Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Umesema vema ndugu yangu.Binafsi ninasadiki kwa moyo wangu wote juu ya Yesu Kristo kuwa ni MUNGU kweli aliyeamua kuuvaa
Sasa NDUGU yangu nikikuuliza Yesu alikuwa anamuomba Nani pale Mlimani wakati anasali kama Yeye ni Mungu tayari na Yupo kwenye Mwili wa Yesu


ubinadamu.Kimsingi sina swali kuhusu imani Yangu kwa MUNGU mmoja nafsi tatu.

Kwahiyo Mungu Si Mmoja Tena
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Mkuu, waswahili hawawezi kukuelewa hata kidogo.

Huenezaji wa dini ulifanyika kama mission(misioni) za kivita.
Jiulize Vatcan hawalimi, hawana resource yoyote ila kwa utajili nchi zote za Africa zikasome.
Hizi dini zina agenda zao ambazo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hasa hasa kwenye mataifa ambayo wanayaita maskini.
Nyuma ya dini kuna biashara kubwa sana ambayo kwa macho uwezi ijua.
Africa tulikuwa na brief system yetu nzuri sana ila ikawekewa figisu hadi wazee wetu wakaiacha.
Jews andiyo master mind wa hizi dini hasa ukristu ili kufikisha ajenda zao na kuogopwa duniani eti ni taifa teule.
Tatizo kubwa sana ni hatujui vizuri Historia ya Africa ni wachache sana wanajua kuhusu Kemet.
Historia ya Africa imechakachuliwa na education system kwa makusudi kwani jamii isiyojua ilikotoka haiwezi kujua inako kwenda
Kwenye historia tunafundishwa tulitokea kwenye nyani, tukawa na maisha duni na kuanzia karne ya 17 waarabu na wazungu wakaja africa.
Historia haielezi vizuri kama kabla ya karne 17 Waafrica tulikuwa tunafanya nini.
Kuna mambo mazuri sana ya Waafrika yamefichwa kwenye historia zilizopo.
Tunaitaji tuamke tujikomboe kifkra kwanza, maana kuna watu maisha yao yote yamepotoka kwa kuamini vitu ambvyo sivyo.


Tufikirie nje ya boksi.
 
Nani alisema ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu ?

Je katika Biblia tamko mwana limetumika kwa Yesu tu peke yake ?

Kwanza nataka tufikie muafaka hapa je ni kweli Yesu ni mwana wa Mungu. Naomba nithibitishie hilo, sababu nachojua mimi Mola wetu hajazaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wa kitu chochote.
Kisai Nilisha kupa mafunzo naona bado unafanya kichwa kuwa kigumu, anapoongelewa Mungu wa wakristo usiweke uelewa wako wa mungu allah , utaishia kujiuliza maswali kama unavyouliza hapa

Allah huyu hapa
  • Anajihoji mwenyewe atakuwaje awe na mwana na hana mke? yani uwezo wake hawezi kuwa na mwana bila mke, yani angepata mke angekuwa na mwana kwa logic yake!
    • Koran 6:101. .... Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke?
  • Anajijibu kama angetaka mke basi angechukuwa wa jamii yake allah anatumia neno sisi, Hapa kuna cha kujiuliza Allah wako wangapi mpaka achukue jamii yake? anajijibu jamii yake ni malaika na houris wenye macho makubwa
    • Koran 21:17 Tafsir al-Jalalayn Had We desired ... partner or a child We would have found it with Ourselves from among the beautiful-eyed houris or angels were We to do so
  • Anajijibu mwenyewe kwamba kama angetaka kuwa na mwana basi angeteua amtakae
    • Koran39:4. Lau kuwa Allah angeli taka kuwa na mwana, basi bila ya shaka angeli teua amtakaye katika alio waumba.
Usirudie tena kuweka Allah uwezo na jinsi alivyo na Mungu wa Wakristo , wapo tofauti kabisa
Allah ni physical Being na Mungu wa Wakristo ni Roho ni nature mbili tofauti kabisa
 
Sasa hapo unasemaje juu ya Jiwe kuliweka shirika la ndege chini ya ofisi ya Rais ili lisichunguzwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona Hivyo Jua Kuna Mambo yanafichwa Ili Usichunguze[emoji1787][emoji1787]
 
Japo wakristo wamekataa kunipokea ila niwasaidie tu kujibu swala la kutoa sadaka na hayo mengine mtoa mada haujarleweka zaidi ya kuleta ubishi tu wa vijiweni.
Mungu ahitaji sadake zetu ila sisi tunahitaji kutoa sadaka ili tuwe kama yeye. Yeye na sisi tunaotofauti kama vile nguo safi(yeye) na nguo chafu(sisi).
Sisi tunatenda zambi ila yy hatendi zambi na tunatumia nguvu na jitihada nyingi ili tuwe kama yeye.
Mkuu Mbona Akili zetu zimeoza Kiasi hiki. Yaani Wewe unataka Kufanana na Mungu na Uwe kama Yeye kweli
 
Kwahiyo bila Kutumia Vitabu vilivyoandikwa na Binadamu wenzako wewe Akili zako pekee huziamini mpaka Upate reference

Kwahiyo ukiambiwa hata Yesu ndio Mungu Mkuu unakubali tu kisa Imeandikwa sehemu ingawa unajua Sivyo
Onesha ubora wako kwa kukubali uwepo wa "visima" vya zamani.
 
