Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Utaangamia wewe na wafuasi wako.Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
God bless Benjamin Netanyahu
GOD BLESS ISRAEL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaangamia wewe na wafuasi wako.Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
uwe na subira utauona ukweliUtaangamia wewe na wafuasi wako.
God bless Benjamin Netanyahu
GOD BLESS ISRAEL
Lini?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Sasa hujasema lini. Maana kufa alikufa hadi Hayatollah Khomein, alikufa Muhammad. Benjamini anakufa lini kwa maneno yako?uwe na subira utauona ukweli
Mungu wa China au Bombay?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Binaadamu hawezi kumpangia Mungu ratiba yake.Kuhusu kufa utakufa wewe,mimi na binadamu wote kwa ratiba ya MunguSasa hujasema lini. Maana kufa alikufa hadi Hayatollah Khomein, alikufa Muhammad. Benjamini anakufa lini kwa maneno yako?
Kwa nini Egypt na -Saudiarabia hataki kuwachukua wapalestina?Najua hiyo ni propaganda,lakini utafute ukweli ipo siku itaujua,pia sio kila mtinanayewayetea wapalestina ni muislamu,hiyo pia djana potofu,wapalestina wanaonewa,wamedhulumiwa ardhi yao,wamefungwa kwa marlefu huko kwenye magereza ya israeli,wanauawa hovyo kama kuku,wanalawitiwa,na kufanyiwa kila uovu.Yapo maazimio kadhaa ya umoja wa mataifa wakiitaka israeli kuwarudishia wapalestina ardhi yao lakini hawataki,lakini ipo siku haki ya wapalestina itarejea kwao
So kumbe suala la kufa ni la kila mtu. Ndo maana nikakupa mifano hiyo. So halihusiani na maneno yako ya kuwa ataangamizwa. Ni kwamba ukifika wakati wake atakufa kama wengine. Atakapokamilisha jukumu lake hapa duniani.Binaadamu hawezi kumpangia Mungu ratiba yake.Kuhusu kufa utakufa wewe,mimi na binadamu wote kwa ratiba ya Mungu
kuangamia ataangamia kwa namna ambayo Mumgu atamuadhibu,na adhabu hiyo aijuaue ni Mungu,nilikujibiu wewe kuhusu kifo kwa akili yako finyu unadhani angamizonla natanyahu ni kifo,sio kifo bali ni angamizo balo hakuna anayelijua bali Mungu mwenyeweSo kumbe suala la kufa ni la kila mtu. Ndo maana nikakupa mifano hiyo. So halihusiani na maneno yako ya kuwa ataangamizwa. Ni kwamba ukifika wakati wake atakufa kama wengine. Atakapokamilisha jukumu lake hapa duniani.
Fahari wa wili wakigombana zinazoumia ni nyasi!!! Nani alikuambia vita vina macho?? Hamas Oct 07,2023 walipovamia huko Israel hawakubagua watoto,wanawake,wanaume,wazee au vilema hilo hulioni unaliona la ndugu zako wapalestina tu!!!!Hakuna mtu anatetea kuuawa kwa binaadamu bila hatia yoyote ile,hao watoto wa kipalestina wanaouawa,wazee wanauawa,madokta,manesi na waandishi wa habari wa palestina wao wana hatia ipi?
Kila mtu atakufa. Hili halichagui. Adhabu Mungu wako wewe atakuadhibu wewe kwa imani yako.kuangamia ataangamia kwa namna ambayo Mumgu atamuadhibu,na adhabu hiyo aijuaue ni Mungu,nilikujibiu wewe kuhusu kifo kwa akili yako finyu unadhani angamizonla natanyahu ni kifo,sio kifo bali ni angamizo balo hakuna anayelijua bali Mungu mwenyewe
Sikia wewe,adhabu ya natanyahu sio kifo ni adhabu ambayo Mungu atampa ambayo wewe hata ujambe unye hutaijua ila siku ya siku atajutaKila mtu atakufa. Hili halichagui. Adhabu Mungu wako wewe atakuadhibu wewe kwa imani yako.
waafrika wanakufa sudan tu? watu wanapoonewa haihusu ni wa nchi gani,uonevu haujalishi ipi ni uonevu jinsi ulivyo,kama hujui kaa kimyaWaafrika Wenzio wanakufa Sudani hapo wewe unaleta habari ambazo hazina kichwa wala miguu
hiyo biblia imeandikwa na nani?Hivi Israel ndilo taifa teule linalotajwa kwenye Biblia?
Mnalishana ujinga tu. Khatollah Khomein alikufa kwa mateso sana.... Alipewa adhabu? Akili za kimbwa hizo na kukosa Elimu kila mtu atakufa. Wewe ndo utapewa hizo adhabu na mungu wako. Wenzio watapeta tuSikia wewe,adhabu ya natanyahu sio kifo ni adhabu ambayo Mungu atampa ambayo wewe hata ujambe unye hutaijua ila siku ya siku atajuta
WE CHURA WEWE UMELUSHWA MATANGOOO HUJUI UNACHOKIONGEA SIKU MACHO YAKO YAKUFUNGUKA UTAELEWA MAYBE AT THAT TIME WEWE NA NDUGU ZAKO WAPALESTINA MTAKUWA KWA WALE 72Najua hiyo ni propaganda,lakini utafute ukweli ipo siku itaujua,pia sio kila mtinanayewayetea wapalestina ni muislamu,hiyo pia djana potofu,wapalestina wanaonewa,wamedhulumiwa ardhi yao,wamefungwa kwa marlefu huko kwenye magereza ya israeli,wanauawa hovyo kama kuku,wanalawitiwa,na kufanyiwa kila uovu.Yapo maazimio kadhaa ya umoja wa mataifa wakiitaka israeli kuwarudishia wapalestina ardhi yao lakini hawataki,lakini ipo siku haki ya wapalestina itarejea kwao
umeishiwa hoja ndio unakimbilia kuongea utumbo na mimi sina muda nawe,kajambe mbele ya safariWE CHURA WEWE UMELUSHWA MATANGOOO HUJUI UNACHOKIONGEA SIKU MACHO YAKO YAKUFUNGUKA UTAELEWA MAYBE AT THAT TIME WEWE NA NDUGU ZAKO WAPALESTINA MTAKUWA KWA WALE 72