Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Mungu anipe uzima nimuone Rais Samia akiomba kura kwa wananchi akizunguka Tanzania nzima.

Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist
Ungojwa wa akili unawatesa watanzania wezangu wengi sana ukiwemo na wewe
 
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Sielewi watu wengine mnaishi dunia gani?

Utategemea vipi hayo unayo yawaza wewe na kusahau kuwa maigizo hayo hayana tofauti yoyote na haya mengine yote yanayo fanyika sasa?

Kwani hizo kampeni unazo zisubiri wewe zina lengo gani?
Kwa akili yako unadhani hayo yote unayo yawaza wewe yatamzuia kutangazwa kuwa mshindi?
Sasa kinacho kufurahisha au kukusikitisha ni kipi hapo wakati yote hayo hayazuii anacho kitafuta?

Akichinja ng'ombe kumi katika kila kituo cha kampeni zake na akaishia kupiga soga tu na kuwapa mipasho, ambaye yeye ni bingwa sana wala nyama hao, wewe bado utasubiri kuona hizo sinema unazo zitunga kichwani mwako?
 
Kwanini unadhani anakusanya wasanii, machawa na kila mbwabwaji.
Hao ndio watakuwa wakimuombea kura. Yeye ataongea maneno mawili tu, vibaraka tumbo watamalizia mengine.
 
hawezi chochote yule, labda kwenda nje....ubaya ni kwamba kura zinaombwa mikoani...ndani ya Tanzania tu. Hawezi kwenda nje kuomba kura. Failure yake namba moja hana ujasiri wa kuwaomba kura watanzania maana kila mara anasafiri kwenda nje
 
Dola ilimbeba jpm mbele ya lowasa aliepata kura million 10!dhidi ya million sita za jpm!!

Je sasa dola itambeba samiah!!?kwanini!?kwasababu ameonyesha wasiwasi wa wazi kabisa eti analiomba jeshi la jwtz lijiandae na uchaguzi mkuu ujao!!kwani jeshi ndio wananchi!?
Ukweli ni kwamba Dola imegawanyika vipande !ndicho alichosema Dr slaa!kwamba wanausalama wa jwtz na jeshi la polisi wamechoka matumizi mabaya ya fedha wanayoyaona!!

We unadhani vyama viwili vya NETO na UYAM vipo kwa bahati mbaya!!?sio kichaka Cha kuzuia uchaguzi baada ya kuvunja serikali hapo June to july!!

"Desert mission original plan in and out" the state wakiandika kupitia Tumia akili!!
Hizo porojo.
Dkt Samia atabebwa na kazi zake nzuri alizozifanya mfano:-
1. Mapinduzi makubwa aliyoyafanya kwenye Elimu.
2. Afya.
3. Uchumi
4. Miundombinu.
5. Utengamano wa kisiasa.
6. Diplomatic ya kimatafia.
Hayo ni baadhi tu....Mama anabebwq na kazi zake nzuri anazozifanya
 
Anajazi kubwa sana
Mmhh, na ww nawe. Samia hana tatizo la kuhutubia, labda ungesema kwenye kampenj anaruhusu kuulizwa maswali hapo wangalau. Na isitoshe yeye kushinda hakutegemei kura halali, bali ni dola na chama chake wameamua atangazwe kwa kura ngapi.
 
Hizo porojo.
Dkt Samia atabebwa na kazi zake nzuri alizozifanya mfano:-
1. Mapinduzi makubwa aliyoyafanya kwenye Elimu.
2. Afya.
3. Uchumi
4. Miundombinu.
5. Utengamano wa kisiasa.
6. Diplomatic ya kimatafia.
Hayo ni baadhi tu....Mama anabebwq na kazi zake nzuri anazozifanya
Hategemei kura hata hivyo.
 
Hizo porojo.
Dkt Samia atabebwa na kazi zake nzuri alizozifanya mfano:-
1. Mapinduzi makubwa aliyoyafanya kwenye Elimu.
2. Afya.
3. Uchumi
4. Miundombinu.
5. Utengamano wa kisiasa.
6. Diplomatic ya kimatafia.
Hayo ni baadhi tu....Mama anabebwq na kazi zake nzuri anazozifanya
Atakataliwa na
1. Kutekwa watu, kupotea watu, kukamatwa watu hovyo, ufisadi, Rushwa, uzembe, kukosekana kwa ajira, kuuza bandari, ngorongoro, kusigina katiba ya chama, nk
 
"Ukitaka kuijua CCM subiri Uchaguzi "
By JK.
Huyo Mama anweza ht asihangaike kupiga kampeni lkn wanaCCM wenyewe watamfanyia kwani wanajua anguko lolote wao ndio watakaoathorika zaidi kuliko ht huyo Mama
Ngoja tuone
 
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Na fitness nadhani ni issue. Mama zetu huwa wanachukulia poa sana ukakamavu. Aanze kukanyaga treadmill
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Na fitness nayo ni issue. Mama zetu hawa huwa wanachukulia mazoezi poa sana. Aanze kukanyaka treadmill mapema sana. Kampeni zinachukuaga muda gani?
 
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kabisa. Mvuto Hana, kuongea hawezi, akili ndogo. Hajui hata anachokiongoza ni Nini. Hayuko strategic Bali yupo yupo tu kama foronya.
 
Q
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila yanaoamuni mfumo dume.
b) public speaking skills , hana
c) hujuma atakazofanyiwa na wanaccm wenzake ,ikizingatiwa kuwa kuna kundi kubwa halikulizika na mamuzi ya mkutano mkuu.
NB: inatakiwa ampate mtu nzuri sana kwenye public speaking skills awe ndio kampeni meneja,wake, asimweke David kafulila, huyu ni mtendaji, na sio mwanasiasa wa kuomba kura, nikiaangalia kwa haraka ndani ya ccm hamna mtu, ladba kwa mbaaaaali , pole pole.

hivyo samia ajiandia kisaikolojia.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
k
Kwl ww ni zero brain hujui ht kusoma alama. Samia ni mzungumzaji mzuri sana labda km humwelewi. Kura atakazopata hakuna mwanaume alishawahi kupata. Samia amefanya mambo makubwa sana inawezekana ktk muda mfupi hakuna mwanaume ameshawahi kufanya
 
Mimi natamani kumuona akiulizwa maswali ya papo kwa papo kama 20 tu na Waandishi nguli.
 
Back
Top Bottom