Shida kubwa ni uelewa wako wala sio kutokueleweka kwa maandiko
Baba maana yake ni muanzilishi/Muumbaji

Kwahiyo wewe ndugu yangu Baba Yako hapo Nyumbani ni Muumbaji! Na Alianzisha Uumbaji labda. Baba Ni Jinsia ya Kiume kwa Viumbe wa Mungu. Na Akiwepo Baba Lazima awepo mama Hawa Ndio wakizaa wanaitwa Baba na Mama


Muumbaji wa kwanza na pekee ni Mungu na yeye aliwarithisha binadamu kazi ya kuuendeleza uumbaji katika ulimwengu huku mwanaume akiwa muumbaji katika ngazi ya kuongeza uzazi yaani baba

Baba asili yake ni muumba sio wewe uliye mwanaume wa leo

Ukisema Baba Ni Muumba Maana Yake Mungu ni Mwanaume. Halafu hapo hapo unasema Hafanani na Yeyote.

Waafrika mbona Akili zetu zimeyumbishwa Kiasi hiki
 
Mkuu, waswahili hawawezi kukuelewa hata kidogo.

Huenezaji wa dini ulifanyika kama mission(misioni) za kivita.
Jiulize Vatcan hawalimi, hawana resource yoyote ila kwa utajili nchi zote za Africa zikasome.
Hizi dini zina agenda zao ambazo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hasa hasa kwenye mataifa ambayo wanayaita maskini.
Nyuma ya dini kuna biashara kubwa sana ambayo kwa macho uwezi ijua.
Africa tulikuwa na brief system yetu nzuri sana ila ikawekewa figisu hadi wazee wetu wakaiacha.
Jews andiyo master mind wa hizi dini hasa ukristu ili kufikisha ajenda zao na kuogopwa duniani eti ni taifa teule.
Tatizo kubwa sana ni hatujui vizuri Historia ya Africa ni wachache sana wanajua kuhusu Kemet.
Historia ya Africa imechakachuliwa na education system kwa makusudi kwani jamii isiyojua ilikotoka haiwezi kujua inako kwenda
Kwenye historia tunafundishwa tulitokea kwenye nyani, tukawa na maisha duni na kuanzia karne ya 17 waarabu na wazungu wakaja africa.
Historia haielezi vizuri kama kabla ya karne 17 Waafrica tulikuwa tunafanya nini.
Kuna mambo mazuri sana ya Waafrika yamefichwa kwenye historia zilizopo.
Tunaitaji tuamke tujikomboe kifkra kwanza, maana kuna watu maisha yao yote yamepotoka kwa kuamini vitu ambvyo sivyo.


Tufikirie nje ya boksi.
Wewe ni Muumini mzuri wa Akili Zilizotimia. Hakuna Mtu anaweza Kukuyumbisha
 
Hujajibu mkuu ila umenipa swali la mimi kuamua jibu. Je kama unaweza sema bila kuzuga naomba useme kama Yesu ni Mungu au siyo Mungu.
Mkuu Mbona Nimeshasema Kuwa Yesu anamwabudu Mungu kwahiyo Hawezi kuwa Mungu. Aliomba Mlimani.. Aliomba Msalabani na Hata Kwenye Kitabu cha Ufunuo siyo Yeye aliyeketi Kwenye Kiti cha Enzi kama Kinavyosimulia Sasa Ndugy yangu Unataka Nikuambieje Ili Uamini kuwa Yesu si Mungu
 
Mkuu Mbona Nimeshasema Kuwa Yesu anamwabudu Mungu kwahiyo Hawezi kuwa Mungu. Aliomba Mlimani.. Aliomba Msalabani na Hata Kwenye Kitabu cha Ufunuo siyo Yeye aliyeketi Kwenye Kiti cha Enzi kama Kinavyosimulia Sasa Ndugy yangu Unataka Nikuambieje Ili Uamini kuwa Yesu si Mungu
Basi sawa. Je nikisema Yesu ni Mungu ila alikuja kama wanadamu nitakuwa nakosea?
 
Basi sawa. Je nikisema Yesu ni Mungu ila alikuja kama wanadamu nitakuwa nakosea?
Inabidi uthibitisho kuwa unasema Ukweli na Haukosei kwa Kujibu haya Maswali

1. Je Kama Alipokuja Kwa Njia hiyo Yesu alipokuwa anaomba Mlimani alikuwa anamwomba Nani!? Maana tayari Alikuwa Mwilini mwa Yesu kama Mwanadamu. Nahusi ndio unamaanisba Hivyo

2. Je kama Alikuja Kwa Wanadamu je Viumbe wengine walibaki na Nani( malaika.. Majini.. n. k)

3. Na kama Mungu alikuja kwa Wanadamu aliowaumba Halafu wakamua Je Huyo Mungu ana Nguvu ya Kushindwa Chochote!? Na asiyeshindwa na Mwenye Uweza wote

4. Je alipokufa Ulimwengu ulikosa Mungu
 
Back
Top Bottom