Allah ni tofauti kabisa na Mungu wa Wakristo , biblia ya kiarabu kama wanatumia hilo neno wanakosea sana sifa za Mungu wa wakristo amejitambulisha wazi katika Utatu
Allah huyu hapa amejitanganisha wazi kabisa na Mungu wakristo , kwa hiyo usilazimishe
NAKUKANYA HAYA HAPA NI MAANDIKO YAKO NA USIYAITE MASHUDU
- Anajihoji mwenyewe atakuwaje awe na mwana na hana mke? yani uwezo wake hawezi kuwa na mwana bila mke, yani angepata mke angekuwa na mwana kwa logic yake!
- Koran 6:101. .... Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke?
- Anajijibu kama angetaka mke basi angechukuwa wa jamii yake allah anatumia neno sisi, Hapa kuna cha kujiuliza Allah wako wangapi mpaka achukue jamii yake? anajijibu jamii yake ni malaika na houris wenye macho makubwa
- Koran 21:17 Tafsir al-Jalalayn Had We desired ... partner or a child We would have found it with Ourselves from among the beautiful-eyed houris or angels were We to do so
- Anajijibu mwenyewe kwamba kama angetaka kuwa na mwana basi angeteua amtakae
- Koran39:4. Lau kuwa Allah angeli taka kuwa na mwana, basi bila ya shaka angeli teua amtakaye katika alio waumba.
Usirudie tena kuweka Allah uwezo na jinsi alivyo na Mungu wa Wakristo , wapo tofauti kabisa
Allah ni physical Being na Mungu wa Wakristo ni Roho ni nature mbili tofauti kabisa