa lako halijui ni Nani Hasa Aliyeandika Hiyo Injili na Wana Bashiri kuwa Ni Mtu ambaye alikuwa anafahamiana Na Viongozi tu Wa Kikristu. Na ni Mtu aliyeandamana na Barnaba na Paulo ila Paulo na Barbana Walipogombana Alienda kuandamana Na Barnaba. SOMA utangulizi wa Injili Mbalimbali utajua UkweliHebu tuambie wewe aliyesema hayo maneno ni nani?
Vizuri sana na ndio maana hata mimi hapa nakuuliza maswali ila ajabu unasema nitaleta ubishi na kutaka nikajiunge na kozi kabisa yani hautaki niulize.Kuuliza Ni Hulka ya Binadamu. Martin Luther Asingeuliza maswali huko RC Na Yeye alikuwa Anaijua Biblia vizuri Wakristo wasingegawanyika
Watu wengi Wamepotoshwa ndio maana Leo hii unaona Wakristu wamegawanyika. Kugawanyika Huko ni kwa Sababu wanatafuta Ukweli na Hawajawahi Upata Ukweli.. Kama Wewe huwa Uulizi Maswali Unaamini Tu Kinachokuja Mbele yako Basi Utakuwa Hutumii Akili yako Vizuri katika Kuishi na Utaharibikiwa na Mengi maishani
Ndio maana mwanzo kabisa nikasema kuwa kuna mitindo mingi ya jinsi ya kuishi ndipo nikakuuliza kwani huo mtindo mnaofundishana huko una ubora gani kuliko mitindo mengine iliyopo? Ila mkuu hauelezi huo mtindo una mazuri gani ili mtu ashawishike kujifunza katika maelfu ya mitindo mengine iliyopo.
Halafu si mbaya ukatoa vidokezo tu kwenye hayo mafunzo ya kusali nipate mwanga yanafananaje.
Umeweka Injili ya Marko hapo Juu ambayo Ndio Injili Fupi kuliko zote. Hata Kanisa lako halijui ni Nani Hasa Aliyeandika Hiyo Injili na Wana Bashiri kuwa Ni Mtu ambaye alikuwa anafahamiana Na Viongozi tu Wa Kikristu. Na ni Mtu aliyeandamana na Barnaba na Paulo ila Paulo na Barbana Walipogombana Alienda kuandamana Na Barnaba. SOMA utangulizi wa Injili Mbalimbali utajua Ukweli
Hawa Hawakuwa Wafuasi wa Kristo walikuwa Watu tu wa Pembeni ambao hata Yesu Mwenyewe hawakumuona Ila Wanaandika vitu Walivyosimuliwa Tu bila Ushahidi
Uwanja Ni wako Uliza Maswali upendavyo sijakukataza. Kikubwa Nimekushauri kwamba Si kila Jambo lina Majibu mafupi yatakayoweza Kuandikwa Tu humu Yakamalizika.. Na Kumbuka binadamu Pia Tuna kazi Si Kila Saa Nitakuwa naandika Ila Ukipewa sehemu ya Kujifunza Utapata Uwanja mpana wa Kujifunza. Ndio mana Nikatolea Mfano Dini Zote zina mahala pa Kwenda kujifunzia (madrasa.. Sunday school) n. K n. KVizuri sana na ndio maana hata mimi hapa nakuuliza maswali ila ajabu unasema nitaleta ubishi na kutaka nikajiunge na kozi kabisa yani hautaki niulize.
Uelewa wako finyu ndo umefahamu ivo.iyo.hadith na kuna sura kule inasema wataingia kwenye dini ya kiislamu makundi kwa makundi sasa kma huelewi ni bora kuulizaNdio maana nikakwambia hakuna waarabu waislamu wanaookoka! Hii nimelenga specifically waarabu waislamu.
Halafu unashangaa nini dini isikuwe kama mnazaliana kwa wingi kama simbilisi na kuoa zaidi ya mke mmoja ?
