Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
YUpo January, wewe hukuona ile picha? Hata Nape atarudishwa. Halafu kuna POLICCM.
 
Usipate tabu sana, rudi kwenye kumbukumbu za uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Dkt Samia akiwa Mgombea Mwenza wa Hayati Magufuli alizunguka nchi nzima akiomba kura na alifanikiwa kushawishi wapiga kura kwenye maeneo mbalimbali.
Sasa dkt Samia wa leo 2025 ni wa level za juu zaidi kuliko hata wakati wa 2015.
Yaani kwa mwaka huu unaweza kusema dkt Samia hapaswi kujichosha sana maana kura atazizoa bila hata kampeni kwani watanzania wote wamemkubali sana.
 
Hahahhahah, ulimwona mjomba magu alivyopata shida mkuu, sebu mama, kwa tume hii, atashinda tu, ola I'li awminishe IMF na WORD BANK ni lazima afanye kampeni, hapo ndo shida inaanza
 
Usipate tabu sana, rudi kwenye kumbukumbu za uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Dkt Samia akiwa Mgombea Mwenza wa Hayati Magufuli alizunguka nchi nzima akiomba kura na alifanikiwa kushawishi wapiga kura kwenye maeneo mbalimbali.
Sasa dkt Samia wa leo 2025 ni wa level za juu zaidi kuliko hata wakati wa 2015.
Yaani kwa mwaka huu unaweza kusema dkt Samia hapaswi kujichosha sana maana kura atazizoa bila hata kampeni kwani watanzania wote wamemkubali sana.
Dola ilimbeba jpm mbele ya lowasa aliepata kura million 10!dhidi ya million sita za jpm!!

Je sasa dola itambeba samiah!!?kwanini!?kwasababu ameonyesha wasiwasi wa wazi kabisa eti analiomba jeshi la jwtz lijiandae na uchaguzi mkuu ujao!!kwani jeshi ndio wananchi!?
Ukweli ni kwamba Dola imegawanyika vipande !ndicho alichosema Dr slaa!kwamba wanausalama wa jwtz na jeshi la polisi wamechoka matumizi mabaya ya fedha wanayoyaona!!

We unadhani vyama viwili vya NETO na UYAM vipo kwa bahati mbaya!!?sio kichaka Cha kuzuia uchaguzi baada ya kuvunja serikali hapo June to july!!

"Desert mission original plan in and out" the state wakiandika kupitia Tumia akili!!
 
Hahahhahah, ulimwona mjomba magu alivyopata shida mkuu, sebu mama, kwa tume hii, atashinda tu, ola I'li awminishe IMF na WORD BANK ni lazima afanye kampeni, hapo ndo shida inaanza
Atashinda Kwa namba za kupika kama jpm 2020,je ataishinda na kuishawishi dola iulinde ushindi wake!!?

Kama Dola haimtaki haitakubali atawale !
 
Dola ilimbeba jpm mbele ya lowasa aliepata kura million 10!dhidi ya million sita za jpm!!

Je sasa dola itambeba samiah!!?kwanini!?kwasababu ameonyesha wasiwasi wa wazi kabisa eti analiomba jeshi la jwtz lijiandae na uchaguzi mkuu ujao!!kwani jeshi ndio wananchi!?
Ukweli ni kwamba Dola imegawanyika vipande !ndicho alichosema Dr slaa!kwamba wanausalama wa jwtz na jeshi la polisi wamechoka matumizi mabaya ya fedha wanayoyaona!!

We unadhani vyama viwili vya NETO na UYAM vipo kwa bahati mbaya!!?sio kichaka Cha kuzuia uchaguzi baada ya kuvunja serikali hapo June to july!!

"Desert mission original plan in and out" the state wakiandika kupitia Tumia akili!!
Ngoja tusubili mkuu, tuone je atatoboa kweli?
 
Back
Top Bottom