Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaupiga mwingi etiQk
Kwl ww ni zero brain hujui ht kusoma alama. Samia ni mzungumzaji mzuri sana labda km humwelewi. Kura atakazopata hakuna mwanaume alishawahi kupata. Samia amefanya mambo makubwa sana inawezekana ktk muda mfupi hakuna mwanaume ameshawahi kufanya
Ni shida sana mkuu,kuzunguka mikoa yote na wilaya zote ,ni Kazi ngumu sanaNa fitness nadhani ni issue. Mama zetu huwa wanachukulia poa sana ukakamavu. Aanze kukanyaga treadmill
Na fitness nayo ni issue. Mama zetu hawa huwa wanachukulia mazoezi poa sana. Aanze kukanyaka treadmill mapema sana. Kampeni zinachukuaga muda gani?
Usimchukulie powa Samia!! Ni mwanasiasa hasa aliyewiva. Hajafika hapo kurahisi.Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.
hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Urais no zaidi ya kazi za kufanya!hizo hata wewe unaweza coz haufanyi kwa Hela zako!!Hizo porojo.
Dkt Samia atabebwa na kazi zake nzuri alizozifanya mfano:-
1. Mapinduzi makubwa aliyoyafanya kwenye Elimu.
2. Afya.
3. Uchumi
4. Miundombinu.
5. Utengamano wa kisiasa.
6. Diplomatic ya kimatafia.
Hayo ni baadhi tu....Mama anabebwq na kazi zake nzuri anazozifanya
Ngoja tusubili tuoneUsimchukulie powa Samia!! Ni mwanasiasa hasa aliyewiva. Hajafika hapo kurahisi.
Muangalie tu alivyo deal na CHADEMA, ndiyo utajuwa ana uwezo kuliko marehemu Dikteta Magufuli.
Magufuli alikuwa anawanyima mikutao, anawanyima ruzuku, anawapiga risasi na kuwafunga ndani lakini alishindwa kuwashoofisha CHADEMA na mwishowe akafa mwenyewe.
Huyu Samia kawapa kila kitu, lakini CHDEMA iko dhoofu hali. Wanasema No Reforms, No Elections ila hawajui inawaathiri kiasi gani wagombea watarajiwa wa Oktober 2025
Kwa kauli ile binafsi nikaamini dawati la siasa la ccm ni bure kabisa ,uzuri hakuna uchaguzi mwaka huuAnaomba kura za nini tena wakati kwenye siku ya kuadhimisha wanawake duniani amesema atawaaga 2030 kwenye maadhimisho kama hayo wakati anaondoka madarakani?
UKO SW KWA 100%Atajipitisha.