Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ukitaka kuijua CCM subiri Uchaguzi "Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.
hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Haizuii yy kuendelea na UraisUkiacha yote ni mvivu mvivu tu toka hawe RAIS safari za nje ni nyingi kuliko za mkoani
watanzania wote wamemkubali sana.
Kwahio uliambiwa hivyo ambavyo hana ndo vitafanya asirudi Ikulu? Hapa kikubwa ni CCM hao jamaa wangepitisha hata papai likae kwenye hio nafasi lingeingia ikulu na watu wenu watabaki tu wanatoa povu watalia kwa wazungu na hawana cha kuwapa ndo imepita hio hadi uchaguzi mwengineBila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.
hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Not even strategic maker.... rather i would say an ''election rigger''January ni strategic maker na sio orator
Upo sahihi mkuu kwa sbb watanzania wengi ni wajinga sanaKwahio uliambiwa hivyo ambavyo hana ndo vitafanya asirudi Ikulu? Hapa kikubwa ni CCM hao jamaa wangepitisha hata papai likae kwenye hio nafasi lingeingia ikulu na watu wenu watabaki tu wanatoa povu watalia kwa wazungu na hawana cha kuwapa ndo imepita hio hadi uchaguzi mwengine
Point yako ni moja tena inakuhusu. 'Hujuma' mengine yote porojo . Ila iko hivi; katika nchi ya Jamhuri hakuna nyenyere anaweza thubutu kum sabotage Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Kwa hiyo atakayethubutu anajua madhara yake...🙏🙏🙏Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.
hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwani uchaguzi utakuwa HURU na HAKI?Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
No reform no election, is the best solution.Point yako ni moja tena inakuhusu. 'Hujuma' mengine yote porojo . Ila iko hivi; katika nchi ya Jamhuri hakuna nyenyere anaweza thubutu kum sabotage Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Kwa hiyo atakayethubutu anajua madhara yake...🙏🙏🙏