Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Qk
Kwl ww ni zero brain hujui ht kusoma alama. Samia ni mzungumzaji mzuri sana labda km humwelewi. Kura atakazopata hakuna mwanaume alishawahi kupata. Samia amefanya mambo makubwa sana inawezekana ktk muda mfupi hakuna mwanaume ameshawahi kufanya
Mama anaupiga mwingi eti
 
Ni
Na fitness nadhani ni issue. Mama zetu huwa wanachukulia poa sana ukakamavu. Aanze kukanyaga treadmill

Na fitness nayo ni issue. Mama zetu hawa huwa wanachukulia mazoezi poa sana. Aanze kukanyaka treadmill mapema sana. Kampeni zinachukuaga muda gani?
Ni shida sana mkuu,kuzunguka mikoa yote na wilaya zote ,ni Kazi ngumu sana
 
Anaomba kura za nini tena wakati kwenye siku ya kuadhimisha wanawake duniani amesema atawaaga 2030 kwenye maadhimisho kama hayo wakati anaondoka madarakani?
 
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Usimchukulie powa Samia!! Ni mwanasiasa hasa aliyewiva. Hajafika hapo kurahisi.

Muangalie tu alivyo deal na CHADEMA, ndiyo utajuwa ana uwezo kuliko marehemu Dikteta Magufuli.
Magufuli alikuwa anawanyima mikutano, anawanyima ruzuku, anawapiga risasi na kuwafunga ndani lakini alishindwa kuwadhoofisha CHADEMA na mwishowe akafa mwenyewe.

Huyu Samia kawapa kila kitu, lakini CHADEMA iko dhoofu hali. Wanasema No Reforms, No Elections ila hawajui inawaathiri kiasi gani wagombea watarajiwa wa Oktober 2025
 
Hizo porojo.
Dkt Samia atabebwa na kazi zake nzuri alizozifanya mfano:-
1. Mapinduzi makubwa aliyoyafanya kwenye Elimu.
2. Afya.
3. Uchumi
4. Miundombinu.
5. Utengamano wa kisiasa.
6. Diplomatic ya kimatafia.
Hayo ni baadhi tu....Mama anabebwq na kazi zake nzuri anazozifanya
Urais no zaidi ya kazi za kufanya!hizo hata wewe unaweza coz haufanyi kwa Hela zako!!

Kama Dola na ccm wameridhia sawa na iwe hivyo!!
 
N
Usimchukulie powa Samia!! Ni mwanasiasa hasa aliyewiva. Hajafika hapo kurahisi.

Muangalie tu alivyo deal na CHADEMA, ndiyo utajuwa ana uwezo kuliko marehemu Dikteta Magufuli.
Magufuli alikuwa anawanyima mikutao, anawanyima ruzuku, anawapiga risasi na kuwafunga ndani lakini alishindwa kuwashoofisha CHADEMA na mwishowe akafa mwenyewe.

Huyu Samia kawapa kila kitu, lakini CHDEMA iko dhoofu hali. Wanasema No Reforms, No Elections ila hawajui inawaathiri kiasi gani wagombea watarajiwa wa Oktober 2025
Ngoja tusubili tuone
 
Anaomba kura za nini tena wakati kwenye siku ya kuadhimisha wanawake duniani amesema atawaaga 2030 kwenye maadhimisho kama hayo wakati anaondoka madarakani?
Kwa kauli ile binafsi nikaamini dawati la siasa la ccm ni bure kabisa ,uzuri hakuna uchaguzi mwaka huu
 
Back
Top Bottom