Use your common sense
Kwa kutumia hii argument yako unasema unabii wa mtume wako ni uongo kwa kuwa alitabiri uislamu utarudi kuwa kundi dogo , hivyo kati yenu kuna mmoja ni muongo
Ni ya Muandishi Marko. Ndio maana Unaona neno AKAWAAMBIA Kama Angekuwa Mtume Ndie Kaandika Angesema AKATUAMBIANauliza tena yale maneno ni ya nani?
hlf mtume hajasema itarudi kua ndogo bali itarudi ngeni kma ilivokujaNdio maana nikakwambia hakuna waarabu waislamu wanaookoka! Hii nimelenga specifically waarabu waislamu.
Halafu unashangaa nini dini isikuwe kama mnazaliana kwa wingi kama simbilisi na kuoa zaidi ya mke mmoja ?
Use your common sense
Kwa kutumia hii argument yako unasema unabii wa mtume wako ni uongo kwa kuwa alitabiri uislamu utarudi kuwa kundi dogo , hivyo kati yenu kuna mmoja ni muongo
Nani kakwambia kua Waarabu wote ni Waislamu? hlf kwani Waislamu ni Waarabu peke yao? mbona hujasema waislamu wa Nigeria,Russia au brazil
Ingia google apo uliza dini inayokua kwa kasi ni ipi? hlf lete mrejesho hapa
Duhh hii mpya. Kwahiyo binadamu wa kwanza ni Zinjanthropus wa kule Olduvai GorgeKusoma Biblia hakuwezi kukuokoa anayekuokoa ni Binadamu mwenzako tu. Ukizama majiini utaokolewa, ukipata ajali utaokolewa, Biblia imejaa utunzi wa Binadamu
Ni bora ukakombolewa maana anayekukomboa ni Yule anayekuambia Ukweli. Kumbuka Adam na Hawa si Binadamu wa kwanza Kama Biblia inavyosema mana Adam na Hawa waliwakuta Binadamu Duniani kitu ambacho Biblia haijakisema
hlf mtume hajasema itarudi kua ndogo bali itarudi ngeni kma ilivokuja
kma huelewi sema ueleweshwe ujuaji sio mzuri
hao walokuleteeni iyo.dini.saivi wanasilimu kwa kasi uko
Ni ya Muandishi Marko. Ndio maana Unaona neno AKAWAAMBIA Kama Angekuwa Mtume Ndie Kaandika Angesema AKATUAMBIA
Leta mstari wa hilo neno hapa nacc tuone hiyo error
Sina Imani Hiyo kamwe. Labda kama Wewe ndio unaamini huyo Mzungu aliyekuja kukuuambia HivyoDuhh hii mpya. Kwahiyo binadamu wa kwanza ni Zinjanthropus wa kule Olduvai Gorge
Ni ya Muandishi Marko. Ndio maana Unaona neno AKAWAAMBIA Kama Angekuwa Mtume Ndie Kaandika Angesema AKATUAMBIA
HAWA WALIKUWA WANAFUNZI WA YESU
Petro, Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, Tomasi, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni, na Yuda Iskariote.
HAPO MARKO HAYUPO.. kwahiyo huyo marko kaandila Vitu ambavyo hakuvishuhudia
Mi sina swali.. Wewe ndio ukatafakari Kuhusu Hao Waandishi unaowakubali waliandika Maneno Ya YesuUmesema vyema
Maneno ni kama yalivyoandikwa na Marko.
Swali lingine
Yesu hakupewa Biblia ya waandishi wengi ,Bali alipewa InjiliKuna kundi la watu ambao hawajui lakini wanajifanya wanajua. Wewe upo kwenye Hilo kundi. Unaishambulia Biblia na kusema Ni uongo. Jiulize ni kwanini Yesu au Issa anatajwa Sana kwenye Quran?.